SIKUJA DUNIANI KULETA AMANI:
Maneno aliyoyatamka Yesu kristo: Sikuja duniani kuleta amani bali kuwafarakanisha Mtu na mtu,
24. "Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumishi si mkuu kuliko bwana wake.
Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake. 25. Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mkubwa wa jamaa Beelzebuli, je hawatawaitawatu wengine wa jamaa hiyo majina mabaya zaidi?
Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?
26. "Basi, msiwaogope watu hao. Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, na kila kilichofichwa kitafichuliwa.
Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.
27. Ninalowaambieni ninyi katika giza, lisemeni katika mwanga; na jambo mlilosikia likinong`onezwa, litangazeni hadharani. Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.
28. Msiwaogope wale wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katikamoto wa Jehanamu.
Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
29. Shomoro wawili huuzwa kwa senti tano. Lakini hata mmoja wao haanguki chini bila kibali cha Baba yenu.
Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu;
30. Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.
lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.
31. Kwa hiyo msiogope; ninyi mu wa thamani kuliko shomoro wengi. ic
Msiogope basi; bora ninyi kuliko mashomoro wengi.
32. "Kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
Basi, kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
33. Lakini yeyote atakayenikana hadharani, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
34. "Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.
Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
35. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.
Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
36. Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.
na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
37. "Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.
Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.
38. Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.
Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.
39. Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata.
Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.
40. "Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule aliyenituma.
Awapokeaye ninyi, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi, ampokea yeye aliyenituma.
41. Anayemkaribisha nabii kwa sababu ni nabii, atapokea tuzo la nabii. Anayemkaribisha mtu mwema kwa sababu ni mtu mwema, atapokea tuzo lamtu mwema.
Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; naye ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki.
42. Kweli nawaambieni, yeyote atakayempa mmojawapo wa wadogo hawa kikombe cha maji baridi kwa sababu ni mfuasi wangu, hatakosa kamwekupata tuzo lake."
Na mtu awaye yote atakayemnywesha mmojawapo wa wadogo hawa ngaa kikombe cha maji ya baridi, kwa kuwa ni mwanafunzi, amin, nawaambia, haitampotea kamwe thawabu yake. kwa maana hiyo yeyote anayemkiri bwana Yesu kuwa kama bwana na muokozi wa maisha yake si kitu rahisi akaweza kufungamana na waovu, kwa kuwa hawa wawili hawafanani kuishi wala kuenda kwao
kwa maana giza na Nuru haviwezi kukaa pamoja lazima kimoja kita athiri kingine, na kama wewe unamuamini mungu na njia zako zikawa za haki huwezi ukaishi kama mtu asiye mjuwa Mungu maisha ya mtu wa Mungu anaiga kutoka kwa kristo kwanza mtiifu myeyekevu,mwepesi wa kusamehe na kuachilia moyoni mwenye mzigo mkubwa kwa ajili ya wale wanaopotea na si kuwaumiza kwa maneno makali ya kuhukumu makosa yao, neno linasema hukumu zenu ziwe za haki unacho mtamkia mtu uwenauhakika nacho kabisa
lakini pia utakapo shutumiwa kwa mambo ya uwongo furahia maana umekwisha wekewa thawabu yako kule mbinuni inaendelea Mathayo 10:24
Ndugu Mtazamaji/ MSOMAJI; Bila shaka unampenda Mungu Sana tunaamini hivyo Kwa vile ulivyoweza kufika mahali hapa tulipo kupitia Mtandao huu, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-Mungu Mathayo 16:6-12) piga simu kwa masaada zaidi huduma hii ni bure 0757328311
USHINDI JUU YA DHAMBI,
Kuishinda dhambi hakuna mtu chini ya jua anayeweza kuishinda Dhambi kwa ujanja wake au kwa nguvu zake pasipo kusaidiwa na Mungu, siku zote anayetuwezesha kuishinda Dhambi ni Mungu peke yake,
Kwa kuwa atakuagizia malaika zake wakulinde katika njia zako zote. Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya; kwa maana Wewe upo pamoja nami.
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu. —Wafilipi 4:13, 19
Namna ya kuishinda Dhambi,
1 Wakorintho 10:13
Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili.
Waebrania 4:16
Basi na tukikaribie kiti cha flee-ma kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.
2 Timotheo 2:22
Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
1 Yohana 1:7
Bali tukienenda nuruni, kama yeye ahivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.
Warumi 6:11
Vivyo hivyo ninyi nanyi jihesabuni kuwa wafu kwa dhambi, na walio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.
Yakobo 4:7
Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.
Zaburi 119:11
Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, nisije nikakutenda dhambi.
Nguvu ya maombi
Zaburi 27:8
Uliposema, Nitafuteni uso Wangu, Moyo wangu umekuambia, BWANA, uso wako nitautafuta.
Zaburi 62:8
Enyi watu, mtumainini sikuzote, ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.
Yeremia 17:14
Uniponye, Ee BWANA, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.
1 Wathesalonike 5:17, 18
Ombeni bila kukoma; shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika KristoYesu.
Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa. —Yakobo 1:5
Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. —Yohana 15:7
Zaburi 34:4
Nalimtafuta BWANA akanijibu, akaniponya na hofu zangu zote.
Zaburi 66:18; 25:11
Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia. Ee BWANA, kwa ajili ya jina lako, unisamehe uovu wangu, maana ni mwingi.
Jiweke tayari kwa ujio wa kristo Yesu
1 Wathesalonike 4:16, 17
Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
2 Wakorintho 7:1
Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.
1 Yohana 2:28
Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake katika kuja kwake.
Yakobo 5:8, 9
Nanyi vumilieni, mthibitishe mioyo yenu, kwa maana kuja kwake Bwana kunakaribia. Ndugu, msinung’unikiane msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.
Luka 12:40
Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Adamu.
Kujazwa na Roho wa Mungu ni jambo la muhimu pia katika maisha ya mwanadamu,
Mithali 1:23
Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; tazama, nitawamwagia roho yangu, na kuwajulisheni maneno yangu.
Matendo 2:38
Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.
Waefeso 5:18-21
Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu; na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo; hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.
Wafilipi 2:13
Kwa maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusudi lake jema.
1 Wakorintho 3:16; 6:2
Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? Maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu. na yeye atakaye liharibu Hekalu langu nami nitamuharibu, ukivuta sigara,ukifanya ukahaba,ukinywa pombe,ukilinajisi hekalu la Mungu yaani mwili wako naye Bwana atauharibu, Hebu fahamu hivi alichokiharamisha Mungu mwanadamu Hawezi kukihalalisha au kukitakasa kwa namna yeyote ile,
Na kunzuri zaidi Mungu Hakuwahi kubadilika wala siyo kigeu geu alilolikataza miaka elfu tatu mpaka sasa hajaliruhusu na aliloliruhusu pia mwanadamu hawezi kulizuwia, kuzuwia kwa mwanadamu ni kujiangamiza, kama ilivyo kuhalalisha asichoalalisha ukaangamia ndivyo na kuzuwia alicho alalisha ishi kama anavyoagiza si kama unavyo taka wewe kuishi,kwasababu hayupo ajuwaye baada ya Dakika tano nini kitamtokea,
hakuna mtu aliyejichaguwa awe alivyo hivi sasa hata kuzaliwa kila mmoja alijikuta yuko kama alivyo awe ni mwanaume,au mwanamke hivyo hayupo anayeweza kutamba kwa mwingine wala kwa chochote alicho nacho, kama ni kutamba Bwana anaruhusu mtu atambe kwaajili ya kumfahamu yeye,,
Kwa kuwa atakuagizia malaika zake wakulinde katika njia zako zote. Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya; kwa maana Wewe upo pamoja nami.
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu. —Wafilipi 4:13, 19
Namna ya kuishinda Dhambi,
1 Wakorintho 10:13
Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili.
Waebrania 4:16
Basi na tukikaribie kiti cha flee-ma kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.
2 Timotheo 2:22
Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
1 Yohana 1:7
Bali tukienenda nuruni, kama yeye ahivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.
Warumi 6:11
Vivyo hivyo ninyi nanyi jihesabuni kuwa wafu kwa dhambi, na walio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.
Yakobo 4:7
Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.
Zaburi 119:11
Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, nisije nikakutenda dhambi.
Nguvu ya maombi
Zaburi 27:8
Uliposema, Nitafuteni uso Wangu, Moyo wangu umekuambia, BWANA, uso wako nitautafuta.
Zaburi 62:8
Enyi watu, mtumainini sikuzote, ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.
Yeremia 17:14
Uniponye, Ee BWANA, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.
1 Wathesalonike 5:17, 18
Ombeni bila kukoma; shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika KristoYesu.
Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa. —Yakobo 1:5
Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. —Yohana 15:7
Zaburi 34:4
Nalimtafuta BWANA akanijibu, akaniponya na hofu zangu zote.
Zaburi 66:18; 25:11
Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia. Ee BWANA, kwa ajili ya jina lako, unisamehe uovu wangu, maana ni mwingi.
Jiweke tayari kwa ujio wa kristo Yesu
1 Wathesalonike 4:16, 17
Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
2 Wakorintho 7:1
Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.
1 Yohana 2:28
Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake katika kuja kwake.
Yakobo 5:8, 9
Nanyi vumilieni, mthibitishe mioyo yenu, kwa maana kuja kwake Bwana kunakaribia. Ndugu, msinung’unikiane msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.
Luka 12:40
Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Adamu.
Kujazwa na Roho wa Mungu ni jambo la muhimu pia katika maisha ya mwanadamu,
Mithali 1:23
Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; tazama, nitawamwagia roho yangu, na kuwajulisheni maneno yangu.
Matendo 2:38
Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.
Waefeso 5:18-21
Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu; na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo; hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.
Wafilipi 2:13
Kwa maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusudi lake jema.
1 Wakorintho 3:16; 6:2
Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? Maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu. na yeye atakaye liharibu Hekalu langu nami nitamuharibu, ukivuta sigara,ukifanya ukahaba,ukinywa pombe,ukilinajisi hekalu la Mungu yaani mwili wako naye Bwana atauharibu, Hebu fahamu hivi alichokiharamisha Mungu mwanadamu Hawezi kukihalalisha au kukitakasa kwa namna yeyote ile,
Na kunzuri zaidi Mungu Hakuwahi kubadilika wala siyo kigeu geu alilolikataza miaka elfu tatu mpaka sasa hajaliruhusu na aliloliruhusu pia mwanadamu hawezi kulizuwia, kuzuwia kwa mwanadamu ni kujiangamiza, kama ilivyo kuhalalisha asichoalalisha ukaangamia ndivyo na kuzuwia alicho alalisha ishi kama anavyoagiza si kama unavyo taka wewe kuishi,kwasababu hayupo ajuwaye baada ya Dakika tano nini kitamtokea,
hakuna mtu aliyejichaguwa awe alivyo hivi sasa hata kuzaliwa kila mmoja alijikuta yuko kama alivyo awe ni mwanaume,au mwanamke hivyo hayupo anayeweza kutamba kwa mwingine wala kwa chochote alicho nacho, kama ni kutamba Bwana anaruhusu mtu atambe kwaajili ya kumfahamu yeye,,
MBELE ZA MUNGU HAKUNA UBAGUZI
kizibiti chako kitajitambulisha hakutakuwa na ubishi kwa mtu yeyote yule,
Wakorintho 5:10
Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee. kadiri alivyotenda, kwamba ni mema au mabaya.
Warumi 2:16
Katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, kwa Kristo Yesu.
2 Wathesalonike 1:7, 8
Wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake; katika mwali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
Luka 19:27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
SIO WOTE WANAOSHUHUDIA KUMFUATA YESU WALIO WA YESU
Tito 1:16
Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana.
Warumi 8:9
Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
Ezekieli 33:31
Nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.
Mathayo 15:8
Watu hawa huniheshimu kwa midomo; ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 7:21-23
Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika uf alme wa mbinguni; bali ni yeye af anyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
WAFUASI HALISI WA YESU HUMII
1 Yohana 2:3
Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
Ezekieli 36:27
Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
Waebrania 5:9
Naye alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaomtii.
Warumi 6:18
Na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.
Waefeso 2:10
Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.
Warumi 8:10, 13
Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu i hai, kwa sababu ya haki. Kwa maana kama mkiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.
2 Timotheo 2:19
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.
ULIMWENGU UNACHUKIA WAFUASI WA YESU
Yohana 15:18, 19
Iwapo ulimwengu ukiwachukia, mwajua ya kuwa umenichukia mimi kabla ya kuwachukia ninyi. Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda walio wake, lakini kwa kuwa ninyi si wa ulimwengu, bali mimi naliwachagua katika ulimwengu, kwa sababu hiyo ulimwengu huwachukia.
Yohana 16:2, 3
Naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada. Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
1 Yohana 3:1
Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
Matendo 14:22
Na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.
2 Timotheo 3:12
Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.
Yohana 16:33
Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
AHADI KWA WANAO DHULUMIWA
Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu. —1 Petro 5:7
Isaya 41:10
Usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Baba yangu na mama yangu wameniacha, bali BWANA atanikaribisha kwake. —Zaburi 27:10
Waebrania 13:6
Hata twathubutu kusema, Bwana ndiye anisaidiaye, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
1 Petro 4:14
Mkilaumiwa kwa ajili ya jina la Kristo ni heri yenu; kwa kuwa Roho wa utukufu na wa Mungu anawakalia.
Zaburi 91:11; 23:4 Fuatilia maandiko
Wakorintho 5:10
Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee. kadiri alivyotenda, kwamba ni mema au mabaya.
Warumi 2:16
Katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, kwa Kristo Yesu.
2 Wathesalonike 1:7, 8
Wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake; katika mwali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
Luka 19:27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
SIO WOTE WANAOSHUHUDIA KUMFUATA YESU WALIO WA YESU
Tito 1:16
Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana.
Warumi 8:9
Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
Ezekieli 33:31
Nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.
Mathayo 15:8
Watu hawa huniheshimu kwa midomo; ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 7:21-23
Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika uf alme wa mbinguni; bali ni yeye af anyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
WAFUASI HALISI WA YESU HUMII
1 Yohana 2:3
Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
Ezekieli 36:27
Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
Waebrania 5:9
Naye alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaomtii.
Warumi 6:18
Na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.
Waefeso 2:10
Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.
Warumi 8:10, 13
Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu i hai, kwa sababu ya haki. Kwa maana kama mkiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.
2 Timotheo 2:19
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.
ULIMWENGU UNACHUKIA WAFUASI WA YESU
Yohana 15:18, 19
Iwapo ulimwengu ukiwachukia, mwajua ya kuwa umenichukia mimi kabla ya kuwachukia ninyi. Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda walio wake, lakini kwa kuwa ninyi si wa ulimwengu, bali mimi naliwachagua katika ulimwengu, kwa sababu hiyo ulimwengu huwachukia.
Yohana 16:2, 3
Naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada. Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
1 Yohana 3:1
Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
Matendo 14:22
Na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.
2 Timotheo 3:12
Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.
Yohana 16:33
Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
AHADI KWA WANAO DHULUMIWA
Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu. —1 Petro 5:7
Isaya 41:10
Usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Baba yangu na mama yangu wameniacha, bali BWANA atanikaribisha kwake. —Zaburi 27:10
Waebrania 13:6
Hata twathubutu kusema, Bwana ndiye anisaidiaye, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
1 Petro 4:14
Mkilaumiwa kwa ajili ya jina la Kristo ni heri yenu; kwa kuwa Roho wa utukufu na wa Mungu anawakalia.
Zaburi 91:11; 23:4 Fuatilia maandiko
UFUFUO WETU BAADA YA MAUTI YA MWILI WA DAMU NA NYAMA
kufufuliwa baada ya mauti ya huu mwili wa damu na nyama
Warumi 8:11
Lakini, ikiwa Roho wake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.
1 Wakorintho 6:14
Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake.
Yohana 11:25, 26
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele.
1 Wakorintho 15:21-23
Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu, kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu. Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa. Lakini kila mmoja mahali pake; limbuko ni Kristo; baadaye walio wake Kristo, atakapokuja.
Yohana 14:19
Na kwa sababu mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.
USIDHARAU WOKOVU HUU MKUU — 40
Waebrania 10:28, 29
Mtu aliyeidharau sheria ya Musa hufa pasipo huruma, kwa neno la mashahidi wawili au watatu. Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema?
Yohana 12:48
Yeye anikataaye mimi, asiyeyakubali maneno yangu, anaye amhukumuye; neno hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho.
Kwa hiyo naliwaambieni ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye, mtakuf a katika dhambi zenu. —Yohana 8:24
Luka 12:4, 5
Nami nawaambia ninyi rafiki zangu, msiwaogope hao wauuao mwili, kisha baada ya hayo hawana wawezalo kutenda zaidi. Lakini nitawaonya mtakayemwogopa; mwogopeni yule ambaye akiisha kumwua mtu ana uweza wa kumtupa katika Jehanum; naam, nawaambia, Mwogopeni huyo.
Waebrania 2:3
Sisi je! tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii?
YESU KRISTO ATATUHUKUMU — 41
Matendo 17:31
Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.
Yohana 5:22, 23
Tena Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote; ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba.
2 Wakorintho 5:10
Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee. kadiri alivyotenda, kwamba ni mema au mabaya.
Warumi 2:16
Katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, kwa Kristo Yesu.
2 Wathesalonike 1:7, 8
Wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake; katika mwali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
Luka 19:27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
SIO WOTE WANAOSHUHUDIA KUMFUATA YESU WALIO WA YESU — 42
Tito 1:16
Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana.
Warumi 8:9
Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
Ezekieli 33:31
Nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.
Mathayo 15:8
Watu hawa huniheshimu kwa midomo; ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 7:21-23
Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika uf alme wa mbinguni; bali ni yeye af anyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
WAFUASI HALISI WA YESU HUMII — 43
1 Yohana 2:3
Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
Ezekieli 36:27
Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
Waebrania 5:9
Naye alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaomtii.
