Ndugu Mtazamaji/ MSOMAJI; Bila shaka unampenda Mungu Sana tunaamini hivyo Kwa vile ulivyoweza kufika mahali hapa tulipo kupitia Mtandao huu, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-Mungu Mathayo 16:6-12) piga simu kwa masaada zaidi huduma hii ni bure 0757328311
Nguvu ya Kusikia
Nguvu ya kusikia
Utangulizi:
CHANZO CHA IMANI
warumi 10:17, “Imani chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la kristo.” Mambo ya kujifunza ni kuwa imani chanzo chake ni kusikia, tukiishia hapo tunajifunza kitu hapa, tukiangalia kwenye biblia utagundua baada ya neno kusikia kuna alama ya mkato ikimaanisha imani chanzo chake ni kusikia. Kumbe imani yoyote ya kushindwa au ya kushindwa yanatokana na kile unachosikia.
Kama tulivyoona kwenye andiko hapo juu, kuwa imani inaandia kwenye kusikia. “masikio yetu yanaweza kutupelekea katika kuanguka au kuinuka” ni muhimu kujua kila unachosikia kinaleta IMANI ndani ya mtu, ambayo yaweza kuwa nzuri au mbaya kutegemea kile ulichosikia. Na ndio maana , shetani hutumia sana masikio kuwafanya watu wamtumikie yeye.
.1 Uzuri wa kusikia.
Unaponahabari za Mungu, na neno la kristo basi imani na nguvu ya Mungu itaingia kwenye maisha yako. Kwa maana hata wale wakoma walisikia neno kutoka kwa kristo. Na hapo wakapata imani ya kuchukua hatua na baada ya kuchukua hatua ya kuamua kwenda kujionyesha hapo wakapokea utakaso wao.. lakini la kujifunza hapa ni kwamba imani yao imepatikana baada ya kusikia NENO kutoka kwa kristo.
Hatari ya mambo tunayoyasikia.
Ni muhimu kujua kile unachosikia kina leta kesho yako, “maisha unayoishi leo ni matokeo yayale uliyowahi kusikia” na ndio maana shetani anatumia hiyo kukamata na anataka usikie mambo mabaya ili utende mabaya. Na ndio maana ukifuatilia kwenye maisha yako huwezi kukumbuka kama kuna mtu aliyewahi kukufundisha dhambi, lakini unajikuta unatenda kwa kuwa habari za dhambi zimeenea zaidi kuliko taarifa za nuru.
3. MAPENZI YA MUNGU
2 Timotheo 4:7 “nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, imani nimeilinda”. Yohana 10:10 “mwivi haji ili aharibubu,kuua na kuchinya lakini mimi nilikuja ili muwe na uzima tele” kumbe kazi ya Yesu duniani ni bayana nay a shetani ni bayana.. Paulo alisema amemaliza kazi ya kristo. Na ndiomaana neno imani linaingia pale, kwasababu huwezi kutenda kazi ya kristo bila kuwa na imani ya YESU ndani yako. Na imani chanzo chake ni kusikia kumbe unaposikia habari za kristo unajikuta unatenda kazi ya kristo. Na unaposikia habari za upande wa shetani utajikuta unatenda kazi za shetani.
Unalolisikia laweza kukuingiza kwenye laana nau Baraka. Jifunze kusikia neno la Mungu. Nandio maana biblia inasema kwenye kitabu cha 2 wakorintho 10:3-5 “tukiteka nyara kila fikra” kumbe fikri zetu na mawazo yetu ni muhimu yawe katika kumtii Mungu , lakini ili fikra iweze kumtii Mungu ni lazima isikie neno la Mungu. (warumi 10:17)
Hatuwa ya muhimu kwa muongofu
Unapoanza maisha haya mapya katika Yesu Kristo nakushauri mambo yafuatayo:
1. Zungumza na Mungu kwa maombi kila siku
(Yohana 15:7)
Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.
Hivyo hutukuzwa Baba yangu, kwa vile mzaavyo sana; nanyi mtakuwa wanafunzi wangu.