Warumi 6:18
Na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.
Waefeso 2:10
Warumi 8:11
Lakini, ikiwa Roho wake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.
1 Wakorintho 6:14
Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake.
Yohana 11:25, 26
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele.
1 Wakorintho 15:21-23
Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu, kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu. Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa. Lakini kila mmoja mahali pake; limbuko ni Kristo; baadaye walio wake Kristo, atakapokuja.
Yohana 14:19
Na kwa sababu mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.
USIDHARAU WOKOVU HUU MKUU — 40
Waebrania 10:28, 29
Mtu aliyeidharau sheria ya Musa hufa pasipo huruma, kwa neno la mashahidi wawili au watatu. Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema?
Yohana 12:48
Yeye anikataaye mimi, asiyeyakubali maneno yangu, anaye amhukumuye; neno hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho.
Kwa hiyo naliwaambieni ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye, mtakuf a katika dhambi zenu. —Yohana 8:24
Luka 12:4, 5
Nami nawaambia ninyi rafiki zangu, msiwaogope hao wauuao mwili, kisha baada ya hayo hawana wawezalo kutenda zaidi. Lakini nitawaonya mtakayemwogopa; mwogopeni yule ambaye akiisha kumwua mtu ana uweza wa kumtupa katika Jehanum; naam, nawaambia, Mwogopeni huyo.
Waebrania 2:3
Sisi je! tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii?
YESU KRISTO ATATUHUKUMU — 41
Matendo 17:31
Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.
Yohana 5:22, 23
Tena Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote; ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba.
2 Wakorintho 5:10
Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee. kadiri alivyotenda, kwamba ni mema au mabaya.
Warumi 2:16
Katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, kwa Kristo Yesu.
2 Wathesalonike 1:7, 8
Wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake; katika mwali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
Luka 19:27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
SIO WOTE WANAOSHUHUDIA KUMFUATA YESU WALIO WA YESU — 42
Tito 1:16
Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana.
Warumi 8:9
Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
Ezekieli 33:31
Nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.
Mathayo 15:8
Watu hawa huniheshimu kwa midomo; ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 7:21-23
Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika uf alme wa mbinguni; bali ni yeye af anyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
WAFUASI HALISI WA YESU HUMII — 43
1 Yohana 2:3
Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
Ezekieli 36:27
Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
Waebrania 5:9
Naye alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaomtii.
Warumi 6:18
Na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.
Waefeso 2:10
SI KILA MTU ANAYEFUNGWA GEREZANI ANAHATIA,
Si kila anayetuhumiwa kosa ni kweli amelifanya"
Siku za leo watu wanapitia mateso makali sana tena wasiyo stahili kupitia kwamakosa ya kusingiziwa tu kabla ya kuendelea kufafanuwa sana tuangalie maandiki yanatuhakikishia nini kuhusiana na hili ninalotaka tushirikiane na wewe leo, Bilblia inatueleza juu ya mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Yusufu wengi mnazifahamu habari zake hapa nitazitolea mfano kidogo ili kukuwezesha wewe kuelewe zaidi
Baada ya kitambo Mke wa potifa akamtamani Yusufu akamwambia njoo ukutane nami kimwili lakini yusufu akakataa akamwambia yule mwanamke mimi nikiwa katika uongozi Bwana wangu hausiki na kitu chochote katika nyumba hii kila kitu alicho nacho amenikabithi Hapa nyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi bwana wangu hakunizuilia kitu chochote isipokuwa wewe kwakuwa wewe ni mke wake nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutenda Dhambi zidi ya Mungu? ingawa yule mwanamke aliendelea kumshawishi siku baada ya siku yusufu alikataa kukutana naye kimwili wala kukaa karibu naye
Siku moja yusufu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi zake hapakuwa na mfanyakazi yoyote ndani ya nyumba mke wa potifa akashika Vazi alilokuwa amevaa yusufu akamwambia njoo tukutane kimwili, lakini yusufu akaacha vazi lake mkononi na kukimbia nje ya nyumba akawaita watumishi wake wanyumbani akawaambia "Tazameni huyu mwibrania ameletwa haoa kututhihaki!! aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele aliposikia kelele za kuomba msaada akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia inje
Yule mwanamke akaliweka vazi karibu naye mpaka potifa alipo rudi yumbani ndipo akamwelezea kisa hiki akisema yule mtumwa wa kiibrania uliyemleta alinijia ili kunithihaki! aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili lakini nikapiga kelele aliposikia kelele za kuomba msaada akaacha vazi lake kando yangu akakimbia inje ya nyumba,
Wakati potifa aliposikia kisa hiki mkewe alicho mueleza Hivi ndivyo mtumwa wako alivyo tenda "Hasira ya potifa ikawaka Potifa akamchukuwa Yusufu na kumweka Gerezani Mwanzo 39:7, kwa hivyo tunamuona huyu kijana wawatu pamoja na kujitahidi kukimbia bado kesi inamwangukia ya kusingiziwa wewe mwenyewe ni shahidi wa maisha yako ni mara ngapi umesingiziwa na jambo na watu wote akaliamini kuwa ni lakeli ninajuwa lili kuumiza sana,
Unapo ona misukosuko mbele yako ujuwe katika ulimwengu wa ki-Roho kunasehemu Mungu anataka kukufikisha kwa sababu maalumu kwaajili ya utukufu wake leo hii kama ningemueleza mtu bila ushahidi kama nilioutumia hapa engeweza asiamini lakini ndugu yangu ninakutia moyo wewe songa mbele usibabaike na ushahidi unaoonyeshwa usio wa kweli, kama ushahidi uliobakiza mikononi ni wakweli jitahidi kutubu na kukiri kosa na uanze maisha mapya,bali kama moyo wako unauhakika hujatenda jambo unalotuhumiwa nalo wewe tulia Mungu atafanya jambo kwaajili yako,
wengine wameachia nafasi kwa ibilisi anawatesa kila siku maana wamemuachia ushahidi ndio anaokwenda nao kwa Mungu wetu kushitaki ana mwambia Munngu Tazama huyu mtumishi wako anakuita kila jumapili tena anataka umubariki lakini juzi tu alikuwa kwa wachawi anamtengeneza jirani yake ,mkewe,mmewe,mtoto wa jirani yake,au kutafuta Dawa ya biashara na ushahidi huu hapa anaonyeshea yale madawa uliyoyakumbatia au kuyavaa kiunoni,shingoni au kuweka chini ya godoro lako la kitanda, sasa Mungu akiangalia kizibitisho akakikuta kipo na ni cha kweli huwezi kupokea uponyaji wala baraka maana yeye ni Mungu mwenye wivu apaswae kuabudiwa ni yeye tu wala hashirikiani na mtu wala kitu katika utukufu wake,
Chunguza haya niliyoelezea hapa kama ndani yake unashuhudiwa wewe kuufuta ushahidi uliomwachia ibilisi akapata nafasi ya kukushitaki nayo kwa Baba yako wa mbinguni, kama kuna umuhimu nenda kautupe ule uchawi na madawa uliyopewa na yule mchawi, kama ni ushahidi wa mtu kamtangazie kuwa sasa basi uhusiano na mke asiye mke wako,au mme asiye wako baki na wakwako,mwambie Mungu akutoshelezee huyo huyo tu, kama ni umbea acha mara moja, wizi acha mara moja lolote unalolijuwa kuwa halitamtukuza Mungu liache na usilifanye tena maana utakuwa ndio ushahidi wa wako utakaotumika na Muovu kukushitaki wewe,
Soma neno la Mungu na ufuate maelekezo yote usitafute kile unachokitaka tu,ukikihitaji unachokitaka pekee utakipata na utakwepana na baraka za Mungu, kitu chochote kinachofaywa bila Mungu kuhusishwa kitawezekana kwa mda mfupi baada ya hapo lolote linaweza kutokea, kwani hujawahi kuona au kusikia mtu anajenga nyumba nzuri sana akimaliza tu kabla hajaingia anafariki dunia, au mtu anaoa hivi karibuni tu lakini chakushangaza inakuwa kama amewaolea watu anakuwa ni mke wa watu na si mke wa mtu, na inawezekana ameenda kuolea mbali ya mji au mkoa au inchi ila akishamfikisha tu tayari anakuwa ni wawatu wengine wakatimwingine anapokonywa kabisha, anakuwa wa wangine unaweza kuyaona haya kumbu kumbu la torati 28:30
Ushahuri wangu mtangulize Mungu katika maisha yako yote si kwa kutamka kwa kinywa tu bali kwa kumaanisha inaendelea,,,
Siku za leo watu wanapitia mateso makali sana tena wasiyo stahili kupitia kwamakosa ya kusingiziwa tu kabla ya kuendelea kufafanuwa sana tuangalie maandiki yanatuhakikishia nini kuhusiana na hili ninalotaka tushirikiane na wewe leo, Bilblia inatueleza juu ya mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Yusufu wengi mnazifahamu habari zake hapa nitazitolea mfano kidogo ili kukuwezesha wewe kuelewe zaidi
Baada ya kitambo Mke wa potifa akamtamani Yusufu akamwambia njoo ukutane nami kimwili lakini yusufu akakataa akamwambia yule mwanamke mimi nikiwa katika uongozi Bwana wangu hausiki na kitu chochote katika nyumba hii kila kitu alicho nacho amenikabithi Hapa nyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi bwana wangu hakunizuilia kitu chochote isipokuwa wewe kwakuwa wewe ni mke wake nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutenda Dhambi zidi ya Mungu? ingawa yule mwanamke aliendelea kumshawishi siku baada ya siku yusufu alikataa kukutana naye kimwili wala kukaa karibu naye
Siku moja yusufu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi zake hapakuwa na mfanyakazi yoyote ndani ya nyumba mke wa potifa akashika Vazi alilokuwa amevaa yusufu akamwambia njoo tukutane kimwili, lakini yusufu akaacha vazi lake mkononi na kukimbia nje ya nyumba akawaita watumishi wake wanyumbani akawaambia "Tazameni huyu mwibrania ameletwa haoa kututhihaki!! aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele aliposikia kelele za kuomba msaada akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia inje
Yule mwanamke akaliweka vazi karibu naye mpaka potifa alipo rudi yumbani ndipo akamwelezea kisa hiki akisema yule mtumwa wa kiibrania uliyemleta alinijia ili kunithihaki! aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili lakini nikapiga kelele aliposikia kelele za kuomba msaada akaacha vazi lake kando yangu akakimbia inje ya nyumba,
Wakati potifa aliposikia kisa hiki mkewe alicho mueleza Hivi ndivyo mtumwa wako alivyo tenda "Hasira ya potifa ikawaka Potifa akamchukuwa Yusufu na kumweka Gerezani Mwanzo 39:7, kwa hivyo tunamuona huyu kijana wawatu pamoja na kujitahidi kukimbia bado kesi inamwangukia ya kusingiziwa wewe mwenyewe ni shahidi wa maisha yako ni mara ngapi umesingiziwa na jambo na watu wote akaliamini kuwa ni lakeli ninajuwa lili kuumiza sana,
Unapo ona misukosuko mbele yako ujuwe katika ulimwengu wa ki-Roho kunasehemu Mungu anataka kukufikisha kwa sababu maalumu kwaajili ya utukufu wake leo hii kama ningemueleza mtu bila ushahidi kama nilioutumia hapa engeweza asiamini lakini ndugu yangu ninakutia moyo wewe songa mbele usibabaike na ushahidi unaoonyeshwa usio wa kweli, kama ushahidi uliobakiza mikononi ni wakweli jitahidi kutubu na kukiri kosa na uanze maisha mapya,bali kama moyo wako unauhakika hujatenda jambo unalotuhumiwa nalo wewe tulia Mungu atafanya jambo kwaajili yako,
wengine wameachia nafasi kwa ibilisi anawatesa kila siku maana wamemuachia ushahidi ndio anaokwenda nao kwa Mungu wetu kushitaki ana mwambia Munngu Tazama huyu mtumishi wako anakuita kila jumapili tena anataka umubariki lakini juzi tu alikuwa kwa wachawi anamtengeneza jirani yake ,mkewe,mmewe,mtoto wa jirani yake,au kutafuta Dawa ya biashara na ushahidi huu hapa anaonyeshea yale madawa uliyoyakumbatia au kuyavaa kiunoni,shingoni au kuweka chini ya godoro lako la kitanda, sasa Mungu akiangalia kizibitisho akakikuta kipo na ni cha kweli huwezi kupokea uponyaji wala baraka maana yeye ni Mungu mwenye wivu apaswae kuabudiwa ni yeye tu wala hashirikiani na mtu wala kitu katika utukufu wake,
Chunguza haya niliyoelezea hapa kama ndani yake unashuhudiwa wewe kuufuta ushahidi uliomwachia ibilisi akapata nafasi ya kukushitaki nayo kwa Baba yako wa mbinguni, kama kuna umuhimu nenda kautupe ule uchawi na madawa uliyopewa na yule mchawi, kama ni ushahidi wa mtu kamtangazie kuwa sasa basi uhusiano na mke asiye mke wako,au mme asiye wako baki na wakwako,mwambie Mungu akutoshelezee huyo huyo tu, kama ni umbea acha mara moja, wizi acha mara moja lolote unalolijuwa kuwa halitamtukuza Mungu liache na usilifanye tena maana utakuwa ndio ushahidi wa wako utakaotumika na Muovu kukushitaki wewe,
Soma neno la Mungu na ufuate maelekezo yote usitafute kile unachokitaka tu,ukikihitaji unachokitaka pekee utakipata na utakwepana na baraka za Mungu, kitu chochote kinachofaywa bila Mungu kuhusishwa kitawezekana kwa mda mfupi baada ya hapo lolote linaweza kutokea, kwani hujawahi kuona au kusikia mtu anajenga nyumba nzuri sana akimaliza tu kabla hajaingia anafariki dunia, au mtu anaoa hivi karibuni tu lakini chakushangaza inakuwa kama amewaolea watu anakuwa ni mke wa watu na si mke wa mtu, na inawezekana ameenda kuolea mbali ya mji au mkoa au inchi ila akishamfikisha tu tayari anakuwa ni wawatu wengine wakatimwingine anapokonywa kabisha, anakuwa wa wangine unaweza kuyaona haya kumbu kumbu la torati 28:30
Ushahuri wangu mtangulize Mungu katika maisha yako yote si kwa kutamka kwa kinywa tu bali kwa kumaanisha inaendelea,,,
UZIMA WA MILELE NDIO HUU,
SHERIA YA MUNGU KWA WANADAMU NI IPI?
Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Naye atakuwa kama mti uliopandwa kandokando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake, wala jani lake halinyauki; na kila alitendalo litafanikiwa.
Yesu hutoa maisha yen ye mazao
Yohana 15:4a, 5
Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi; akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lo lote.
MAANDIKO YANA NENA NINI JUU YA YESU KRISTO?
Yohana 5:39, 46
Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia. . . . Kwa maana kama mngalimwamini Musa, mngeniamini mimi; kwa sababu yeye aliandika habari zangu.
Luka 24:27
Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.
NENO LA MUNGU HALIBADILIKI
Zaburi 119:89, 160
Ee BWANA, neno lako lasimama imara mbinguni hata milele. Jumla ya neno lako ni kweli, na kila hukumu ya haki yako ni ya milele.
Isaya 40:8
Majani yakauka, ua lanyauka; bali neno la Mungu wetu litasimama milele.
Mathayo 5:18
Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.
Yohana 10:35
Na maandiko hayawezi kutanguka.
Mtu asijaribu kubadilisha maneno ya Biblia
Kumbukumbu La Torati 12:32
Neno niwaagizalo lo lote liangalieni kulifanya; usiliongeze, wala usilipunguze.
Mithali 30:6
Usiongeze neno katika maneno yake; asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.
Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima. —Ufunuo 22:19
Mithali 13:13a
Kila alidharauye neno hujiletea uharibifu.
KIFO CHA YESU KILIKAMILISHA MPANGO WA MUNGU
Yohana 10:17, 18
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena.
Mathayo 26:53, 54
Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika? Yatatimizwaje basi maandiko, ya kwamba hivyo ndivyo vilivyopasa kujiri?
Matendo 3:18
Lakini mambo yale aliyohubiri Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake wote, ya kwamba Kristo wake atateswa, ameyatimiza hivyo.
Matendo 2:23
Mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulibisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua.
Isaya 53:10
Lakini BWANA aliridhika kumchubua; amemhuzunisha; utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa dhambi.
KIFO CHA YESU KUTANGAZWA NA MASHAHIDI
Marko 15:27, 28
Na pamoja naye walisulibisha wanyang’anyi wawili, mmoja mkono wake wa kuume na mmoja mkono wake wa kushoto. Basi andiko likatimizwa linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.
Mathayo 27:45, 50-51, 54
Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hata saa tisa. . . . Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake. . . . nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka. Basi yule akida, na hao waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoliona tetemeko la nchi na mambo ya liyofanyika, wakaogopa sana, wakisema, Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Yohana 19:32-37
Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili, aliyesulibiwa pamoja naye. Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji. ...Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na...watamtazama yeye waliyemchoma.
YESU ALISHINDA KIFO
Matendo 2:24, 32
Ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao. Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.
Waebrania 2:14, 15
Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi, awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.
1 Wakorintho 15:55, 57
Ku wapi, Ewe mauti, kushinda kwako? U wapi, Ewe mauti, uchungu wako? Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Ufunuo 1:18
Na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
2 Timotheo 1:10
Na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa ile Injili.
KUNAFAIDAGANI KUMKIRI KRISTO YESU?
Ufunuo 3:20
Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. Ugumu wa watu wengi ni namna ya kusikia sauti ya Mungu lakini kama ni Mungu watu wanampenda usahuri wangu nyenyekea chini ya mkono wa mungu naye atakusaidia kukutofautishia sauti yake na ya muovu maana sauti ya muovu imepoteza wengi sana japo bado Mungu wete hao hataki wapotee bali anataka wote watakao mwamini wapate kuwa na uzima tele tena wa milele,
Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Naye atakuwa kama mti uliopandwa kandokando ya vijito vya maji, uzaao matunda yake kwa majira yake, wala jani lake halinyauki; na kila alitendalo litafanikiwa.
Yesu hutoa maisha yen ye mazao
Yohana 15:4a, 5
Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi; akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lo lote.
MAANDIKO YANA NENA NINI JUU YA YESU KRISTO?
Yohana 5:39, 46
Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia. . . . Kwa maana kama mngalimwamini Musa, mngeniamini mimi; kwa sababu yeye aliandika habari zangu.
Luka 24:27
Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.
NENO LA MUNGU HALIBADILIKI
Zaburi 119:89, 160
Ee BWANA, neno lako lasimama imara mbinguni hata milele. Jumla ya neno lako ni kweli, na kila hukumu ya haki yako ni ya milele.
Isaya 40:8
Majani yakauka, ua lanyauka; bali neno la Mungu wetu litasimama milele.
Mathayo 5:18
Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.
Yohana 10:35
Na maandiko hayawezi kutanguka.
Mtu asijaribu kubadilisha maneno ya Biblia
Kumbukumbu La Torati 12:32
Neno niwaagizalo lo lote liangalieni kulifanya; usiliongeze, wala usilipunguze.
Mithali 30:6
Usiongeze neno katika maneno yake; asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.
Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima. —Ufunuo 22:19
Mithali 13:13a
Kila alidharauye neno hujiletea uharibifu.
KIFO CHA YESU KILIKAMILISHA MPANGO WA MUNGU
Yohana 10:17, 18
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena.
Mathayo 26:53, 54
Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika? Yatatimizwaje basi maandiko, ya kwamba hivyo ndivyo vilivyopasa kujiri?
Matendo 3:18
Lakini mambo yale aliyohubiri Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake wote, ya kwamba Kristo wake atateswa, ameyatimiza hivyo.
Matendo 2:23
Mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulibisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua.
Isaya 53:10
Lakini BWANA aliridhika kumchubua; amemhuzunisha; utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa dhambi.
KIFO CHA YESU KUTANGAZWA NA MASHAHIDI
Marko 15:27, 28
Na pamoja naye walisulibisha wanyang’anyi wawili, mmoja mkono wake wa kuume na mmoja mkono wake wa kushoto. Basi andiko likatimizwa linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.
Mathayo 27:45, 50-51, 54
Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hata saa tisa. . . . Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake. . . . nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka. Basi yule akida, na hao waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoliona tetemeko la nchi na mambo ya liyofanyika, wakaogopa sana, wakisema, Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Yohana 19:32-37
Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili, aliyesulibiwa pamoja naye. Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji. ...Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na...watamtazama yeye waliyemchoma.
YESU ALISHINDA KIFO
Matendo 2:24, 32
Ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao. Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.
Waebrania 2:14, 15
Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi, awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.
1 Wakorintho 15:55, 57
Ku wapi, Ewe mauti, kushinda kwako? U wapi, Ewe mauti, uchungu wako? Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Ufunuo 1:18
Na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
2 Timotheo 1:10
Na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa ile Injili.
KUNAFAIDAGANI KUMKIRI KRISTO YESU?
Ufunuo 3:20
Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. Ugumu wa watu wengi ni namna ya kusikia sauti ya Mungu lakini kama ni Mungu watu wanampenda usahuri wangu nyenyekea chini ya mkono wa mungu naye atakusaidia kukutofautishia sauti yake na ya muovu maana sauti ya muovu imepoteza wengi sana japo bado Mungu wete hao hataki wapotee bali anataka wote watakao mwamini wapate kuwa na uzima tele tena wa milele,
SWALI LINALOWASUMBUWA WATU WA DINI,NA DUNIA
Yohane 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu
1 Timotheo 3:16
Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili.
Wakolosai 2:9
Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume; na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Yohana 8:58
Yesu akawaambia, . . . Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukum tambua. —Yohana 1:10
1 Timotheo 2:5, 6
Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; ambaye alijitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya wote.
Wakolosai 1:14, 15
Ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi; naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana.
BIBLIA (MAANDIKO) NI NENO LA MUNGU — 26
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. —2 Petro 1:21
Luka 1:70, 77
Kama alivyosema tangu mwanzo kwa kinywa cha manabii wake watakatifu; uwajulishe watu wake wokovu, katika kusamehewa dhambi zao.
Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, na neno lake likawa ulimini mwangu. —2 Samweli 23:2
Kumbukumbu La Torati 6:6
Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako.
2 Timotheo 3:16
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki.
Warumi 15:4
Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini.
Mathayo 22:29
Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
Zaburi 138:2
Kwa maana umeikuza ahadi yako, kuliko jina lako lote.
YESU NDIYE NENO LA MUNGU
Ufunuo 19:13
Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.
Yohana 1:1, 14
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.
Yesu anamdhihirisha Mungu
2 Wakorintho 4:6
Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang’aa toka gizani, ndiye aliyeng’aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.
Yohana 1:18
Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.
Mungu yuanena kuptia kwa Yesu
Waebrania 1:1, 2
Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
Yohana 8:38
Niliyoyaona kwa Baba ndiyo niyanenayo.
Tunasema ni neno na ni chakula,
Biblia ni chakula kwa nafsi
Ayubu 23:12
Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu.
Mathayo 4:4
Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
Biblia inaangaza njia yetu
Zaburi 119:105
Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu.
Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, na kumfahamisha mjinga. —Zaburi 119:130
Yesu ni mkate kutoka mbinguni
Yohana 6:51, 48
Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu. Mimi ndimi chakula cha uzima.
Yesu ni nuru ya ulimwengu
Yohana 8:12
Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Biblia huleta maisha yen ye mazao
Zaburi 1:2, 3
Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu
1 Timotheo 3:16
Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili.
Wakolosai 2:9
Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume; na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Yohana 8:58
Yesu akawaambia, . . . Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukum tambua. —Yohana 1:10
1 Timotheo 2:5, 6
Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; ambaye alijitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya wote.
Wakolosai 1:14, 15
Ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi; naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana.
BIBLIA (MAANDIKO) NI NENO LA MUNGU — 26
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. —2 Petro 1:21
Luka 1:70, 77
Kama alivyosema tangu mwanzo kwa kinywa cha manabii wake watakatifu; uwajulishe watu wake wokovu, katika kusamehewa dhambi zao.
Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, na neno lake likawa ulimini mwangu. —2 Samweli 23:2
Kumbukumbu La Torati 6:6
Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako.
2 Timotheo 3:16
Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki.
Warumi 15:4
Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini.
Mathayo 22:29
Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
Zaburi 138:2
Kwa maana umeikuza ahadi yako, kuliko jina lako lote.
YESU NDIYE NENO LA MUNGU
Ufunuo 19:13
Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.
Yohana 1:1, 14
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.
Yesu anamdhihirisha Mungu
2 Wakorintho 4:6
Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang’aa toka gizani, ndiye aliyeng’aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.
Yohana 1:18
Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.
Mungu yuanena kuptia kwa Yesu
Waebrania 1:1, 2
Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
Yohana 8:38
Niliyoyaona kwa Baba ndiyo niyanenayo.
Tunasema ni neno na ni chakula,
Biblia ni chakula kwa nafsi
Ayubu 23:12
Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu.
Mathayo 4:4
Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
Biblia inaangaza njia yetu
Zaburi 119:105
Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu.
Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, na kumfahamisha mjinga. —Zaburi 119:130
Yesu ni mkate kutoka mbinguni
Yohana 6:51, 48
Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu. Mimi ndimi chakula cha uzima.
Yesu ni nuru ya ulimwengu
Yohana 8:12
Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Biblia huleta maisha yen ye mazao
Zaburi 1:2, 3
KUNA UMUHIMU GANI WA KUTUBU DHAMBI ZETU KWA MUNGU?
Yeremia 36:3
Wapate kurudi, kila mtu akaiache njia yake mbaya; nami nikawasamehe. . . dhambi yao.
Zaburi 32:5
Nalikujulisha dhambi yangu, wala sikuuficha upotovu wangu. Nalisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA, nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.
1 Yohana 1:9
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
Matendo 3:19
Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.
Kutubu kunamaanisha kugeuka kutoka dhambini pamoja na kuungama mbele za Mungu.
DHABIHU INAYOTAKIKANA KUTUPATANISHA NA MUNGU
(Dhambi ilileta utengano.)
Mambo Ya Walawi 17:11
Kwa kuwa uhai wa mwili u katika hiyo damu; nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa sababu ya nafsi.
Waebrania 9:22
Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo
Kutoka 12:5, 13
Mwana-kondoo wenu atakuwa hana ila, mume wa mwaka mmoja. ...Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu.
Mwanzo 22:8, 13
Ibrahimu akasema, Mungu atajipatia mwana-kondoo kwa hiyo sadaka, mwanangu. . . . Ibrahimu akainua macho yake, akaangalia, na tazama, kondoo mume yuko nyuma yake, amenaswa pembe zake katika kichaka. Basi Ibrahimu akaenda akamtwaa huyo kondoo, akamtoa awe sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe.
YESU NDIYE MWANA KONDOO ALIYETOLEWA NA MUNGU
Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu! —Yohana 1:29
Alionewa, lakini alinyenyekea, wala hakufunua kinywa chake; kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, na kama vile kondoo anyamazavyo mbele yao wakatao manyoya yake; naam, hakufunua kinywa chake. —Isaya 53:7
Wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. Kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi. . . . Basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai? —Waebrania 9:12,28, 14
1 Petro 1:18, 19
Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.
UKOMBOZI NI KWA MAAFIKANO TU NA MUNGU
Warumi 3:24, 25
Wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu; ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake.
Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi. Basi zaidi sana tukiisha kuhesabiwa haki katika damu yake, tutaokolewa na ghadhabu kwa yeye. —Warumi 5:8,9
Hali tukijua ya kuwa mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; sisi tulimwamini Kristo Yesu. —Wagalatia 2:16
Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. —Waefeso 2:8,9
Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi. —Matendo 10:43
Matendo 4:12
Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
KUZALIWA KWA YESU KWATANGAZWA
Luka 1:26-38
...Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu. ...Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, ...na ufalme wake utakuwa hauna mwisho. Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume? Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.... kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu. Mariamu akasema, Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema. Kisha malaika akaondoka akaenda zake.
Watu tu walioingia Ulimwenguni pasipo uzao wa Mume na Mke walikuwa Adamu na Kristo. Adamu alileta dhambi katika Ulimwengu, lakini Yesu alileta ushindi juu ya dhambi.
yesu unamtambuwaje?
Wafilipi 2:6, 8
Ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Yohana 10:30, 36
Mimi na Baba tu umoja. Je! yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?
Yesu Kristo, Neno la Milele, amekuwako daima. Kwa muujiza, Mungu alisababisha atungwe mimba katika tumbo la Mariamu. Kimwili anajulikana kama Mwana wa Mtu, na Kiroho anajulikana kama Mwana wa Mungu. Maandiko yanatumia neno "Mwana" kueleza uhusiano ulioko kati ya Mungu na Neno lake—Yesu Kristo.
Waebrania 10:5
Kwa hiyo ajapo . . . Lakini mwili uliniwekea tayari.
Na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu, kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana wetu. —Warumi 1:4
Wapate kurudi, kila mtu akaiache njia yake mbaya; nami nikawasamehe. . . dhambi yao.
Zaburi 32:5
Nalikujulisha dhambi yangu, wala sikuuficha upotovu wangu. Nalisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA, nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.
1 Yohana 1:9
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
Matendo 3:19
Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.
Kutubu kunamaanisha kugeuka kutoka dhambini pamoja na kuungama mbele za Mungu.
DHABIHU INAYOTAKIKANA KUTUPATANISHA NA MUNGU
(Dhambi ilileta utengano.)
Mambo Ya Walawi 17:11
Kwa kuwa uhai wa mwili u katika hiyo damu; nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa sababu ya nafsi.
Waebrania 9:22
Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo
Kutoka 12:5, 13
Mwana-kondoo wenu atakuwa hana ila, mume wa mwaka mmoja. ...Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu.
Mwanzo 22:8, 13
Ibrahimu akasema, Mungu atajipatia mwana-kondoo kwa hiyo sadaka, mwanangu. . . . Ibrahimu akainua macho yake, akaangalia, na tazama, kondoo mume yuko nyuma yake, amenaswa pembe zake katika kichaka. Basi Ibrahimu akaenda akamtwaa huyo kondoo, akamtoa awe sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe.
YESU NDIYE MWANA KONDOO ALIYETOLEWA NA MUNGU
Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu! —Yohana 1:29
Alionewa, lakini alinyenyekea, wala hakufunua kinywa chake; kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, na kama vile kondoo anyamazavyo mbele yao wakatao manyoya yake; naam, hakufunua kinywa chake. —Isaya 53:7
Wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. Kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi. . . . Basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai? —Waebrania 9:12,28, 14
1 Petro 1:18, 19
Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.
UKOMBOZI NI KWA MAAFIKANO TU NA MUNGU
Warumi 3:24, 25
Wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu; ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake.
Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi. Basi zaidi sana tukiisha kuhesabiwa haki katika damu yake, tutaokolewa na ghadhabu kwa yeye. —Warumi 5:8,9
Hali tukijua ya kuwa mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; sisi tulimwamini Kristo Yesu. —Wagalatia 2:16
Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. —Waefeso 2:8,9
Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi. —Matendo 10:43
Matendo 4:12
Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
KUZALIWA KWA YESU KWATANGAZWA
Luka 1:26-38
...Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu. ...Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, ...na ufalme wake utakuwa hauna mwisho. Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume? Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.... kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu. Mariamu akasema, Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema. Kisha malaika akaondoka akaenda zake.
Watu tu walioingia Ulimwenguni pasipo uzao wa Mume na Mke walikuwa Adamu na Kristo. Adamu alileta dhambi katika Ulimwengu, lakini Yesu alileta ushindi juu ya dhambi.
yesu unamtambuwaje?
Wafilipi 2:6, 8
Ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Yohana 10:30, 36
Mimi na Baba tu umoja. Je! yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?
Yesu Kristo, Neno la Milele, amekuwako daima. Kwa muujiza, Mungu alisababisha atungwe mimba katika tumbo la Mariamu. Kimwili anajulikana kama Mwana wa Mtu, na Kiroho anajulikana kama Mwana wa Mungu. Maandiko yanatumia neno "Mwana" kueleza uhusiano ulioko kati ya Mungu na Neno lake—Yesu Kristo.
Waebrania 10:5
Kwa hiyo ajapo . . . Lakini mwili uliniwekea tayari.
Na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu, kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana wetu. —Warumi 1:4
KWA MTU MMOJA DHAMBI ILIINGIA ULIMWENGUNI,
Si kwamba twatosha sisi wenyewe kufikiri neno lo lote kwamba ni letu wenyewe, bali utoshelevu wetu watoka kwa Mungu aliyeumba mbingu na dunia
DHAMBI HUTUFARAKANISHA MUNGU WETU
Warumi 5:12
Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi.
Yakobo 1:15
Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.
Ezekieli 18:20
Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa.
Isaya 59:2
Lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.
Mithali 11:19
Haki huelekea uzima; afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.
2 Mambo Ya Nyakati 24:20
Mungu asema hivi, Kwani ninyi kuzihalifu amri za BWANA, hata msiweze kufanikiwa? Kwa kuwa mmemwacha BWANA, yeye naye amewaacha ninyi.
1 Samweli 15:23
Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi, na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, yeye naye amekukataa wewe.
GHADHABU YA MUNGU IKO JUU YA DHAMBI ZA MWANADAMU
Zaburi 7:11
Mungu ni mwamuzi mwenye haki, naam, Mungu aghadhibikaye kila siku.
Nahumu 1:3
BWANA si mwepesi wa hasira, ana uweza mwingi, wala hatamhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe.
Wakolosai 3:6
Kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
Warumi 1:18
Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.
Warumi 1:29-32
Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao, wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema; ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.
HUKUMU IKO MBELE NA SAFARI YA MWANADAMU
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu. —Waebrania 9:27
Ufunuo 20:12, 15
Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa na matendo yao. Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.
Waebrania 10:31
Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.
Mathayo 12:36
Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.
Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la sir likiwa jema au likiwa baya. —Mhubiri 12:14
Mathayo 13:49, 50
Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki, na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.
HATUWEZI KUMFICHA MUNGU MAOVU YETU
Mithali 15:3
Macho ya BWANA yako kila mahali; yakimchunguza mbaya na mwema.
Zaburi 139:1-4
Ee BWANA, umenichunguza na kunijua. Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu; umelifahamu wazo langu tokea mbali. Umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu, umeelewa na njia zangu zote. Maana hamna neno ulimini mwangu usilolijua kabisa, BWANA.
1 Samweli 16:7
Kwakuwa BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.
Zaburi 94:9
Aliyelitia sikio mahali pake asisikie? Aliyelifanya jicho asione?
Yeremia 16:17
Maana macho yangu yaziangalia njia zao zote; hawakufichwa uso wangu usiwaone, wala haukusitirika uovu wao macho yangu yasiuone.
Waebrania 4:13
Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, lakini vitu vyote vi utupu na kufunuliwa machoni pake yeye aliye na mambo yetu.
KUGEUKA NA KUTOKA DHAMBINI KUNAHITAJIKA SANA KWA MWANADAMU,
Ezekieli 18:23
Je! mimi ninafurahia kufa kwake mtu mwovu? asema Bwana MUNGU; si afadhali kwamba aghairi, na kuiacha njia yake, akaishi?
Luka 13:3
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Mithali 28:13
Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.