Kama vile Baba alivyonipenda mimi, nami nilivyowapenda ninyi, kaeni katika pendo langu.
Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.
Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.
Hakuna aliye na upendo mwingi kuliko huu, wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.
Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
2. Soma Neno la Mungu (Biblia) kila siku
(Matendo ya Mitume 17:11)
Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno kwa uelekevu wa moyo, wakayachunguza maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo ndivyo yalivyo.
Basi watu wengi miongoni mwao wakaamini, na wanawake wa Kiyunani wenye cheo, na wanaume si wachache.
Lakini Wayahudi wa Thesalonike walipopata habari ya kwamba neno la Mungu linahubiriwa na Paulo hata katika Beroya, wakaenda huko nako wakawachafua na kuwafadhaisha makutano.
Mara hiyo wale ndugu wakampeleka Paulo aende zake mpaka pwani; bali Sila na Timotheo wakasalia huko.
3.Mruhusu Roho Mtakatifu akutawale
(Wagalatia 5:16-25;
Lakini mkiumana na kulana, angalieni msije mkaangamizana.
Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.
Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.
Warumi 8:14-17)
Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.
Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;
na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye.
Kwa maana nayahesabu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu.
Umtumaini Mungu kwa kila jambo katika maisha yako
(1Petro 5:7;
huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.
Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.
Nanyi mpingeni huyo, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kuwa mateso yale yale yanatimizwa kwa ndugu zenu walioko duniani.
Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawatengeneza, na kuwathibitisha, na kuwatia nguvu.
Zekaria 4:6)
Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami, nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini?
Ndipo malaika aliyesema nami akajibu, akaniambia, Hujui vitu hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.
Akajibu akaniambia, akisema, Hili ndilo neno la Bwana kwa Zerubabeli, kusema, Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema Bwana wa majeshi.
Nani wewe, Ee mlima mkubwa? Mbele ya Zerubabeli utakuwa nchi tambarare; naye atalileta lile jiwe la kuwekwa juu kabisa pamoja na vigelegele vya, Neema, neema, ilikalie.
5. Usiache kukusanyika na kushirikiana na wengine waliompokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wao kama wewe ili uimarike zaid
(Waebrania 10:25)
wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi;
bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.
Mungu akubariki sana msomaji
Balozi wa serekali ya mbinguni
samson na mkewe wanalo neno la kinabii juu yako
kwa msaada zaidi piga 0756 809 209,
1. Zungumza na Mungu kwa maombi kila siku
(Yohana 15:7)
Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.
Hivyo hutukuzwa Baba yangu, kwa vile mzaavyo sana; nanyi mtakuwa wanafunzi wangu.
Kama vile Baba alivyonipenda mimi, nami nilivyowapenda ninyi, kaeni katika pendo langu.
Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.
Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.
Hakuna aliye na upendo mwingi kuliko huu, wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.
Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.
2. Soma Neno la Mungu (Biblia) kila siku
(Matendo ya Mitume 17:11)
Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno kwa uelekevu wa moyo, wakayachunguza maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo ndivyo yalivyo.
Basi watu wengi miongoni mwao wakaamini, na wanawake wa Kiyunani wenye cheo, na wanaume si wachache.
Lakini Wayahudi wa Thesalonike walipopata habari ya kwamba neno la Mungu linahubiriwa na Paulo hata katika Beroya, wakaenda huko nako wakawachafua na kuwafadhaisha makutano.
Mara hiyo wale ndugu wakampeleka Paulo aende zake mpaka pwani; bali Sila na Timotheo wakasalia huko.
3.Mruhusu Roho Mtakatifu akutawale
(Wagalatia 5:16-25;
Lakini mkiumana na kulana, angalieni msije mkaangamizana.
Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.
Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.
Warumi 8:14-17)
Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.
Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;
na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye.
Kwa maana nayahesabu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu.
Umtumaini Mungu kwa kila jambo katika maisha yako
(1Petro 5:7;
huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.
Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.
Nanyi mpingeni huyo, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kuwa mateso yale yale yanatimizwa kwa ndugu zenu walioko duniani.
Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawatengeneza, na kuwathibitisha, na kuwatia nguvu.
Zekaria 4:6)
Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami, nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini?
Ndipo malaika aliyesema nami akajibu, akaniambia, Hujui vitu hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.
Akajibu akaniambia, akisema, Hili ndilo neno la Bwana kwa Zerubabeli, kusema, Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema Bwana wa majeshi.
Nani wewe, Ee mlima mkubwa? Mbele ya Zerubabeli utakuwa nchi tambarare; naye atalileta lile jiwe la kuwekwa juu kabisa pamoja na vigelegele vya, Neema, neema, ilikalie.
5. Usiache kukusanyika na kushirikiana na wengine waliompokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wao kama wewe ili uimarike zaid
(Waebrania 10:25)
wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi;
bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.
Mungu akubariki sana msomaji
Balozi wa serekali ya mbinguni
samson na mkewe wanalo neno la kinabii juu yako
kwa msaada zaidi piga 0756 809 209,
Je Unajuwa Kuwa Wewe ni Balozi wa serekali ya Mbinguni
Kwa Watakatifu, watu wa Mungu aliye Baba yetu, na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. namshukuru Mungu wetu katika Yesu Kristo kwa ajili yenu niyi wote mtakao soma majibu ya swali la Ndugu yetu kebhayo,
Kwa maana Mungu tumwabuduye kwa roho na kweli katika Injili ya Mwana wake Yesu kristo, naye ni shahidi wetu kwa yale tu yanenayo au tunayoyatenda Amestahili yeye kutukuzwa kupitia maswali
Bwana wetu na Mungu wetu kwa wale wanaomwamini, kuwa yeye ndiye aliyeviumba vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yake vilikuwako, navyo viliumbwa. ujumbe huu unajibiwa katika Jina lile lipitalo majina yote, Jina la Yesu Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai, Bwana na Mwokozi wetu. Kwa kuwa majibu ni mengi ninaomba niyafupishe ila ikihitajika kwa urefu zaidi ya hapa nalo linawezekana, pia nitafanya hivyo
UTANGULIZI
• Siri ya Mungu ipo kwa wao wamchao tu, zaburi 25:14
• Kilichozwaliwa kwa mwili ni mwali na kilicho zaliwa kwa Roho ni Roho
• Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema kuliko fedha na dhahabu Mithali 22:1
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyenzi ……………….Kwa siku NYINGI nitamshibisha, nami nitamwonyesha wokovu wangu” (Zaburi 91:16)“Ili wafarijiwe mioyo yao, wakiunganishwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa hakika, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani, Kristo’ (Wakolosai 2:2).
Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo” (2Wakorintho 5:20)
Kuwa mjumbe kwa ajili ya Kristo maana yake nini? Tunatakiwa tuwe wajumbe kwa ajili ya Kristo juu ya nini? Na kwa namna gani? Na kwa nani? Na kwa wakati gani? Neno la Kiingereza lililotafsiriwa kuwa mjumbe ni ‘Ambassador” Na neno zuri linalotoa picha nzuri ya maana ya ‘Ambassador’ ni neno Balozi. Balozi ni mjumbe na mjumbe ni balozi
Neno balozi na neno mjumbe lina maana sawa lakini kwa jinsi tunavyoyatumia maneno haya, utafikiria neno balozi lina uzito zaidi kuliko neno mjumbe.
Kwa hiyo tunaweza kusema: “ Basi tu mabalozi (wajumbe) kwa ajili ya Kristo” Katika nchi ya Tanzania tuna mabalozi wa nyumba kumikumi, ambao pia wanajulikana kuwa ni wajumbe wa nyumba kumikumi. Pia tuna mabalozi walioko nchi za nje waliotumwa kuiwakilisha nchi hii katika maswala na majukumu mbalimbali.
Sasa na tuliangalie katika ngazi ya kitaifa. Balozi ni mjumbe au mwakilishi wa nchi moja katika nchi nyingine. Kwa mfano: Balozi wa Tanzania nchini Kenya; kwanza ni raia wa Tanzania anayefahamu vizuri msimamo wa nchi hii katika maswala mbalimbali. Yuko Kenya kwa ajili ya Serikali ya Tanzania na raia wa Tanzania.