Yoeli 2:12, 13
Lakini hata sasa, asema BWANA, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie BWANA, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema.
Hosea 14:2
Chukueni maneno pamoja nanyi, mkamrudie BWANA; mkamwambie, Ondoa maovu yote, uyatakabali yaliyo mema.
Ayubu 33:27, 28
Yeye huimba mbele ya watu, na kusema, mimi nimefanya dhambi, yeye ameikomboa nafsi yangu isiende shimoni, an uhai wangu utautazama mwanga.
KUTUBU KUNALETA MSAMAHA
Isaya 55:6, 7
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, mwiteni, maadamu yu karibu; mtu mbaya na aache njia yake, na mtu asiye haki aache mawazo yake; na amrudie BWANA, naye atamrehemu; na arejee kwa Mungu wetu, naye atamsamehe kabisa.
Zaburi 34:18
BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo, na waliopondeka roho huwaokoa.
DHAMBI HUTUFARAKANISHA MUNGU WETU
Warumi 5:12
Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi.
Yakobo 1:15
Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.
Ezekieli 18:20
Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa.
Isaya 59:2
Lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.
Mithali 11:19
Haki huelekea uzima; afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.
2 Mambo Ya Nyakati 24:20
Mungu asema hivi, Kwani ninyi kuzihalifu amri za BWANA, hata msiweze kufanikiwa? Kwa kuwa mmemwacha BWANA, yeye naye amewaacha ninyi.
1 Samweli 15:23
Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi, na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, yeye naye amekukataa wewe.
GHADHABU YA MUNGU IKO JUU YA DHAMBI ZA MWANADAMU
Zaburi 7:11
Mungu ni mwamuzi mwenye haki, naam, Mungu aghadhibikaye kila siku.
Nahumu 1:3
BWANA si mwepesi wa hasira, ana uweza mwingi, wala hatamhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe.
Wakolosai 3:6
Kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
Warumi 1:18
Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.
Warumi 1:29-32
Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao, wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema; ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.
HUKUMU IKO MBELE NA SAFARI YA MWANADAMU
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu. —Waebrania 9:27
Ufunuo 20:12, 15
Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa na matendo yao. Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.
Waebrania 10:31
Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.
Mathayo 12:36
Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.
Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la sir likiwa jema au likiwa baya. —Mhubiri 12:14
Mathayo 13:49, 50
Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki, na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.
HATUWEZI KUMFICHA MUNGU MAOVU YETU
Mithali 15:3
Macho ya BWANA yako kila mahali; yakimchunguza mbaya na mwema.
Zaburi 139:1-4
Ee BWANA, umenichunguza na kunijua. Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu; umelifahamu wazo langu tokea mbali. Umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu, umeelewa na njia zangu zote. Maana hamna neno ulimini mwangu usilolijua kabisa, BWANA.
1 Samweli 16:7
Kwakuwa BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.
Zaburi 94:9
Aliyelitia sikio mahali pake asisikie? Aliyelifanya jicho asione?
Yeremia 16:17
Maana macho yangu yaziangalia njia zao zote; hawakufichwa uso wangu usiwaone, wala haukusitirika uovu wao macho yangu yasiuone.
Waebrania 4:13
Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, lakini vitu vyote vi utupu na kufunuliwa machoni pake yeye aliye na mambo yetu.
KUGEUKA NA KUTOKA DHAMBINI KUNAHITAJIKA SANA KWA MWANADAMU,
Ezekieli 18:23
Je! mimi ninafurahia kufa kwake mtu mwovu? asema Bwana MUNGU; si afadhali kwamba aghairi, na kuiacha njia yake, akaishi?
Luka 13:3
Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Mithali 28:13
Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.
Yoeli 2:12, 13
Lakini hata sasa, asema BWANA, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie BWANA, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema.
Hosea 14:2
Chukueni maneno pamoja nanyi, mkamrudie BWANA; mkamwambie, Ondoa maovu yote, uyatakabali yaliyo mema.
Ayubu 33:27, 28
Yeye huimba mbele ya watu, na kusema, mimi nimefanya dhambi, yeye ameikomboa nafsi yangu isiende shimoni, an uhai wangu utautazama mwanga.
KUTUBU KUNALETA MSAMAHA
Isaya 55:6, 7
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, mwiteni, maadamu yu karibu; mtu mbaya na aache njia yake, na mtu asiye haki aache mawazo yake; na amrudie BWANA, naye atamrehemu; na arejee kwa Mungu wetu, naye atamsamehe kabisa.
Zaburi 34:18
BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo, na waliopondeka roho huwaokoa.
KWENYE UTAKATIFU KUNA UTUKUFU WA MUNGU
Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; kwa maana hakuna ye yote ila wewe.
Ayubu 34:10
Mungu asidhaniwe kutenda udhalimu; wala Mwenyezi kuf anya uovu.
Isaya 6:3
Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.
Isaya 57:15
Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu.
Zaburi 145:17
BWANA ni mwenye haki katika njia zake zote, na mwenye fadhili juu ya kazi zake zote.
Marko 10:18
Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.
Ufunuo 15:4
Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu.
WATU WA MUNGU NI LAZIMA WAISHI MAISHA MATAKATIFU
Yakobo 2:19, 20
Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka. Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?
1 Yohana 2:4; 3:10
Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake. Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.
Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; bali humpenda mtu afuatiaye wema. —Mithali 15:9
Waebrania 12:14
Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao.
Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote. —1 Petro 1:15
Amosi 5:14
Tafuteni mema, wala si mabaya, mpate kuishi; hivyo BWANA, Mungu wa majeshi, atakuwa pamoja nanyi, kama msemavyo.
MAMBO MUNGU ANAYOYATAKA KWAKO
Mika 6:8
Na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!
Mambo Ya Walawi 19:2
Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu.
Luka 10:27
Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.
Marko 10:19
Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usi danganye, Waheshimu baba yako na mama yako.
Warumi 12:2
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu.
Yoshua 1:8
Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.
Marko 11:22
Mwaminini Mungu.
MAMBO MUNGU ALIYOYATAJA ANAYOCHUKIA
Mithali 6:16-19
Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; naam, viko saba vilivyo chukizo kwake. Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, na mikono imwagayo damu isiyo na hatia; moyo uwazao mawazo mabaya; miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu; shahidi wa uongo asemaye uongo; naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.
Isaya 61:8
Maana mimi, BWANA, naipenda hukumu ya haki, nauchukia wivi na uovu.
Ufunuo 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Malaki 2:15, 16
Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.
Zekaria 8:17
Wala mtu wa kwenu asiwaze mabaya moyoni mwake juu ya jirani yake; wala msipende kiapo cha uongo; maana hayo yote ndiyo niyachukiayo, asema BWANA.
WATU HUPUNGUKIWA NA MATAKWA YA MUNGU,
Walakini nimewajua ninyi ya kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu. —Yohana 5:42
Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote. —Yakobo 2:10
Isaya 6:5
Ndipo niliposema, Ole wangu! kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.
Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi. —Yakobo 4:17
Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, hakuna mwenye haki hata mmoja. —Warumi 3:10
Warumi 3:23
Kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
1 Yohana 3:10
Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.
Isaya 53:6
Sisi sote kama kondoo tumepotea; kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe.
Ni nani awezaye kusimama mbele za BWANA, huyu Mungu mtakatifu? —1 Samweli 6:20
KAZI ZETU WENYEWE HAZIWEZI KUMPENDEZA MUNGU KAMA HATUJAMSHIRIKISHA,
Warumi 10:2, 3
Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa. Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.
Isaya 64:6
Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi.
Ezekieli 33:13
Nimwambiapo mwenye haki, ya kwamba hakika ataishi; kama akiitumainia haki yake, akatenda uovu, basi katika matendo yake ya haki, hata mojawapo halitakumbukwa; bali katika uovu wake alioutenda, atakufa katika uovu huo.
Warumi 8:8; 3:20
Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu. Kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria.
2 Wakorintho 3:5
Ayubu 34:10
Mungu asidhaniwe kutenda udhalimu; wala Mwenyezi kuf anya uovu.
Isaya 6:3
Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.
Isaya 57:15
Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu.
Zaburi 145:17
BWANA ni mwenye haki katika njia zake zote, na mwenye fadhili juu ya kazi zake zote.
Marko 10:18
Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.
Ufunuo 15:4
Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu.
WATU WA MUNGU NI LAZIMA WAISHI MAISHA MATAKATIFU
Yakobo 2:19, 20
Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka. Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?
1 Yohana 2:4; 3:10
Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake. Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.
Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; bali humpenda mtu afuatiaye wema. —Mithali 15:9
Waebrania 12:14
Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao.
Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote. —1 Petro 1:15
Amosi 5:14
Tafuteni mema, wala si mabaya, mpate kuishi; hivyo BWANA, Mungu wa majeshi, atakuwa pamoja nanyi, kama msemavyo.
MAMBO MUNGU ANAYOYATAKA KWAKO
Mika 6:8
Na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!
Mambo Ya Walawi 19:2
Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu.
Luka 10:27
Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.
Marko 10:19
Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usi danganye, Waheshimu baba yako na mama yako.
Warumi 12:2
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu.
Yoshua 1:8
Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.
Marko 11:22
Mwaminini Mungu.
MAMBO MUNGU ALIYOYATAJA ANAYOCHUKIA
Mithali 6:16-19
Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; naam, viko saba vilivyo chukizo kwake. Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, na mikono imwagayo damu isiyo na hatia; moyo uwazao mawazo mabaya; miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu; shahidi wa uongo asemaye uongo; naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.
Isaya 61:8
Maana mimi, BWANA, naipenda hukumu ya haki, nauchukia wivi na uovu.
Ufunuo 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Malaki 2:15, 16
Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.
Zekaria 8:17
Wala mtu wa kwenu asiwaze mabaya moyoni mwake juu ya jirani yake; wala msipende kiapo cha uongo; maana hayo yote ndiyo niyachukiayo, asema BWANA.
WATU HUPUNGUKIWA NA MATAKWA YA MUNGU,
Walakini nimewajua ninyi ya kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu. —Yohana 5:42
Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote. —Yakobo 2:10
Isaya 6:5
Ndipo niliposema, Ole wangu! kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.
Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi. —Yakobo 4:17
Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, hakuna mwenye haki hata mmoja. —Warumi 3:10
Warumi 3:23
Kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
1 Yohana 3:10
Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.
Isaya 53:6
Sisi sote kama kondoo tumepotea; kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe.
Ni nani awezaye kusimama mbele za BWANA, huyu Mungu mtakatifu? —1 Samweli 6:20
KAZI ZETU WENYEWE HAZIWEZI KUMPENDEZA MUNGU KAMA HATUJAMSHIRIKISHA,
Warumi 10:2, 3
Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa. Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.
Isaya 64:6
Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi.
Ezekieli 33:13
Nimwambiapo mwenye haki, ya kwamba hakika ataishi; kama akiitumainia haki yake, akatenda uovu, basi katika matendo yake ya haki, hata mojawapo halitakumbukwa; bali katika uovu wake alioutenda, atakufa katika uovu huo.
Warumi 8:8; 3:20
Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu. Kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria.
2 Wakorintho 3:5
TOFAUTI YA MIUNGU NA MUNGU MUUMBA MBINGU NA DUNIA,
Kama Abraham alivyokuwa "rafiki Wa Mungu" kwa uvumilivu na utiifu kwa Mungu, wewe pia unaweza kumjua Mungu na kupata rehema zake, amani, na baraka. Kumjua Mungu kwa uvumilivu wa kweli katika kumwamini ni ujuzi muhimu zaidi katika maisha. Ni ajabu namna gani kwamba Mungu hujidhihirisha Mwenyewe kwa wote wanao Mtafuta kwa mioyo yao yote!
Ikiwa utageuka kuiacha njia yako na kweli kujitolea kwa Mungu, Roho Wake ataishi ndani yako. Hakuna kitakacho kutenganisha na upendo Wake unapo tumainia ahadi Zake na Kumfuata kwa utiifu. Yeye atakuwa Mungu wako, nawe utakuwa hazina Yake Mwenyewe. Utagundua kwamba alikununua kwa gharama kuu, na anataka kuwa na ushirika nawe—sasa na hata milele.
Uliza Mungu akupe ufahamu unapojifunza kurasa hizi za vifungu kutoka Neno la Mungu. Mungu aliongoza watu wamchao kuandika maneno haya na kwa kimiujiza ameyahifadhi katika vizazi vyote kutoka kwa majaribio yote ya Shetani ya kuyakomesha.
______________________________________________________________
Maandiko yanayo husika katika kijitabu hiki yametolewa kutoka Biblia: Sheria (Torah), Zaburi (Zabur), maandiko ya manabii, na Injili (Injil).
KUNA MUNGU WA KWELI MMOJA TU
Kumbukumbu La Torati 6:4, 5
BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja. Nawe mpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.
Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.
1 Wafalme 8:60
Watu wote wa ulimwengu Wajue ya kuwa BWANA ndiye Mungu; hakuna mwingine.
Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu. —Isaya 42:8
Isaya 43:10, 11
Ninyi ni mashahidi wangu, asema BWANA,. . . mpate kujua, na kuniamini, na kufahamu ya kuwa mimi ndiye; kabla yangu hakuumbwa Mungu awaye yote, wala baada yangu mimi hatakuwapo mwingine. Mimi, naam, mimi, ni BWANA, zaidi yangu mimi hapana mwokozi.
Isaya 45:22
Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine.
MUNGU NI WA REHEMA NA NEEMA
Zaburi 103:8, 11
BWANA amejaa huruma na neema, haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili. Maana mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, kadiri ileile rehema zake ni kuu kwa Wamchao.
Zaburi 103:17, 18
Bali fadhili za BWANA zina Wamchao tangu milele hata milele,...maana, wale walishikao agano lake, na kuyakumbuka maagizo yake ili wayafanye.
Mika 7:18
Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu,...kwa maana yeye hufurahia rehema.
Maombolezo 3:22
Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, kwa kuwa rehema zake hazikomi.
Maombolezo 3:32
Maana ajapomhuzunisha atamrehemu, kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.
Zaburi 18:25
Kwa mtu mwenye fadhili utakuwa mwenye fadhili.
1 Mambo Ya Nyakati 16:34
Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.
MUNGU ANAKUPENDA KULIKO UNAVYOWEZA KUWAZA WEWE
Yeremia 31:3
BWANA alinitokea zamani, akisema, Naam, nimekupenda kwa upendo wa milele, ndiyo maana nimekuvuta kwa fadhili zangu.
Yeremia 29:11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani, wala Si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
Malaki 1:2
Nimewapenda ninyi, asema BWANA.
Zaburi 103:13
Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao.
Isaya 38:17
Tazama; nalikuwa na uchungu mwingi kwa ajili ya amani yangu; Lakini kwa kunipenda [ee Mungu] umeniokoa na shimo la uharibifu; kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma yako.
1 Yohana 4:16, 19
Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Sisi twapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.
Sefania 3:17
BWANA, Mungu wako, yu katikati yako shujaa awezaye kuokoa; atakushangilia kwa furaha kuu, atatulia katika upendo wake. Atakufurahia kwa kuimba.
JAMBO KUBWA MUHIMU MAISHA NI MTU KUMJUA MUNGU NA ANATAKA UFANYE NINI,
Danieli 11:32
Lakini watu wamjuao Mungu wao watakuwa hodari, na kutenda mambo makuu.
Yeremia 9:24
Bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA.
Kumbukumbu La Torati 30:19, 20
Nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, kumpenda BWANA, Mungu wako, kuitii sauti yake na kushikamana naye: kwani hiyo ndiyo uzima wako.
Zaburi 119:2
Heri wazitiio shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wote.
Zaburi 42:1
Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.
Kutoka 33:14
Akasema, Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.
KUJITEGEMEA PASIPO MUNGU NI KUJIANGAMIZA WEWE MWENYEWE
2 Mambo Ya Nyakati 15:2
BWANA yu pamoja nanyi, mkiwa pamoja naye; nanyi mkimtafuta ataonekana kwenu; lakini mkimwacha atawaacha ninyi.
Yeremia 17:9
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?
Mithali 16:25
Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; lakini mwisho wake ni njia za mauti.
2 Petro 2:4, 9
Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu. Basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya hukumu.
1 Samweli 12:15
Bali msipoisikia sauti ya BWANA, mkiiasi amri ya BWANA, ndipo mkono wa BWANA utakuwa juu yenu.
Yohana 15:6
Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatu. pa motoni yakateketea.
UKIMJUA MUNGU NI LAZIMA UTAMTAFUTA NA KUFANYA MAPENZI YAKE.
Yeremia 29:13
Nanyi mtanitafuta, na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
Mithali 2:4, 5
Ukiutafuta kama fedha, . . . ndipo utakapo . . . pata kumjua Mungu.
Mathayo 7:7
Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
Waebrania 11:6
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Mithali 8:17
Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
Maombolezo 3:25
BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, kwa hiyo nafsi imtafutayo.
Matendo 17:26, 27
Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja. ...Ili wamtafute Mungu, ingawa ni kwa kupapasa-papasa, wakamwone, ijapokuwa hawi mbali na kila mmoja wetu.
MUNGU ANATUTAKA TWENDE KWAKE
2 Mambo Ya Nyakati 30:9
Kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia.
Zaburi 86:5
Kwa maana Wewe, Bwana, U mwema, umekuwa tayari kusamehe, na mwingi wa fadhili, kwa watu wote wakuitao.
Yakobo 4:8
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.
Zaburi 145:18
BWANA yu karibu na wote Wamwitao, wote wamwitao kwa uaminifu.
Isaya 1:18
Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Mathayo 11:28, 29
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
Yohana 6:37
Wala ye yote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.
MUNGU NI MTAKATIFU, NA ANATAKA TUWE WATAKATIFU KAMA YEYE ALIVYO MTAKATIFU
Kutoka 15:11
. . . Ni nani aliye kama wewe, Ee BWANA, . . . mtukufu katika utakatifu.
1 Samweli 2:2 Maandiko yana tuakikishia wazi wazi,
Ikiwa utageuka kuiacha njia yako na kweli kujitolea kwa Mungu, Roho Wake ataishi ndani yako. Hakuna kitakacho kutenganisha na upendo Wake unapo tumainia ahadi Zake na Kumfuata kwa utiifu. Yeye atakuwa Mungu wako, nawe utakuwa hazina Yake Mwenyewe. Utagundua kwamba alikununua kwa gharama kuu, na anataka kuwa na ushirika nawe—sasa na hata milele.
Uliza Mungu akupe ufahamu unapojifunza kurasa hizi za vifungu kutoka Neno la Mungu. Mungu aliongoza watu wamchao kuandika maneno haya na kwa kimiujiza ameyahifadhi katika vizazi vyote kutoka kwa majaribio yote ya Shetani ya kuyakomesha.
______________________________________________________________
Maandiko yanayo husika katika kijitabu hiki yametolewa kutoka Biblia: Sheria (Torah), Zaburi (Zabur), maandiko ya manabii, na Injili (Injil).
KUNA MUNGU WA KWELI MMOJA TU
Kumbukumbu La Torati 6:4, 5
BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja. Nawe mpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.
Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.
1 Wafalme 8:60
Watu wote wa ulimwengu Wajue ya kuwa BWANA ndiye Mungu; hakuna mwingine.
Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu. —Isaya 42:8
Isaya 43:10, 11
Ninyi ni mashahidi wangu, asema BWANA,. . . mpate kujua, na kuniamini, na kufahamu ya kuwa mimi ndiye; kabla yangu hakuumbwa Mungu awaye yote, wala baada yangu mimi hatakuwapo mwingine. Mimi, naam, mimi, ni BWANA, zaidi yangu mimi hapana mwokozi.
Isaya 45:22
Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine.
MUNGU NI WA REHEMA NA NEEMA
Zaburi 103:8, 11
BWANA amejaa huruma na neema, haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili. Maana mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, kadiri ileile rehema zake ni kuu kwa Wamchao.
Zaburi 103:17, 18
Bali fadhili za BWANA zina Wamchao tangu milele hata milele,...maana, wale walishikao agano lake, na kuyakumbuka maagizo yake ili wayafanye.
Mika 7:18
Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu,...kwa maana yeye hufurahia rehema.
Maombolezo 3:22
Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, kwa kuwa rehema zake hazikomi.
Maombolezo 3:32
Maana ajapomhuzunisha atamrehemu, kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.
Zaburi 18:25
Kwa mtu mwenye fadhili utakuwa mwenye fadhili.
1 Mambo Ya Nyakati 16:34
Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele.
MUNGU ANAKUPENDA KULIKO UNAVYOWEZA KUWAZA WEWE
Yeremia 31:3
BWANA alinitokea zamani, akisema, Naam, nimekupenda kwa upendo wa milele, ndiyo maana nimekuvuta kwa fadhili zangu.
Yeremia 29:11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani, wala Si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
Malaki 1:2
Nimewapenda ninyi, asema BWANA.
Zaburi 103:13
Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao.
Isaya 38:17
Tazama; nalikuwa na uchungu mwingi kwa ajili ya amani yangu; Lakini kwa kunipenda [ee Mungu] umeniokoa na shimo la uharibifu; kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma yako.
1 Yohana 4:16, 19
Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Sisi twapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.
Sefania 3:17
BWANA, Mungu wako, yu katikati yako shujaa awezaye kuokoa; atakushangilia kwa furaha kuu, atatulia katika upendo wake. Atakufurahia kwa kuimba.
JAMBO KUBWA MUHIMU MAISHA NI MTU KUMJUA MUNGU NA ANATAKA UFANYE NINI,
Danieli 11:32
Lakini watu wamjuao Mungu wao watakuwa hodari, na kutenda mambo makuu.
Yeremia 9:24
Bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA.
Kumbukumbu La Torati 30:19, 20
Nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, kumpenda BWANA, Mungu wako, kuitii sauti yake na kushikamana naye: kwani hiyo ndiyo uzima wako.
Zaburi 119:2
Heri wazitiio shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wote.
Zaburi 42:1
Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.
Kutoka 33:14
Akasema, Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.
KUJITEGEMEA PASIPO MUNGU NI KUJIANGAMIZA WEWE MWENYEWE
2 Mambo Ya Nyakati 15:2
BWANA yu pamoja nanyi, mkiwa pamoja naye; nanyi mkimtafuta ataonekana kwenu; lakini mkimwacha atawaacha ninyi.
Yeremia 17:9
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?
Mithali 16:25
Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; lakini mwisho wake ni njia za mauti.
2 Petro 2:4, 9
Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu. Basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya hukumu.
1 Samweli 12:15
Bali msipoisikia sauti ya BWANA, mkiiasi amri ya BWANA, ndipo mkono wa BWANA utakuwa juu yenu.
Yohana 15:6
Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatu. pa motoni yakateketea.
UKIMJUA MUNGU NI LAZIMA UTAMTAFUTA NA KUFANYA MAPENZI YAKE.
Yeremia 29:13
Nanyi mtanitafuta, na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
Mithali 2:4, 5
Ukiutafuta kama fedha, . . . ndipo utakapo . . . pata kumjua Mungu.
Mathayo 7:7
Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
Waebrania 11:6
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Mithali 8:17
Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
Maombolezo 3:25
BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, kwa hiyo nafsi imtafutayo.
Matendo 17:26, 27
Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja. ...Ili wamtafute Mungu, ingawa ni kwa kupapasa-papasa, wakamwone, ijapokuwa hawi mbali na kila mmoja wetu.
MUNGU ANATUTAKA TWENDE KWAKE
2 Mambo Ya Nyakati 30:9
Kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia.
Zaburi 86:5
Kwa maana Wewe, Bwana, U mwema, umekuwa tayari kusamehe, na mwingi wa fadhili, kwa watu wote wakuitao.
Yakobo 4:8
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.
Zaburi 145:18
BWANA yu karibu na wote Wamwitao, wote wamwitao kwa uaminifu.
Isaya 1:18
Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Mathayo 11:28, 29
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
Yohana 6:37
Wala ye yote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.
MUNGU NI MTAKATIFU, NA ANATAKA TUWE WATAKATIFU KAMA YEYE ALIVYO MTAKATIFU
Kutoka 15:11
. . . Ni nani aliye kama wewe, Ee BWANA, . . . mtukufu katika utakatifu.
1 Samweli 2:2 Maandiko yana tuakikishia wazi wazi,
KUVUNJA USHIRIKA NA MUNGU
Dhambi inamuharibia mwanadamu ushirika na Mungu,
Mkristo anapotenda dhambi haimaansihi kwamba amevunja uhusiano wake na Mungu. Maana yake ni kwamba amevunja ushirika wake na Mungu. Yeye bado ni mtoto wa Mungu, lakini sasa ni mtoto asiyeti. Ikiwa mwamini hataungama dhambi yake na kutubu, anajiweka kwenye nafasi ya kuadhibiwa na Bwana.
Vita Baada ya kukata shahuri
Kama umejikuta unatamani kufanya mambo unayojua ni makosa, basi umeanza kukabiliana na “tamaa ya mwili”. Bila shaka umegundua pia kwamba unapojaribiwa na mwili kufanya kisicho sawa, kuna kitu ndani yako kinachopinga majaribu hayo. Hicho ni “tamaa ya Roho”. Na kama unajua jinsi kujisikia hatia kunavyokupata ukikubaliana na majaribu, basi unaifahamu sauti ya roho yako, tunayoiita “dhamiri” yetu.
Mungu alijua vizuri sana kwamba tamaa zetu za mwili zingetujaribu tufanye makosa. Lakini, hiyo si sababu inayoturuhusu kukubaliana na tamaa za mwili. Bado Mungu anatutazamia tutende kwa utii na utakatifu, na tushinde asili ya mwili.
Lakini nasema hivi: Enendeni katika Roho, nanyi hamtazitimiza tamaa za mwili (Wagalatia 5:16, .
Hakuna mbinu ya kiuchawi ya kushinda mwili. Paulo alisema tu kwamba “tuenende katika Roho” nasi “hatutatimiza tamaa za mwili” (Wagalatia 5:16). Hakuna Mkristo mwenye uwezo zaidi ya mwenzake katika jambo hili. Kutembea katika Roho ni uamuzi ambao kila mmoja wetu lazima aufanye, na kujitolea kwetu kwa Bwana kunaweza kupimwa kwa kiwango cha kutojitolea kwetu kwa tamaa za mwili.
Paulo akaandika hivi tena:
Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya, na tamaa zake (Wagalatia 5:24).
Ona anachosema Paulo: Wale walio wa Kristo wameusulubisha mwili (anatumia lugha ya wakati uliopita). Hayo yalitokea wakati tulipotubu na kumwamini Bwana Yesu Kristo. Hapo, tulisulubisha ile asili ya dhambi, tukaamua kumtii Mungu na kupingana na dhambi. Sasa, si swala la kusulubisha mwili tena, bali kudumisha kule kusulubiwa.
Si rahisi kuendelea kuusulubisha mwili, lakini ni kitu kinachowezekana. Kama tutatenda kulingana na kuongozwa kwa utu wa ndani badala ya kukubaliana na misukumo ya mwili, tutaonyesha maisha ya Kristo na kuenenda katika utakatifu mbele Zake.
Asili Ya Roho Kurejeshwa tena Upya,
Kuna neno moja lenye kueleza vizuri zaidi asili ya roho zetu zilizoumbwa tena. Neno hilo ni Kristo. Kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ana asili ile ile ya Yesu, sisi ndani yetu tuna asili ya Yesu. Paulo aliandika hivi: “Si mimi ninayeishi tena, bali Kristo anaishi ndani yangu” (Wagalatia 2:20,
Kwa sababu tuna uwezo Wake na asili Yake ndani yetu, tunao uwezo wa ajabu sana wa kuishi kama Kristo. Hatuhitaji upendo zaidi, au uvumilivu, au kiasi – ndani yetu tunaye Mtu mwenye upendo sana, mwenye uvumilivu sana, mwenye kiasi sana – anakaa ndani yetu! Tunachohitaji kufanya ni kumruhusu Yeye kuishi kwa kututumia sisi.
Ila, wote tuna adui mmoja mkubwa ambaye anapambana na asili ya Yesu, akiizuia isijidhihirishe kupitia kwetu, naye ni mwili wetu. Ndiyo maana Paulo alisema lazima kuusulubisha mwili wetu. Ni wajibu wetu kufanya kitu juu ya mwili wetu, na ni kupoteza wakati kumwomba Mungu afanye chochote kuhusu mwili. Hata Paulo alikuwa na matatizo na asili yake ya kimwili, lakini aliwajibika na kuushinda. Anasema hivi:
Ninautesa mwili wangu na kuufanya mtumwa, ili, baada ya kuwahubiri wengine, mimi mwenyewe nisije nikakataliwa (1Wakor. 9:27,
Hata wewe itabidi kuufanya mwili wako kuwa mtumwa wa roho yako, kama unataka kuenenda kwa utakatifu mbele za Bwana. Na, inawezekana! kabisa ila ukitaka mwili ufanye mapenzi yake nayo ni hatari kwa mkristo unaweza kumpeleka pabaya
Mkristo anapotenda dhambi haimaansihi kwamba amevunja uhusiano wake na Mungu. Maana yake ni kwamba amevunja ushirika wake na Mungu. Yeye bado ni mtoto wa Mungu, lakini sasa ni mtoto asiyeti. Ikiwa mwamini hataungama dhambi yake na kutubu, anajiweka kwenye nafasi ya kuadhibiwa na Bwana.
Vita Baada ya kukata shahuri
Kama umejikuta unatamani kufanya mambo unayojua ni makosa, basi umeanza kukabiliana na “tamaa ya mwili”. Bila shaka umegundua pia kwamba unapojaribiwa na mwili kufanya kisicho sawa, kuna kitu ndani yako kinachopinga majaribu hayo. Hicho ni “tamaa ya Roho”. Na kama unajua jinsi kujisikia hatia kunavyokupata ukikubaliana na majaribu, basi unaifahamu sauti ya roho yako, tunayoiita “dhamiri” yetu.
Mungu alijua vizuri sana kwamba tamaa zetu za mwili zingetujaribu tufanye makosa. Lakini, hiyo si sababu inayoturuhusu kukubaliana na tamaa za mwili. Bado Mungu anatutazamia tutende kwa utii na utakatifu, na tushinde asili ya mwili.
Lakini nasema hivi: Enendeni katika Roho, nanyi hamtazitimiza tamaa za mwili (Wagalatia 5:16, .
Hakuna mbinu ya kiuchawi ya kushinda mwili. Paulo alisema tu kwamba “tuenende katika Roho” nasi “hatutatimiza tamaa za mwili” (Wagalatia 5:16). Hakuna Mkristo mwenye uwezo zaidi ya mwenzake katika jambo hili. Kutembea katika Roho ni uamuzi ambao kila mmoja wetu lazima aufanye, na kujitolea kwetu kwa Bwana kunaweza kupimwa kwa kiwango cha kutojitolea kwetu kwa tamaa za mwili.
Paulo akaandika hivi tena:
Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya, na tamaa zake (Wagalatia 5:24).
Ona anachosema Paulo: Wale walio wa Kristo wameusulubisha mwili (anatumia lugha ya wakati uliopita). Hayo yalitokea wakati tulipotubu na kumwamini Bwana Yesu Kristo. Hapo, tulisulubisha ile asili ya dhambi, tukaamua kumtii Mungu na kupingana na dhambi. Sasa, si swala la kusulubisha mwili tena, bali kudumisha kule kusulubiwa.
Si rahisi kuendelea kuusulubisha mwili, lakini ni kitu kinachowezekana. Kama tutatenda kulingana na kuongozwa kwa utu wa ndani badala ya kukubaliana na misukumo ya mwili, tutaonyesha maisha ya Kristo na kuenenda katika utakatifu mbele Zake.
Asili Ya Roho Kurejeshwa tena Upya,
Kuna neno moja lenye kueleza vizuri zaidi asili ya roho zetu zilizoumbwa tena. Neno hilo ni Kristo. Kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ana asili ile ile ya Yesu, sisi ndani yetu tuna asili ya Yesu. Paulo aliandika hivi: “Si mimi ninayeishi tena, bali Kristo anaishi ndani yangu” (Wagalatia 2:20,
Kwa sababu tuna uwezo Wake na asili Yake ndani yetu, tunao uwezo wa ajabu sana wa kuishi kama Kristo. Hatuhitaji upendo zaidi, au uvumilivu, au kiasi – ndani yetu tunaye Mtu mwenye upendo sana, mwenye uvumilivu sana, mwenye kiasi sana – anakaa ndani yetu! Tunachohitaji kufanya ni kumruhusu Yeye kuishi kwa kututumia sisi.
Ila, wote tuna adui mmoja mkubwa ambaye anapambana na asili ya Yesu, akiizuia isijidhihirishe kupitia kwetu, naye ni mwili wetu. Ndiyo maana Paulo alisema lazima kuusulubisha mwili wetu. Ni wajibu wetu kufanya kitu juu ya mwili wetu, na ni kupoteza wakati kumwomba Mungu afanye chochote kuhusu mwili. Hata Paulo alikuwa na matatizo na asili yake ya kimwili, lakini aliwajibika na kuushinda. Anasema hivi:
Ninautesa mwili wangu na kuufanya mtumwa, ili, baada ya kuwahubiri wengine, mimi mwenyewe nisije nikakataliwa (1Wakor. 9:27,
Hata wewe itabidi kuufanya mwili wako kuwa mtumwa wa roho yako, kama unataka kuenenda kwa utakatifu mbele za Bwana. Na, inawezekana! kabisa ila ukitaka mwili ufanye mapenzi yake nayo ni hatari kwa mkristo unaweza kumpeleka pabaya
K2 MAUTI YA KI-ROHO
Fuatilia yale aliyo yasema Yesu ili kupa muongozo zaidi kuhusiana na kile kinacho sadikika kufa ki-roho maana wengi wamezowea kusikia mtu amefariki ile ya mwili kutengana na roho,ila kuna ile ya mtu kutengana na Mungu inakuwaje?unaweza ukawa kimwili uko hai ila kiroho ukawa tayari ni marehemu,
Maneno ya Yesu ni maelezo sahihi kabisa ya washika dini wote ambao hawajawahi kuzaliwa upya kwa njia ya Roho Mtakatifu. Kuzaliwa upya huwasafisha watu ndani, si nje tu.
Mabadiliko Kwa Nafsi Wakati Roho Inapozaliwa Upya?
Roho ya mtu inapozaliwa upya, nafsi yake hapo mwanzoni inabakia kama ilivyokuwa (ingawa kwa akili zake anakuwa amefanya uamuzi wa kumfuata Yesu). Ila, Mungu anatazamia kwamba tufanye kitu na nafsi zetu mara tunapokuwa watoto Wake. Nafsi zetu (au nia) zinapaswa kufanywa upya kwa Neno la Mungu ili tuweze kufikiri kama Mungu anavyofikiri. Kwa kufanywa upya nia zetu, badiliko la kudumu la nje linafanyika maishani mwetu, na kutufanya tuzidi kufanana na Yesu.
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu (Warumi 12:2, maneno mepesi kukazia).
Hata Yakobo naye aliandika kuhusu mfuatano huo wa mambo katika maisha ya mwamini, hivi:
Kwa hiyo wekeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa nafsi zenu (Yakobo 1:21,
Ona kwamba Yakobo alikuwa anawaandikia Wakristo – watu ambao roho zao zilikuwa zimekwisha zaliwa upya. Ila, walihitaji nafsi zao kuokolewa, na hayo yangefanyika tu wakati anapopokea “neno lile lililopandwa ndani”. Hii ndiyo sababu waamini wapya wanatakiwa kufundishwa Neno la Mungu.