Yeye ndiye msemaji mkuu wa Serikali ya Tanzania nchini Kenya. Serikali ya Tanzania inapopeleka ujumbe kwa serikali ya Kenya, inapitia kwa balozi wake aliyeko Kenya.
Balozi huyo ni picha kamili ya Watanzania kwa watu wa Kenya, katika maneno yake na mwenendo wake. Yeye ni mlinzi wa hadhi ya Tanzania nchini Kenya. Na makazi yake ni nchini Kenya.
Balozi ni mjumbe aliyetumwa na mtu mwingine. Balozi wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, ametumwa na nchi yetu, awe msemaji na mtetezi wa mawazo ya Tanzania katika maswala mbalimbali ya kimataifa. Balozi hasemi mawazo yake mwenyewe. Balozi anasema tu kile alichotumwa kusema na anafanya kile tu ambacho ametumwa kufanya.
Tunasisitiza hivi, BALOZI HASEMI MAWAZO YAKE MWENYEWE: BALOZI ANASEMA TU KILE ALICHOTUMWA KUSEMA, NA ANAFANYA KILE TU AMBACHO AMETUMWA KUFANYA.Na kitu cha kwanza anachofanya anapofika katika nchi aliyotumwa ni kutoa vitambulisho vilivyo na muhuri na sahihi ya kiongozi wa nchi anayotoka.
Biblia inatuambia kuwa sisi ni mabalozi kwa ajili ya Kristo hapa duniani; sisi ni wajumbe tuliotumwa kwa ajili ya Kristo hapa duniani. Ndiyo maana Paulo alisema kuishi kwake ni Kristo. Wewe ni mjumbe wa Kristo na kwa ajili ya Kristo hapa duniani. Ikiwa wewe ni Mjumbe, basi wewe ni balozi wa Kristo na kwa ajili ya Kristo.
Kumbuka kuwa balozi hasemi mawazo yake mwenyewe. Wewe ni balozi wa Kristo hapa duniani kwa hiyo kutokana na wadhifa huo uliopewa unatakiwa usiseme mawazo yako, wala kufanya mambo yako hapa duniani; bali USEME MAWAZO YA KRISTO NA MANENO YAKE; NA UFANYE YAKE TU ALIYOKUTUMA KUFANYA.
Lakini ni wazi kwamba huwezi kusema mawazo na maneno ya Kristo wakati huyafahamu. Na ikiwa hapa duniani wewe ni balozi basi, inamaanisha hapa duniani si kwako. Na ikiwa hapa duniani si kwako, na wala wewe si mwenyeji wa hapa duniani; basi unatokea wapi na uenyeji (uraia) wako ni wa wapi?
Wewe ni mwenyeji wa wapi? Hili swali ni muhimu sana ambalo ni budi ufahamu jibu lake katika roho yako. Bila kufahamu ulikotoka utaifanye kazi ya ubalozi au ya kuwa mjumbe wa Kristo. Balozi (Mjumbe) yeyote anajua alikotoka; anafahamu uraia wake ni wa wapi. Je wewe unafahamu kuwa wewe ni balozi wa nchi gani ukiwa hapa duniani?
ninakazia swali hili kwa sababu ujumbe utakokuwa unatoa; au mahubiri unayofanya mbele za watu; na matendo yako yanategemea sasa mahali gani umetoka kiroho na kimazingira.
Kuna wengine ni mabalozi wa miili yao wenywe. Wanahubiri kwa sababu ya mwili ili wapate mishahara yao na kuvaa. Wao wanaona kuwa kuhubiri ni kama kazi nyingine ya kuajiriwa.
Lakini la kushangaza ni kwamba wote wanasema ni mabalozi wa Kristo, wajumbe wa neno la Injili. Na hii si kweli. Muda umefika ambapo Roho wa Mungu amekududia kuliweka wazi hili. Mabalozi wa Kristo wawe wazi; mabalozi wa madhehebu wawe wazi, na mabalozi wa miili yao wawe wazi.