Usumbufu unaoweza kujitokeza baada ya kuamuwa kuyafuata ya Mungu,
Baada ya kuzaliwa upya kwao, Wakristo wengi hugundua kwamba ni watu wenye asili mbili, na kujikuta wakikabiliana na kile kitu kinachoitwa na Paulo, vita kati ya “Roho na mwili”.
Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili, kwa maana hizi zi mepungana, hata hamwezi kufanya mnayotaka (Wagalatia 5:17).
Mabaki ya ile asili ya kale ya dhambi, yanaitwa “mwili” na Paulo. Hizo asili mbili ndani yetu huleta shauku tofauti, ambazo, kama watu watakubaliana nazo, husababisha matendo tofauti na mitindo tofauti ya maisha. Ona tofauti anayoweka Paulo kati ya “matendo ya mwili” na “tunda la Roho” katika fungu lifuatalo:
Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya: Uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo. Katika hayo nawaambia mapema, kama nilvyokwisha kuwaambia ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu. Lakini tunda la Roho ni: Upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi. Juu ya mambo kama hayo hakuna sheria (Wagalatia 5:19-23).
Bila shaka inawezekana kwa Wakristo kukubaliana na mwili, vinginevyo Paulo asingewaonya kwamba kuzoea kuufuata mwili kutawafanya wasiweze kuurithi ufalme wa Mungu. Katika barua yake kwa Warumi, Paulo aliandika pia juu ya hizo asili mbili za kila Mkristo, na akaonya tena juu ya matokeo hayo hayo, kama watu watakubaliana na mwili. Anasema hivi:
Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa habari ya dhambi, bali roho yenu iko hai kwa habari ya haki. … Basi ndugu, kama ni hivyo, wote tunawajibika, si kwa mwili kwamba tuishi kwa kufuata mambo ya mwili. Kwa maana, mkiishi kwa kufuata mambo ya mwili mwataka kufa, bali mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi. Kwa kuwa wote wanao-ongozwa na Roho wa Mungu ndio wana wa Mungu hao (Warumi 8:10, 12-14, TLR. Maneno mepesi kukazia).
Hilo ni onyo dhahiri kabisa kwa Wakristo kwamba, kuishi (yaani tabia ya kawaida, au mazoea) kulingana na mwili matokeoyake ni kifo. Bila shaka Paulo alikuwa anaonya juu ya kifo cha kiroho maana kila mtu hatimaye hufa kimwili – hata Wakristo wale wanao”yafisha matendo ya mwili”.
Mkristo anaweza kuangukia katika mojawapo ya dhambi ambazo Paulo aliorodhesha hapo kwa kitambo tu. Ila, mwamini anapofanya dhambi, atajisikia hukumu na pengine atatubu. Yeyote anayeungama dhambi yake na kumwomba Mungu amsamehe, atasafishwa (ona 1Yohana 1:9).
Maneno ya Yesu ni maelezo sahihi kabisa ya washika dini wote ambao hawajawahi kuzaliwa upya kwa njia ya Roho Mtakatifu. Kuzaliwa upya huwasafisha watu ndani, si nje tu.
Mabadiliko Kwa Nafsi Wakati Roho Inapozaliwa Upya?
Roho ya mtu inapozaliwa upya, nafsi yake hapo mwanzoni inabakia kama ilivyokuwa (ingawa kwa akili zake anakuwa amefanya uamuzi wa kumfuata Yesu). Ila, Mungu anatazamia kwamba tufanye kitu na nafsi zetu mara tunapokuwa watoto Wake. Nafsi zetu (au nia) zinapaswa kufanywa upya kwa Neno la Mungu ili tuweze kufikiri kama Mungu anavyofikiri. Kwa kufanywa upya nia zetu, badiliko la kudumu la nje linafanyika maishani mwetu, na kutufanya tuzidi kufanana na Yesu.
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu (Warumi 12:2, maneno mepesi kukazia).
Hata Yakobo naye aliandika kuhusu mfuatano huo wa mambo katika maisha ya mwamini, hivi:
Kwa hiyo wekeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa nafsi zenu (Yakobo 1:21,
Ona kwamba Yakobo alikuwa anawaandikia Wakristo – watu ambao roho zao zilikuwa zimekwisha zaliwa upya. Ila, walihitaji nafsi zao kuokolewa, na hayo yangefanyika tu wakati anapopokea “neno lile lililopandwa ndani”. Hii ndiyo sababu waamini wapya wanatakiwa kufundishwa Neno la Mungu.
Usumbufu unaoweza kujitokeza baada ya kuamuwa kuyafuata ya Mungu,
Baada ya kuzaliwa upya kwao, Wakristo wengi hugundua kwamba ni watu wenye asili mbili, na kujikuta wakikabiliana na kile kitu kinachoitwa na Paulo, vita kati ya “Roho na mwili”.
Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili, kwa maana hizi zi mepungana, hata hamwezi kufanya mnayotaka (Wagalatia 5:17).
Mabaki ya ile asili ya kale ya dhambi, yanaitwa “mwili” na Paulo. Hizo asili mbili ndani yetu huleta shauku tofauti, ambazo, kama watu watakubaliana nazo, husababisha matendo tofauti na mitindo tofauti ya maisha. Ona tofauti anayoweka Paulo kati ya “matendo ya mwili” na “tunda la Roho” katika fungu lifuatalo:
Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya: Uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo. Katika hayo nawaambia mapema, kama nilvyokwisha kuwaambia ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu. Lakini tunda la Roho ni: Upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi. Juu ya mambo kama hayo hakuna sheria (Wagalatia 5:19-23).
Bila shaka inawezekana kwa Wakristo kukubaliana na mwili, vinginevyo Paulo asingewaonya kwamba kuzoea kuufuata mwili kutawafanya wasiweze kuurithi ufalme wa Mungu. Katika barua yake kwa Warumi, Paulo aliandika pia juu ya hizo asili mbili za kila Mkristo, na akaonya tena juu ya matokeo hayo hayo, kama watu watakubaliana na mwili. Anasema hivi:
Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa habari ya dhambi, bali roho yenu iko hai kwa habari ya haki. … Basi ndugu, kama ni hivyo, wote tunawajibika, si kwa mwili kwamba tuishi kwa kufuata mambo ya mwili. Kwa maana, mkiishi kwa kufuata mambo ya mwili mwataka kufa, bali mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi. Kwa kuwa wote wanao-ongozwa na Roho wa Mungu ndio wana wa Mungu hao (Warumi 8:10, 12-14, TLR. Maneno mepesi kukazia).
Hilo ni onyo dhahiri kabisa kwa Wakristo kwamba, kuishi (yaani tabia ya kawaida, au mazoea) kulingana na mwili matokeoyake ni kifo. Bila shaka Paulo alikuwa anaonya juu ya kifo cha kiroho maana kila mtu hatimaye hufa kimwili – hata Wakristo wale wanao”yafisha matendo ya mwili”.
Mkristo anaweza kuangukia katika mojawapo ya dhambi ambazo Paulo aliorodhesha hapo kwa kitambo tu. Ila, mwamini anapofanya dhambi, atajisikia hukumu na pengine atatubu. Yeyote anayeungama dhambi yake na kumwomba Mungu amsamehe, atasafishwa (ona 1Yohana 1:9).
MAUTI YA KI-ROHO
Kufa ki-Roho
Nanyi mlikuwa wafu Kwa sababu ya makosa na dhambi zenu, ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi. Zamani sisi sote nasi tulienenda kati yao katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira kama na hao wengine (maneno mepesi kukazia). Waefeso 2:1-3
Bila shaka Paulo alikuwa hazungumzii kifo cha kimwili kwa sababu alikuwa anawaandikia watu waliokuwa hai kimwili. Lakini akasema, hapo zamani walikuwa “wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zao.” Dhambi hufungua mlango wa kifo cha kiroho (tazama Warumi 5:12). Kuwa wafu kiroho maana yake ni kuwa na asili ya dhambi rohoni mwako. Ona maneno ya Paulo kwamba, “kwa tabia” wakawa watoto wa hasira.
Tena, kufa kiroho maana yake kuwa na asili ya Shetani katika roho yako kwa namna fulani. Paulo alisema kwamba wale wote waliokufa kiroho wana roho ya “mkuu wa uwezo wa anga” ikitenda kazi ndani yao. Huyo “mkuu wa uwezo wa anga” ni Shetani (tazama Waefeso 6:12), na roho yake inatenda kazi ndani yao wote ambao hawajaokoka.
Yesu aliwaambia hivi Wayahudi waliokuwa hawajazaliwa mara ya pili:
Ninyi ni wa baba yenu Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo, wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na baba wa huo (Yohana 8:44).
Kwa upande wa kiroho, wale ambao hawajazaliwa tena si tu kwamba wana asili ya Shetani katika roho zao, bali Shetani ni baba yao wa kiroho pia. Basi, ni kawaida kwao kutenda kama shetani. Wao ni wauaji na waongo.
Si kwamba watu wote ambao hawajaokoka wamefanya mauaji, bali ni kwamba wanahamasishwa na chuki ile ile kama ya wauaji, nao wangeweza kuua kama wangefanikiwa. Kuhalalishwa utoaji mimba katika nchi nyingi ni uthibitisho wa kweli hiyo. Watu ambao hawajaokoka wataua hata watoto wao wenyewe, ambao bado hawajzaliwa!
Hii ndiyo sababu mtu lazima azaliwe tena kiroho. Inapotokea hivyo, hiyo asili ya dhambi na kishetani huondolewa katika roho yake, na nafasi yake huchukuliwa na asili ya Mungu takatifu. Roho Mtakatifu wa Mungu huja na kukaa ndani ya roho yake. Hawi “mfu kiroho” tena, bali anafanywa “hai kiroho”. Roho yake haiwi imekufa tena bali inakuwa hai kwa Mungu. Badala ya kuwa mtoto wa kiroho wa Shetani, anakuwa mtoto wa kiroho wa Mungu.
Matengenezo Si Kuzaliwa Upya
Kwa sababu watu ambao hawajaokoka wamekufa kiroho, hawawezi kuokolewa kwa matengenezo, hata kama watajaribu kiasi gani. Watu ambao hawajaokoka wanahitaji asili mpya, si matendo mapya ya nje tu. Unaweza kumchukua nguruwe, ukamsafisha vizuri akawa safi, ukampulizia hata manukato na kumfungia tai ya rangi nzuri tu shingoni mwake, lakini mwisho wa siku ulicho nacho ni nguruwe aliyesafishwa tu! Bado asili yake ni ile ile. Na hautapita muda mrefu kabla hajaanza kunuka vibaya tena na kulala kwenye matope tena.
Ndivyo ilivyo kwa watu washika dini sana ambao hawajawahi kuzaliwa tena. Wanaweza kuwa wasafi kwa nje, lakini ndani ni wachafu tu kama kawaida. Yesu alisema hivi kwa watu washika dini wa siku Zake:
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe chanu, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi. Ewe Farisayo kipofu! Safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi! Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu na uchafu wote. Vivyo hivyo ninyi nanyi: Kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi! (Mathayo 23:25-28). inaandelea mauti ya kiroho k'2
Nanyi mlikuwa wafu Kwa sababu ya makosa na dhambi zenu, ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi. Zamani sisi sote nasi tulienenda kati yao katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira kama na hao wengine (maneno mepesi kukazia). Waefeso 2:1-3
Bila shaka Paulo alikuwa hazungumzii kifo cha kimwili kwa sababu alikuwa anawaandikia watu waliokuwa hai kimwili. Lakini akasema, hapo zamani walikuwa “wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zao.” Dhambi hufungua mlango wa kifo cha kiroho (tazama Warumi 5:12). Kuwa wafu kiroho maana yake ni kuwa na asili ya dhambi rohoni mwako. Ona maneno ya Paulo kwamba, “kwa tabia” wakawa watoto wa hasira.
Tena, kufa kiroho maana yake kuwa na asili ya Shetani katika roho yako kwa namna fulani. Paulo alisema kwamba wale wote waliokufa kiroho wana roho ya “mkuu wa uwezo wa anga” ikitenda kazi ndani yao. Huyo “mkuu wa uwezo wa anga” ni Shetani (tazama Waefeso 6:12), na roho yake inatenda kazi ndani yao wote ambao hawajaokoka.
Yesu aliwaambia hivi Wayahudi waliokuwa hawajazaliwa mara ya pili:
Ninyi ni wa baba yenu Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo, wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na baba wa huo (Yohana 8:44).
Kwa upande wa kiroho, wale ambao hawajazaliwa tena si tu kwamba wana asili ya Shetani katika roho zao, bali Shetani ni baba yao wa kiroho pia. Basi, ni kawaida kwao kutenda kama shetani. Wao ni wauaji na waongo.
Si kwamba watu wote ambao hawajaokoka wamefanya mauaji, bali ni kwamba wanahamasishwa na chuki ile ile kama ya wauaji, nao wangeweza kuua kama wangefanikiwa. Kuhalalishwa utoaji mimba katika nchi nyingi ni uthibitisho wa kweli hiyo. Watu ambao hawajaokoka wataua hata watoto wao wenyewe, ambao bado hawajzaliwa!
Hii ndiyo sababu mtu lazima azaliwe tena kiroho. Inapotokea hivyo, hiyo asili ya dhambi na kishetani huondolewa katika roho yake, na nafasi yake huchukuliwa na asili ya Mungu takatifu. Roho Mtakatifu wa Mungu huja na kukaa ndani ya roho yake. Hawi “mfu kiroho” tena, bali anafanywa “hai kiroho”. Roho yake haiwi imekufa tena bali inakuwa hai kwa Mungu. Badala ya kuwa mtoto wa kiroho wa Shetani, anakuwa mtoto wa kiroho wa Mungu.
Matengenezo Si Kuzaliwa Upya
Kwa sababu watu ambao hawajaokoka wamekufa kiroho, hawawezi kuokolewa kwa matengenezo, hata kama watajaribu kiasi gani. Watu ambao hawajaokoka wanahitaji asili mpya, si matendo mapya ya nje tu. Unaweza kumchukua nguruwe, ukamsafisha vizuri akawa safi, ukampulizia hata manukato na kumfungia tai ya rangi nzuri tu shingoni mwake, lakini mwisho wa siku ulicho nacho ni nguruwe aliyesafishwa tu! Bado asili yake ni ile ile. Na hautapita muda mrefu kabla hajaanza kunuka vibaya tena na kulala kwenye matope tena.
Ndivyo ilivyo kwa watu washika dini sana ambao hawajawahi kuzaliwa tena. Wanaweza kuwa wasafi kwa nje, lakini ndani ni wachafu tu kama kawaida. Yesu alisema hivi kwa watu washika dini wa siku Zake:
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe chanu, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi. Ewe Farisayo kipofu! Safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi! Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu na uchafu wote. Vivyo hivyo ninyi nanyi: Kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi! (Mathayo 23:25-28). inaandelea mauti ya kiroho k'2
KUZALIWA MARA YA PILI
Kuzaliwa Upya
Watu wanapotubu na kumwamini Bwana Yesu Kristo, wana”zaliwa mara ya pili”. Nini hasa maana ya kuzaliwa mara ya pili? Sura hii itafafanua zaidi hivyo kama lilikuwa ni moja ya swali lako utasaidika sana .
Ili kuweza kuelewa maana ya kuzaliwa mara ya pili, inasaidia sana kuanza kwa kuelewa asili ya wanadamu. Maandiko yanatuambia kwamba sisi si viumbe wa kimwili tu, bali wa kiroho pia. Kwa mfano: Paulo aliandika hivi:
Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa. Nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe mwe kamili, bila lawama, hadi wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo (1Wathes. 5:23, maneno mepesi kukazia).
Kama Paulo alivyoonyesha, tunaweza kujihesabu kuwa viumbe wenye sehemu tatu: roho, nafsi na mwili. Maandiko hayafafanui sana hizo sehemu tatu, kwa hiyo, tunajitahidi sana kuzitofautisha kwa ufahamu wetu wa maneno yenyewe. Mara nyingi tunasema hivi: Mwili wetu ni umbo tulilo nalo – nyama, mifupa, damu na kadhalika. Nafsi yetu ni ufahamu wetu na uwezo wetu wa kujisikia – akili yetu. Roho yetu bila shaka ni ile hali yetu ya kiroho, au kama mtume Petro anavyoeleza, “utu wa ndani uliofichika” (1Petro 3:4, TLR).
Kwa sababu roho haionekani kwa macho ya kimwili, watu wasio-okoka wanakana kuwepo kwake. Lakini Biblia iko wazi kabisa kwamba wote sisi ni viumbe wa kiroho. Maandiko yanatuambia kwamba mtu anapokufa, ni mwili wake tu ndiyo unakoma kufanya kazi, lakini roho yake na nafsi vinaendelea kama kawaida. Wakati wa kufa, hivyo viwili vinatoka katika mwili (kwa pamoja) ili kwenda kuhukumiwa mbele za Mungu (ona Wabrania 9:27). Baada ya hukumu, vinakwenda mbinguni au jehanamu. Mwisho wa yote, kila roho na nafsi ya mtu itaungana na mwili wake wakati wa ufufuo.
Roho Ya Mwanadamu Ikifafanuliwa Zaidi
Katika 1Petro 3:4, Petro anazungumza juu ya roho kama “utu wa moyoni usioonekana” kuonyesha kwamba roho ni mtu. Paulo pia alizungumza juu ya roho kama “mtu wa ndani” kuonyesha imani yake kwamba roho ya mwanadamu si nguvu fulani au wazo tu, bali ni mtu. Anasema hivi:
Kwa hiyo hatulegei, bali, ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku (2Wakor. 4:16, maneno mepesi kukazia).