Muda umefika wa kufichuliwa watu wote wanaojiita mabalozi wa Kristo, wameokoka, na ni wakristo?, watumishi wa Kanisa kumbe ni mbwa mwitu wakali wanaowaendea watu wakiwa wamevaa mavazi ya Kondoo (Mathayo 7:15).
Muda umefika ambao watu wote wanokaa karibu na wewe, vitu vyote vinavyokuzunguka, mahali unapopita, watu wote hao wanaokuzunguka wajue, kwamba wanajua KUWA WEWE NI BALOZI WA KRISTO MJUMBE KWA AJILI YA KRISTO!Kweli
UTASEMA MAWAZO NA MANENO YA KRISTO. NA UTAFANYA MATENDO YA KRISTO KWA AJILI YA KRISTO MAHALI POPOTE ULIPO NA UTAKAPOKUWA DUNIANI:
Kuishi kwako hapa duniani ni Kristo na kufa kwako ni faida! Mtume Paulo alipoandika kuwa “Basi tu wajumbe (Mabalozi) kwa ajili ya Kristo,” alikuwa anamhusisha kila mtu ambaye amefanyika kuwa kiumbe kipya ndani ya Kristo. Ikiwa wewe ni kiumbe kipya ndani ya Kristo, basi wewe ni mjumbe(balozi) kwa ajili ya Kristo.
Ikiwa basi wote waliozaliwa mara ya pili, walio viumbe vipya ndani ya Kristo (waliookoka) wanatakiwa kuwa mabalozi wa Kristo; mbona basi ubalozi wao hauonekani ukifanya kazi? Ubalozi hauonekani katika maisha yako, kwa sababu hujafuatilia katika Biblia kujua neno linasemaje juu ya hili.
Ni Duwa yangu na maombi kila atakayepata ujumbe huu akubali kwanzia leo yeye awe Balozi wa serekali ya mbinguni Baada ya kujitabuwa lati tingefahamu uzito wa wadhifa huu wa kuwa mjumbe wa Kristo hapa duniani, hali ya mambo isingekuwa kama ilivyo hivi sasa ya kukata tamaa – iliyojaa katika mioyo ya yetu.na kujiweka mbali na Mungu kiasi hicho
Laiti basi wewe ungejua uzito wa wadhifa huu wa kuwa mjumbe wa Kristo mahali ulipo ikiwa in nyumbani, kazini, safarini, kanisani, sokoni, hali ya mambo isingekuwa kama unavyoiona sasa. Nchi yetu inaharibika kwakuwa watu wameyaacha majukumu yao wakatamani ya wengine wasiyoyaweza je tunakwenda wapi,Hoko?
Ubalozi uzalendo uraia wa mbinguni
Mtu yeyote Yule aliyemwamini kristo kama Bwana na muokozi wa maisha yake yeye ni raia wa mbinguni. Na mzalendo wa Mbinguni kwa mjibu wa maandiko matakatifu,
“Basi tangu sasa ninyi si wageni wala Wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani mwake Mungu” (Waefeso 2:19).