“Utu wa nje” bila shaka ni maelezo kuhusu mwili, na “utu wa ndani” ni maelezo kuhusu roho. Ni hivi: Japo mwili unazeeka, roho inafanywa upya kila siku.
Ona tena kwamba Paulo anataja mwili na roho kama watu. Basi, unapofikiria roho yako, usifikiri wingu fulani la kiroho. Ni afadhali ufikiri kuhusu mtu mwenye umbo linalofanana na lako. Kama mwili wako umezeeka, usidhani na roho yako imezeeka pia. Jaribu kufikiri jinsi ulivyokuwa ujanani mwako, kwa sababu, roho yako haijazeeka – iko kama ulivyokuwa ukiwa kijana! Inafanywa upya siku kwa siku.
Roho yako ndiyo sehemu yako inayozaliwa mara ya pili (kama umemwamini Bwana Yesu). Roho yako inaungana na Roho wa Mungu (ona 1Wakor. 6:17), na Yeye ndiye anayekuongoza unapomfuata Yesu (ona Warumi 10:14).
Biblia inafundisha kwamba Mungu pia ni roho (ona Yohana 4:24), na hata malaika, na mapepo pia. Wote wana maumbo na wote wapo katika ulimwengu wa roho. Ila, ulimwengu wa roho hauwezi kutambuliwa kwa hisia zetu za kimwili. Kujaribu kuwasiliana na ulimwengu wa roho kwa hisia zetu za kimwili ni sawa na kujaribu kushika mawimbi ya redio kwa mikono yetu. Hatuwezi kutambua kwa hisia zetu za kimwili kwamba mawimbi ya redio yanapita katika chumba, lakini hiyo haithibitishi kwamba hakuna mawimbi ya redio. Njia pekee ya kuyapata hayo mawili ni kuifungulia redio.
Hayo pia ni kweli kwa habari ya ulimwengu wa kiroho. Kwa kuwa ulimwengu wa kiroho hauwezi kutambuliwa na hisia za kimwili bali katika ulimwengu wa kiroho haimaanishi kwamba haupo. Upo, na watu wakijua au wasijue, ni sehemu ya ulimwengu wa kiroho kwa sababu ni viumbe wa kiroho nidio wanaoweza kuwasiliana au kuihshi maisha hayo.ili kuweza kuhusiana na Mungu kiroho (kama wamezaliwa mara ya pili), au wanahusiana na Shetani kiroho (kama hawajatubu).
Kuna watua mbao wamejifunza jinsi ya kuwasiliana na ulimwengu wa kiroho kwa njia ya roho zao, lakini wao wanawasiliana na ufalme wa Shetani – ufalme wa giza. maana wamekubali maagano ya shetani kwanamna ya hilo agano waliloliweka, kwa mfano hawa wachawi unaosikia wameloga wanatumia njia za ulimwengu wa kiroho kwa upande wa nguvu za giza, na kumshinda huyo nilazima na wewe uwe unaishi maisha ya k-Roho kwa upande wa Nuru yaani wa Mungu,
Watu wanapotubu na kumwamini Bwana Yesu Kristo, wana”zaliwa mara ya pili”. Nini hasa maana ya kuzaliwa mara ya pili? Sura hii itafafanua zaidi hivyo kama lilikuwa ni moja ya swali lako utasaidika sana .
Ili kuweza kuelewa maana ya kuzaliwa mara ya pili, inasaidia sana kuanza kwa kuelewa asili ya wanadamu. Maandiko yanatuambia kwamba sisi si viumbe wa kimwili tu, bali wa kiroho pia. Kwa mfano: Paulo aliandika hivi:
Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa. Nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe mwe kamili, bila lawama, hadi wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo (1Wathes. 5:23, maneno mepesi kukazia).
Kama Paulo alivyoonyesha, tunaweza kujihesabu kuwa viumbe wenye sehemu tatu: roho, nafsi na mwili. Maandiko hayafafanui sana hizo sehemu tatu, kwa hiyo, tunajitahidi sana kuzitofautisha kwa ufahamu wetu wa maneno yenyewe. Mara nyingi tunasema hivi: Mwili wetu ni umbo tulilo nalo – nyama, mifupa, damu na kadhalika. Nafsi yetu ni ufahamu wetu na uwezo wetu wa kujisikia – akili yetu. Roho yetu bila shaka ni ile hali yetu ya kiroho, au kama mtume Petro anavyoeleza, “utu wa ndani uliofichika” (1Petro 3:4, TLR).
Kwa sababu roho haionekani kwa macho ya kimwili, watu wasio-okoka wanakana kuwepo kwake. Lakini Biblia iko wazi kabisa kwamba wote sisi ni viumbe wa kiroho. Maandiko yanatuambia kwamba mtu anapokufa, ni mwili wake tu ndiyo unakoma kufanya kazi, lakini roho yake na nafsi vinaendelea kama kawaida. Wakati wa kufa, hivyo viwili vinatoka katika mwili (kwa pamoja) ili kwenda kuhukumiwa mbele za Mungu (ona Wabrania 9:27). Baada ya hukumu, vinakwenda mbinguni au jehanamu. Mwisho wa yote, kila roho na nafsi ya mtu itaungana na mwili wake wakati wa ufufuo.
Roho Ya Mwanadamu Ikifafanuliwa Zaidi
Katika 1Petro 3:4, Petro anazungumza juu ya roho kama “utu wa moyoni usioonekana” kuonyesha kwamba roho ni mtu. Paulo pia alizungumza juu ya roho kama “mtu wa ndani” kuonyesha imani yake kwamba roho ya mwanadamu si nguvu fulani au wazo tu, bali ni mtu. Anasema hivi:
Kwa hiyo hatulegei, bali, ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku (2Wakor. 4:16, maneno mepesi kukazia).
“Utu wa nje” bila shaka ni maelezo kuhusu mwili, na “utu wa ndani” ni maelezo kuhusu roho. Ni hivi: Japo mwili unazeeka, roho inafanywa upya kila siku.
Ona tena kwamba Paulo anataja mwili na roho kama watu. Basi, unapofikiria roho yako, usifikiri wingu fulani la kiroho. Ni afadhali ufikiri kuhusu mtu mwenye umbo linalofanana na lako. Kama mwili wako umezeeka, usidhani na roho yako imezeeka pia. Jaribu kufikiri jinsi ulivyokuwa ujanani mwako, kwa sababu, roho yako haijazeeka – iko kama ulivyokuwa ukiwa kijana! Inafanywa upya siku kwa siku.
Roho yako ndiyo sehemu yako inayozaliwa mara ya pili (kama umemwamini Bwana Yesu). Roho yako inaungana na Roho wa Mungu (ona 1Wakor. 6:17), na Yeye ndiye anayekuongoza unapomfuata Yesu (ona Warumi 10:14).
Biblia inafundisha kwamba Mungu pia ni roho (ona Yohana 4:24), na hata malaika, na mapepo pia. Wote wana maumbo na wote wapo katika ulimwengu wa roho. Ila, ulimwengu wa roho hauwezi kutambuliwa kwa hisia zetu za kimwili. Kujaribu kuwasiliana na ulimwengu wa roho kwa hisia zetu za kimwili ni sawa na kujaribu kushika mawimbi ya redio kwa mikono yetu. Hatuwezi kutambua kwa hisia zetu za kimwili kwamba mawimbi ya redio yanapita katika chumba, lakini hiyo haithibitishi kwamba hakuna mawimbi ya redio. Njia pekee ya kuyapata hayo mawili ni kuifungulia redio.
Hayo pia ni kweli kwa habari ya ulimwengu wa kiroho. Kwa kuwa ulimwengu wa kiroho hauwezi kutambuliwa na hisia za kimwili bali katika ulimwengu wa kiroho haimaanishi kwamba haupo. Upo, na watu wakijua au wasijue, ni sehemu ya ulimwengu wa kiroho kwa sababu ni viumbe wa kiroho nidio wanaoweza kuwasiliana au kuihshi maisha hayo.ili kuweza kuhusiana na Mungu kiroho (kama wamezaliwa mara ya pili), au wanahusiana na Shetani kiroho (kama hawajatubu).
Kuna watua mbao wamejifunza jinsi ya kuwasiliana na ulimwengu wa kiroho kwa njia ya roho zao, lakini wao wanawasiliana na ufalme wa Shetani – ufalme wa giza. maana wamekubali maagano ya shetani kwanamna ya hilo agano waliloliweka, kwa mfano hawa wachawi unaosikia wameloga wanatumia njia za ulimwengu wa kiroho kwa upande wa nguvu za giza, na kumshinda huyo nilazima na wewe uwe unaishi maisha ya k-Roho kwa upande wa Nuru yaani wa Mungu,
HABARI NJEMA NI HIZI,
Yesu kriso anakupenda na anakufahamu na anakuona,
Yesu ni wa kweli, anajua jina lako na kila kitu kinacho kuhusu, pia anakupenda. Hayuko mbali nawe, yuko karibu nawe, anataka ujue kuwa yupo, anaishi, na anataka kukusaidia ikiwa utapenda kusaidiwa na yeye. Na kama utapenda kumfahamu zaidi, unaweza kumfahamu. Ikiwa utahitaji msaada, atakusaidia, kama utaongea nae atakusilikiza, naye ataongea nawe pia.
Yesu ndiye aliyekufanya usome maandishi haya, kwa sababu ametuambia tukuandikie, na amehakikisha kuwa yamekufikia. Anajua kila kitu kinachokuhusu tangu mwanzo wa maisha yako hadi sasa hivi, amejumuika nawe katika huzuni, madhaifu na hata matatizo yako, atakusaidia mara tu utakapo muhitaji. Hakutaka uwe peke yako, mara nyingi ametaka umjue yeye. Ndiyo maana amekufanya kuwa rafiki kwa makusudi hayo. Mwamini yesu kristo, kwani kwa Yesu kristo urafiki ni mzuri tena wa kweli, isitoshe ni wa upendo ule wa ndani. Hatokuacha kamwe, unachotakiwa kufanya ni kumwamini na uongee nae yeye Yesu, naye atakujibu, atakusaidia, na ndipo utakapomfahamu Yesu. Anakutazama sasa unaposoma maandishi haya na amejaa upendo juu yako.
Imeandikwa kuwa, Yesu alikuja duniani, akafa, akatoa uhai wake kwa ajili yetu. Hii inaonyesha kuwa kifo kilikuwa ni cha lazima, ili kulipa deni la dhambi zetu. Kwa nini alichagua kulipa deni la dhambi kwa njia ya kifo? Ni kwa sababu anakupenda sana!
Ulistahili uwajibike wewe kama wewe, maana mshahara wa dhambi ni mauti,ila yeye akakulipia deni
Hakuna mtu mwingine katika historia ya dunia hii bali Yesu tu. Hakuwa mdhambi, dhambi ilikuwa kwa wengine. Dhambi zote zinakuja zenyewe kwa namna moja ama nyingine alionekana mnyenyekevu. Baba wa mbinguni alituumba ili tupendane sisi kwa sisi, na pia tumpemde yeye, lakini dhambi imekuwa kinyume na upendo huo na imechukua nafasi kubwa katika maisha yetu, hata kusababisha kifo. Hata hivyo, kifo ndio kimekuwa malipo makuu ya dhambi. Dhambi inatembea kutoka kwa mtu mmoja. Kwenda kwa mwingine, nchi moja kwenda nyingine, na inaleta maumivu kwa kila mtu, na ndiyo maana inawatenganisha wanadamu wote na Mungu, na inawapeleka kuzimu. Mungu hatokubali dhambi iingie Mbinguni, na mbingu ziwe kama dunia ilivyo hivi sasa, imejaa maovu na kujiona zaidi. Kwa miaka mingi Mungu aliruhusu wanyama wafe. Kwa njia hiyo wanadamu walikuwa na mahusiano ya karibu zaidi na Mungu wao mpendwa na waliongea nae. Aliwapenda na kuongea nao pia, kwa mfano, Abrahamu, Ayubu, Adamu na wengine wengi. Mungu anataka uhusiano huo leo kwako, lakini hutaki kujitolea kafara wanyama ili kuwa nae.
HEKIMA ZA MWANADAMU ZINA MIPAKA YAKE
Mwanadamu amejaribu kuwa na ukaribu na Mungu kwa kupitia njia mbali mbali, lakini si kwa njia ile ambayo Mungu alitegemea kutoka kwao. Kaini mtoto wa Adamu alitoa kafara ya mazao yake badala ya mnyama. Hata hivyo, Mungu hakupokea kafara ya Kaini kwa sababu haikuwa na thamani sawa na dhambi iliyokuwa ndani yake. Haijalishi Kaini alikuwa na mawazo mazuri au mabaya juu ya Mungu, bali kafara yake haikuwa na thamani ya kulipa deni la dhambi.
Ukweli ni kwamba watu bado hawajajua dhambi zao. Kwetu dhambi imekuwa ni neno la kidini. Wengi hawajajua kwa nini jambo lifanyike kwa ajili ya dhambi. Lakini Mungu ameona ni jinsi imekuwa ya kuume na ya kipekee tena yenye nguvu. Na jinsi ambavyo inaleta shida na masumbufu ndani yetu. Huko mbinguni kama siyo dhambi, tungeweza kuonana na Yesu uso kwa uso, tungekuwa huru kutoka dhambini na kuwa huru wenye nguvu zaidi na zaidi, pia tungekuwa mahali ambapo kila mtu awaye binadamu, au
malaika, au kiroho, angependa kuwepo. Wote tungependana na Mungu angeishi maisha ya upendo kwa wengine na siyo ya kibinafsi.
Fikrira za mwanadamu ni tofauti na za Mungu
Mungu ni mwerevu na kwa sababu ya hekima zake, amekuwa mkweli katika kile asemacho na afanyacho. Ikiwa hatutomficha, na kuiendea njia ile aliyotuandalia, kwa sababu ya dhambi, Bwana atajitoa na kwenda mbali nasi. Yeye ni Mungu mwenye upendo, asiye na ubinafsi, na wala hajihusishi na dhambi. Kama utaing’ang’ania dhambi na bila kinga yoyote, utajitenga mwenyewe na Mungu. Nawe hawezi kuja karibu yako ili umfahamu. Hata hivyo kumfahamu Mungu. Ni lazima uwe na kinga ya dhambi.
KUUJUWA UUNGU WA YESU KRISTO:
Kwa karne nyingi wema wa mwanadamu umekuwa ukitolewa kafara ya wanyama kwa Mungu. Wengi walidhani kuwa Mungu yuko mbali nao, lakini wachache walitambuwa kuwa Mungu yu pamoja nao. Hata hivyo, watu wengi wamekuwa wakiangalia zaidi dini, kwa matumaini kuwa wema zaidi mbele zake. Kwa kuwa hivyo, kunawafanya watu wajisikie vizuri , lakini kuna haja ya kusaidiana sisi kwa sisi. Kwa sababu sisi sote ni viumbe vya Mungu, isipokuwa kumjua Mungu kwa kupitia dini, ndicho kitutenganishacho. Tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, naye yu kama sisi. Isipokuwa yeye si mdhambi, ni mwingi wa upendo na rehema. Ni wa upendo kwa amfikiriaye, amhisiye, ampendaye na kwa yule anayemjali, alituumba ili tuweze kumfahamu. Adamu, Ibrahimu, Musa, Paulo na wengine wengi walimpenda Mungu. Na aliwachukulia kila mmoja kuwa ni marafiki zake. Kila mmoja wao ni mzima na ana mjua Mungu. Wako pamoja nae sasa huko Mbinguni, kama alivyoahidi kuwa ikiwa utamjua yeye, nawe utakuwa nae kule Mbinguni.
Baba wa mbinguni alijua kuwa kafara ya mnyama haitoshi. Mwanadamu akaanza kupoteza hamu ya kumjua Mungu na kuridhika na mambo ya dini. Cha ajabu, Mungu akaamua kuja duniani kwa ajili ya kila mmoja wetu. Akaja, akaishi kama Mwanadamu, ili aweze kulipa deni la dhambi zetu. Kwa mara moja hiyo, watu waweze kuwa marafiki zake (Mungu). Fidia ya dhambi imekuwa kama tumekuwa nae kwa undani zaidi, kwa maumivu aliyoyapata, kwa maana huo wema wa Mwanadamu hauwezi ukalipwa kwa damu ya mnyaa kamwe.
YESU KRISTO ni yeye yule jana leo na hata milele:
Huyo ndiye Yesu tunayezungumzia habari zake, na sababu alikuja duniani kuja kukuokoa, yeye ni Mungu. Alikuja duniani kutoa kafara ya ndani kwa ajili ya dhambi zetu kila mmoja, ili kwamba yeyote atakaye mwamini Baba kupitia kifo chake, damu yake iliyomwagika msalabani kwa ajli ya dhambi zetu. Yesu hakuwa mdhambi. Hata sadaka aliyoitoa kwa kwa Mungu ilikubalika. Kifo chake kilikuwa kafara yakutosha. Alikufa na dhambi zetu. Kafara yake ilikuwa ya upendo na njia kwa kuweka daraja kati ya Mungu na mwanadamu kwamba tuweze kwenda na kumjua Mungu tena.