Yesu Kristo alipokuwa akituombea alisema:
“Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu umewachukia; kwa kuwa WAO SI WA ULIMWENGU, kama mimi nisivyo wa ulimwengu. Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule muovu. Wao SI WA ULIMWENGU KAMA MIMI NISIVYO WA ULIMWENGU. Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli. Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo NILIWATUMA HAO ULIMWENGUNI (Yohana 17:4-18)
Weka jambo ili katika moyo wako. Watu wa Kristo si wa ulimwengu huu, bali ni wenyeji wa mbinguni. Watu wa Kristo wako hapa ulimwenguni kwa sababu Kristo amewatuma kufanya kazi muhimu. Kumbuka upo hapa duniani kwa kuwa kuna KAZI ambayo KRISTO amekupa uifanye kabla ya kurudi nyumbani kwetu MBINGINU.kama huitambui leo Roho mtakatifu kupitia Balozi wa Serekali ya Mbinguni ameamua utambuwe sasa, ila kwa msaada zaidi piga simu yangu ya mkono au ya meza Ext;1961/ 0756 809 209, kwa maswali zaidi na msaada,niko tayari usiku na mchana 24 kwa siku 7 za juma hakuna aliyechelewa kuaza kazi ya ubalozi anza sasa kama jana hukufanya
Balozi wa serekali ya mbinguni
(Samson)
Kwa maana Mungu tumwabuduye kwa roho na kweli katika Injili ya Mwana wake Yesu kristo, naye ni shahidi wetu kwa yale tu yanenayo au tunayoyatenda Amestahili yeye kutukuzwa kupitia maswali
Bwana wetu na Mungu wetu kwa wale wanaomwamini, kuwa yeye ndiye aliyeviumba vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yake vilikuwako, navyo viliumbwa. ujumbe huu unajibiwa katika Jina lile lipitalo majina yote, Jina la Yesu Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai, Bwana na Mwokozi wetu. Kwa kuwa majibu ni mengi ninaomba niyafupishe ila ikihitajika kwa urefu zaidi ya hapa nalo linawezekana, pia nitafanya hivyo
UTANGULIZI
• Siri ya Mungu ipo kwa wao wamchao tu, zaburi 25:14
• Kilichozwaliwa kwa mwili ni mwali na kilicho zaliwa kwa Roho ni Roho
• Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema kuliko fedha na dhahabu Mithali 22:1
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyenzi ……………….Kwa siku NYINGI nitamshibisha, nami nitamwonyesha wokovu wangu” (Zaburi 91:16)“Ili wafarijiwe mioyo yao, wakiunganishwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa hakika, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani, Kristo’ (Wakolosai 2:2).
Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo” (2Wakorintho 5:20)
Kuwa mjumbe kwa ajili ya Kristo maana yake nini? Tunatakiwa tuwe wajumbe kwa ajili ya Kristo juu ya nini? Na kwa namna gani? Na kwa nani? Na kwa wakati gani? Neno la Kiingereza lililotafsiriwa kuwa mjumbe ni ‘Ambassador” Na neno zuri linalotoa picha nzuri ya maana ya ‘Ambassador’ ni neno Balozi. Balozi ni mjumbe na mjumbe ni balozi
Neno balozi na neno mjumbe lina maana sawa lakini kwa jinsi tunavyoyatumia maneno haya, utafikiria neno balozi lina uzito zaidi kuliko neno mjumbe.
Kwa hiyo tunaweza kusema: “ Basi tu mabalozi (wajumbe) kwa ajili ya Kristo” Katika nchi ya Tanzania tuna mabalozi wa nyumba kumikumi, ambao pia wanajulikana kuwa ni wajumbe wa nyumba kumikumi. Pia tuna mabalozi walioko nchi za nje waliotumwa kuiwakilisha nchi hii katika maswala na majukumu mbalimbali.
Sasa na tuliangalie katika ngazi ya kitaifa. Balozi ni mjumbe au mwakilishi wa nchi moja katika nchi nyingine. Kwa mfano: Balozi wa Tanzania nchini Kenya; kwanza ni raia wa Tanzania anayefahamu vizuri msimamo wa nchi hii katika maswala mbalimbali. Yuko Kenya kwa ajili ya Serikali ya Tanzania na raia wa Tanzania.
Yeye ndiye msemaji mkuu wa Serikali ya Tanzania nchini Kenya. Serikali ya Tanzania inapopeleka ujumbe kwa serikali ya Kenya, inapitia kwa balozi wake aliyeko Kenya.
Balozi huyo ni picha kamili ya Watanzania kwa watu wa Kenya, katika maneno yake na mwenendo wake. Yeye ni mlinzi wa hadhi ya Tanzania nchini Kenya. Na makazi yake ni nchini Kenya.
Balozi ni mjumbe aliyetumwa na mtu mwingine. Balozi wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, ametumwa na nchi yetu, awe msemaji na mtetezi wa mawazo ya Tanzania katika maswala mbalimbali ya kimataifa. Balozi hasemi mawazo yake mwenyewe. Balozi anasema tu kile alichotumwa kusema na anafanya kile tu ambacho ametumwa kufanya.