Yesu ni mwenye ushirikiano, ni mzuri, mwema na mwenye upendo. Matokeo ya dhambi zetu ingekuwa uharibifu, kama ambavyo dunia yote ingeharibiwa kama kipindi cha nuhu au sodoma na Gomora. Mungu angeweka huruma yake ili tuendelee kuwepo, kafara aliyoitoa ilituepusha na uharibifu wowote na kutufanya wake. Ilikuwa ni upendo wa kujitolea mno! Yesu ni Mungu, ni Mungu mwenye uhuru. Nani awezaye kumzuia katika kutuangamiza sisi? Nani awezaye kulazimisha aweze kuja kutufilia sisi hapa duniani na dhambi zetu? Watu walidhani kuwa ni kazi ya Mungu kuokoa maisha yetu. Hapana, haikuwa kazi, bali upendo tu. Tunaweza kujiuliza ni upendo wa namna gani aliyokuwa nao hata kujitoa kwa ajili yetu? Hata tukiishi miaka milioni, hatustahili kile Yesu alichotenda. Yesu ni mwanaume na mwenye nguvu. Ana mamlaka yote juu ya kifo, na hii inathibitishwa pale Yesu aliporudi katika maisha yake baada ya kuwa amekwisha uawa. Hayupo nabii wala mtume ambaye aliwahi kukishinda kifo ni yeye tu hili limewachanganya wengi sana maana akiwa anakufa walikuwepo watu na wakamshuhudia na kumzika na akiwa anafufuka walikuwepo watu na wakamshuhudia akipaa kwenda mbinguni,
Ujumbe wa msalaba sasa yote yamekwisha: ila kwa waliopotea kwao ni upuuzi
Sasa kwa kuwa maisha ya Yesu yametoweka, Mungu hayupo tayari kuona mwanadamu anapotea, hata kwa damu ya wanyama, dini nyingine hata kwa imani. Nyumba ya Mungu ibaki kuwa takatifu, na kwa ajilki ya Mungu tu. Nyumba ya Mungu imetobolewa kutoka Mbinguni hadi duniani na mkono wa Mungu, wakati Yesu yuko msalabani, anafungua njia kwa ajili ya uwepo wa Mungu. Yesu alisema kuwa “imekwisha” . kifo kilihitajika kama jibu pekee la dhambi. Na ilikuwa kwa kumtoa mwana wake wa pekee afe kwa ajili ya dhambi zetu. Na baba yake alihakiki na kumpokea kwa ajili yetu.
UTAONA UWEPO WAKE UKISHA MKARIBISHA NDANI YAKO
Habari njema ni kwamba, hautokuwa mbali na Mungu ukimkiri, bali utakuja kwa Baba wa Mbinguni. Kwa unyenyekevu, mwombe atoe kafara ya mwana wake Yesu kwa ajili ya dhambi zako, na kwa furaha atafanya. Halafu utaongea nae, na ataongea nawe na kufanya urafiki na wewe ambao hautokwisha milele. Atakuwa karibu nawe, haijalishi nini kitakukuta katika maisha yako binafsi, au katika ulimwengu. Atakupenda, na atakusaidia.
Atakufanya umjue kupitia roho mtkatifu. utahisi uwepo wake, naye atajibu maombi yako. Utaanza kumfahamu Yesu ambaye ni mwingi wa upendo, rehema na utu wema. Kuhusu maisha yake na dunia kwa ujumla, kama utakavyoongea nae, atakusikia, atakuja karibu yako.
Sio tu ataongea nawe kuhusu maisha yako, bali atakuonyesha na mawazo yake juu yako kutoka moyoni mwake, kama jinsi ambavyo unajua mawazo ya rafiki, kipenzi chako yalivyo moyoni mwake. Pia atakuonyesha mahali pazuri (Mbingini) ambako utakuwa naye milele baada yaw ewe kwenda. Lakini sasa unaweza kumfahamu Mungu kwa uzuri zaidi. Kumjua Mungu siyo kwenda kanisani kwa sababu wanaompenda Kristo na kumjua, ndio walioko kwenye Kanisa Lake.usifanye kitu kama desturi tu
Mwamini Mungu, naye atakuonyesha nini cha kufanya. Biblia iliandikwa kwa uwezo wa roho mtakatifu kwa niaba yetu. Lakini haikumaanisha kuchukua nafasi ya kumjua yeye. Biblia ni neno la Mungu, na inatuelekeza kwa Yesu akupendaye na aliyekufa kwa ajili yako, na yupo kwako sasa hivi, anataka umjue! Wasiliana nasi kwa maelekezo zaidi kama una swali au hitaji la maombi,tuandikie kupitia
E mall : Samsonoxpel@gmal.com
Web: www.samsonoxpel.blogspot.com
Cell no 0756-809209/0784-713604/
Huduma zote hizo zinzpatikana bure, mmepewe bure nanyi toweni bure,
Yesu ndiye aliyekufanya usome maandishi haya, kwa sababu ametuambia tukuandikie, na amehakikisha kuwa yamekufikia. Anajua kila kitu kinachokuhusu tangu mwanzo wa maisha yako hadi sasa hivi, amejumuika nawe katika huzuni, madhaifu na hata matatizo yako, atakusaidia mara tu utakapo muhitaji. Hakutaka uwe peke yako, mara nyingi ametaka umjue yeye. Ndiyo maana amekufanya kuwa rafiki kwa makusudi hayo. Mwamini yesu kristo, kwani kwa Yesu kristo urafiki ni mzuri tena wa kweli, isitoshe ni wa upendo ule wa ndani. Hatokuacha kamwe, unachotakiwa kufanya ni kumwamini na uongee nae yeye Yesu, naye atakujibu, atakusaidia, na ndipo utakapomfahamu Yesu. Anakutazama sasa unaposoma maandishi haya na amejaa upendo juu yako.
Imeandikwa kuwa, Yesu alikuja duniani, akafa, akatoa uhai wake kwa ajili yetu. Hii inaonyesha kuwa kifo kilikuwa ni cha lazima, ili kulipa deni la dhambi zetu. Kwa nini alichagua kulipa deni la dhambi kwa njia ya kifo? Ni kwa sababu anakupenda sana!
Ulistahili uwajibike wewe kama wewe, maana mshahara wa dhambi ni mauti,ila yeye akakulipia deni
Hakuna mtu mwingine katika historia ya dunia hii bali Yesu tu. Hakuwa mdhambi, dhambi ilikuwa kwa wengine. Dhambi zote zinakuja zenyewe kwa namna moja ama nyingine alionekana mnyenyekevu. Baba wa mbinguni alituumba ili tupendane sisi kwa sisi, na pia tumpemde yeye, lakini dhambi imekuwa kinyume na upendo huo na imechukua nafasi kubwa katika maisha yetu, hata kusababisha kifo. Hata hivyo, kifo ndio kimekuwa malipo makuu ya dhambi. Dhambi inatembea kutoka kwa mtu mmoja. Kwenda kwa mwingine, nchi moja kwenda nyingine, na inaleta maumivu kwa kila mtu, na ndiyo maana inawatenganisha wanadamu wote na Mungu, na inawapeleka kuzimu. Mungu hatokubali dhambi iingie Mbinguni, na mbingu ziwe kama dunia ilivyo hivi sasa, imejaa maovu na kujiona zaidi. Kwa miaka mingi Mungu aliruhusu wanyama wafe. Kwa njia hiyo wanadamu walikuwa na mahusiano ya karibu zaidi na Mungu wao mpendwa na waliongea nae. Aliwapenda na kuongea nao pia, kwa mfano, Abrahamu, Ayubu, Adamu na wengine wengi. Mungu anataka uhusiano huo leo kwako, lakini hutaki kujitolea kafara wanyama ili kuwa nae.
HEKIMA ZA MWANADAMU ZINA MIPAKA YAKE
Mwanadamu amejaribu kuwa na ukaribu na Mungu kwa kupitia njia mbali mbali, lakini si kwa njia ile ambayo Mungu alitegemea kutoka kwao. Kaini mtoto wa Adamu alitoa kafara ya mazao yake badala ya mnyama. Hata hivyo, Mungu hakupokea kafara ya Kaini kwa sababu haikuwa na thamani sawa na dhambi iliyokuwa ndani yake. Haijalishi Kaini alikuwa na mawazo mazuri au mabaya juu ya Mungu, bali kafara yake haikuwa na thamani ya kulipa deni la dhambi.
Ukweli ni kwamba watu bado hawajajua dhambi zao. Kwetu dhambi imekuwa ni neno la kidini. Wengi hawajajua kwa nini jambo lifanyike kwa ajili ya dhambi. Lakini Mungu ameona ni jinsi imekuwa ya kuume na ya kipekee tena yenye nguvu. Na jinsi ambavyo inaleta shida na masumbufu ndani yetu. Huko mbinguni kama siyo dhambi, tungeweza kuonana na Yesu uso kwa uso, tungekuwa huru kutoka dhambini na kuwa huru wenye nguvu zaidi na zaidi, pia tungekuwa mahali ambapo kila mtu awaye binadamu, au
malaika, au kiroho, angependa kuwepo. Wote tungependana na Mungu angeishi maisha ya upendo kwa wengine na siyo ya kibinafsi.
Fikrira za mwanadamu ni tofauti na za Mungu
Mungu ni mwerevu na kwa sababu ya hekima zake, amekuwa mkweli katika kile asemacho na afanyacho. Ikiwa hatutomficha, na kuiendea njia ile aliyotuandalia, kwa sababu ya dhambi, Bwana atajitoa na kwenda mbali nasi. Yeye ni Mungu mwenye upendo, asiye na ubinafsi, na wala hajihusishi na dhambi. Kama utaing’ang’ania dhambi na bila kinga yoyote, utajitenga mwenyewe na Mungu. Nawe hawezi kuja karibu yako ili umfahamu. Hata hivyo kumfahamu Mungu. Ni lazima uwe na kinga ya dhambi.
KUUJUWA UUNGU WA YESU KRISTO:
Kwa karne nyingi wema wa mwanadamu umekuwa ukitolewa kafara ya wanyama kwa Mungu. Wengi walidhani kuwa Mungu yuko mbali nao, lakini wachache walitambuwa kuwa Mungu yu pamoja nao. Hata hivyo, watu wengi wamekuwa wakiangalia zaidi dini, kwa matumaini kuwa wema zaidi mbele zake. Kwa kuwa hivyo, kunawafanya watu wajisikie vizuri , lakini kuna haja ya kusaidiana sisi kwa sisi. Kwa sababu sisi sote ni viumbe vya Mungu, isipokuwa kumjua Mungu kwa kupitia dini, ndicho kitutenganishacho. Tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, naye yu kama sisi. Isipokuwa yeye si mdhambi, ni mwingi wa upendo na rehema. Ni wa upendo kwa amfikiriaye, amhisiye, ampendaye na kwa yule anayemjali, alituumba ili tuweze kumfahamu. Adamu, Ibrahimu, Musa, Paulo na wengine wengi walimpenda Mungu. Na aliwachukulia kila mmoja kuwa ni marafiki zake. Kila mmoja wao ni mzima na ana mjua Mungu. Wako pamoja nae sasa huko Mbinguni, kama alivyoahidi kuwa ikiwa utamjua yeye, nawe utakuwa nae kule Mbinguni.
Baba wa mbinguni alijua kuwa kafara ya mnyama haitoshi. Mwanadamu akaanza kupoteza hamu ya kumjua Mungu na kuridhika na mambo ya dini. Cha ajabu, Mungu akaamua kuja duniani kwa ajili ya kila mmoja wetu. Akaja, akaishi kama Mwanadamu, ili aweze kulipa deni la dhambi zetu. Kwa mara moja hiyo, watu waweze kuwa marafiki zake (Mungu). Fidia ya dhambi imekuwa kama tumekuwa nae kwa undani zaidi, kwa maumivu aliyoyapata, kwa maana huo wema wa Mwanadamu hauwezi ukalipwa kwa damu ya mnyaa kamwe.
YESU KRISTO ni yeye yule jana leo na hata milele:
Huyo ndiye Yesu tunayezungumzia habari zake, na sababu alikuja duniani kuja kukuokoa, yeye ni Mungu. Alikuja duniani kutoa kafara ya ndani kwa ajili ya dhambi zetu kila mmoja, ili kwamba yeyote atakaye mwamini Baba kupitia kifo chake, damu yake iliyomwagika msalabani kwa ajli ya dhambi zetu. Yesu hakuwa mdhambi. Hata sadaka aliyoitoa kwa kwa Mungu ilikubalika. Kifo chake kilikuwa kafara yakutosha. Alikufa na dhambi zetu. Kafara yake ilikuwa ya upendo na njia kwa kuweka daraja kati ya Mungu na mwanadamu kwamba tuweze kwenda na kumjua Mungu tena.
Yesu ni mwenye ushirikiano, ni mzuri, mwema na mwenye upendo. Matokeo ya dhambi zetu ingekuwa uharibifu, kama ambavyo dunia yote ingeharibiwa kama kipindi cha nuhu au sodoma na Gomora. Mungu angeweka huruma yake ili tuendelee kuwepo, kafara aliyoitoa ilituepusha na uharibifu wowote na kutufanya wake. Ilikuwa ni upendo wa kujitolea mno! Yesu ni Mungu, ni Mungu mwenye uhuru. Nani awezaye kumzuia katika kutuangamiza sisi? Nani awezaye kulazimisha aweze kuja kutufilia sisi hapa duniani na dhambi zetu? Watu walidhani kuwa ni kazi ya Mungu kuokoa maisha yetu. Hapana, haikuwa kazi, bali upendo tu. Tunaweza kujiuliza ni upendo wa namna gani aliyokuwa nao hata kujitoa kwa ajili yetu? Hata tukiishi miaka milioni, hatustahili kile Yesu alichotenda. Yesu ni mwanaume na mwenye nguvu. Ana mamlaka yote juu ya kifo, na hii inathibitishwa pale Yesu aliporudi katika maisha yake baada ya kuwa amekwisha uawa. Hayupo nabii wala mtume ambaye aliwahi kukishinda kifo ni yeye tu hili limewachanganya wengi sana maana akiwa anakufa walikuwepo watu na wakamshuhudia na kumzika na akiwa anafufuka walikuwepo watu na wakamshuhudia akipaa kwenda mbinguni,
Ujumbe wa msalaba sasa yote yamekwisha: ila kwa waliopotea kwao ni upuuzi
Sasa kwa kuwa maisha ya Yesu yametoweka, Mungu hayupo tayari kuona mwanadamu anapotea, hata kwa damu ya wanyama, dini nyingine hata kwa imani. Nyumba ya Mungu ibaki kuwa takatifu, na kwa ajilki ya Mungu tu. Nyumba ya Mungu imetobolewa kutoka Mbinguni hadi duniani na mkono wa Mungu, wakati Yesu yuko msalabani, anafungua njia kwa ajili ya uwepo wa Mungu. Yesu alisema kuwa “imekwisha” . kifo kilihitajika kama jibu pekee la dhambi. Na ilikuwa kwa kumtoa mwana wake wa pekee afe kwa ajili ya dhambi zetu. Na baba yake alihakiki na kumpokea kwa ajili yetu.
UTAONA UWEPO WAKE UKISHA MKARIBISHA NDANI YAKO
Habari njema ni kwamba, hautokuwa mbali na Mungu ukimkiri, bali utakuja kwa Baba wa Mbinguni. Kwa unyenyekevu, mwombe atoe kafara ya mwana wake Yesu kwa ajili ya dhambi zako, na kwa furaha atafanya. Halafu utaongea nae, na ataongea nawe na kufanya urafiki na wewe ambao hautokwisha milele. Atakuwa karibu nawe, haijalishi nini kitakukuta katika maisha yako binafsi, au katika ulimwengu. Atakupenda, na atakusaidia.
Atakufanya umjue kupitia roho mtkatifu. utahisi uwepo wake, naye atajibu maombi yako. Utaanza kumfahamu Yesu ambaye ni mwingi wa upendo, rehema na utu wema. Kuhusu maisha yake na dunia kwa ujumla, kama utakavyoongea nae, atakusikia, atakuja karibu yako.
Sio tu ataongea nawe kuhusu maisha yako, bali atakuonyesha na mawazo yake juu yako kutoka moyoni mwake, kama jinsi ambavyo unajua mawazo ya rafiki, kipenzi chako yalivyo moyoni mwake. Pia atakuonyesha mahali pazuri (Mbingini) ambako utakuwa naye milele baada yaw ewe kwenda. Lakini sasa unaweza kumfahamu Mungu kwa uzuri zaidi. Kumjua Mungu siyo kwenda kanisani kwa sababu wanaompenda Kristo na kumjua, ndio walioko kwenye Kanisa Lake.usifanye kitu kama desturi tu
Mwamini Mungu, naye atakuonyesha nini cha kufanya. Biblia iliandikwa kwa uwezo wa roho mtakatifu kwa niaba yetu. Lakini haikumaanisha kuchukua nafasi ya kumjua yeye. Biblia ni neno la Mungu, na inatuelekeza kwa Yesu akupendaye na aliyekufa kwa ajili yako, na yupo kwako sasa hivi, anataka umjue! Wasiliana nasi kwa maelekezo zaidi kama una swali au hitaji la maombi,tuandikie kupitia
E mall : Samsonoxpel@gmal.com
Web: www.samsonoxpel.blogspot.com
Cell no 0756-809209/0784-713604/
Huduma zote hizo zinzpatikana bure, mmepewe bure nanyi toweni bure,
Subscribe to:
Posts (Atom)
Blog Archive
-
▼
2010
(63)
-
▼
October
(42)
-
►
Oct 22
(9)
- KUZALIWA MARA YA PILI
- MAUTI YA KI-ROHO
- K2 MAUTI YA KI-ROHO
- KUVUNJA USHIRIKA NA MUNGU
- TOFAUTI YA MIUNGU NA MUNGU MUUMBA MBINGU NA DUNIA,
- KWENYE UTAKATIFU KUNA UTUKUFU WA MUNGU
- KWA MTU MMOJA DHAMBI ILIINGIA ULIMWENGUNI,
- KUNA UMUHIMU GANI WA KUTUBU DHAMBI ZETU KWA MUNGU?
- SWALI LINALOWASUMBUWA WATU WA DINI,NA DUNIA
-
►
Oct 22
(9)
-
▼
October
(42)