Tunasisitiza hivi, BALOZI HASEMI MAWAZO YAKE MWENYEWE: BALOZI ANASEMA TU KILE ALICHOTUMWA KUSEMA, NA ANAFANYA KILE TU AMBACHO AMETUMWA KUFANYA.Na kitu cha kwanza anachofanya anapofika katika nchi aliyotumwa ni kutoa vitambulisho vilivyo na muhuri na sahihi ya kiongozi wa nchi anayotoka.
Biblia inatuambia kuwa sisi ni mabalozi kwa ajili ya Kristo hapa duniani; sisi ni wajumbe tuliotumwa kwa ajili ya Kristo hapa duniani. Ndiyo maana Paulo alisema kuishi kwake ni Kristo. Wewe ni mjumbe wa Kristo na kwa ajili ya Kristo hapa duniani. Ikiwa wewe ni Mjumbe, basi wewe ni balozi wa Kristo na kwa ajili ya Kristo.
Kumbuka kuwa balozi hasemi mawazo yake mwenyewe. Wewe ni balozi wa Kristo hapa duniani kwa hiyo kutokana na wadhifa huo uliopewa unatakiwa usiseme mawazo yako, wala kufanya mambo yako hapa duniani; bali USEME MAWAZO YA KRISTO NA MANENO YAKE; NA UFANYE YAKE TU ALIYOKUTUMA KUFANYA.
Lakini ni wazi kwamba huwezi kusema mawazo na maneno ya Kristo wakati huyafahamu. Na ikiwa hapa duniani wewe ni balozi basi, inamaanisha hapa duniani si kwako. Na ikiwa hapa duniani si kwako, na wala wewe si mwenyeji wa hapa duniani; basi unatokea wapi na uenyeji (uraia) wako ni wa wapi?
Wewe ni mwenyeji wa wapi? Hili swali ni muhimu sana ambalo ni budi ufahamu jibu lake katika roho yako. Bila kufahamu ulikotoka utaifanye kazi ya ubalozi au ya kuwa mjumbe wa Kristo. Balozi (Mjumbe) yeyote anajua alikotoka; anafahamu uraia wake ni wa wapi. Je wewe unafahamu kuwa wewe ni balozi wa nchi gani ukiwa hapa duniani?
ninakazia swali hili kwa sababu ujumbe utakokuwa unatoa; au mahubiri unayofanya mbele za watu; na matendo yako yanategemea sasa mahali gani umetoka kiroho na kimazingira.
Kuna wengine ni mabalozi wa miili yao wenywe. Wanahubiri kwa sababu ya mwili ili wapate mishahara yao na kuvaa. Wao wanaona kuwa kuhubiri ni kama kazi nyingine ya kuajiriwa.
Lakini la kushangaza ni kwamba wote wanasema ni mabalozi wa Kristo, wajumbe wa neno la Injili. Na hii si kweli. Muda umefika ambapo Roho wa Mungu amekududia kuliweka wazi hili. Mabalozi wa Kristo wawe wazi; mabalozi wa madhehebu wawe wazi, na mabalozi wa miili yao wawe wazi.
Muda umefika wa kufichuliwa watu wote wanaojiita mabalozi wa Kristo, wameokoka, na ni wakristo?, watumishi wa Kanisa kumbe ni mbwa mwitu wakali wanaowaendea watu wakiwa wamevaa mavazi ya Kondoo (Mathayo 7:15).
Muda umefika ambao watu wote wanokaa karibu na wewe, vitu vyote vinavyokuzunguka, mahali unapopita, watu wote hao wanaokuzunguka wajue, kwamba wanajua KUWA WEWE NI BALOZI WA KRISTO MJUMBE KWA AJILI YA KRISTO!Kweli
UTASEMA MAWAZO NA MANENO YA KRISTO. NA UTAFANYA MATENDO YA KRISTO KWA AJILI YA KRISTO MAHALI POPOTE ULIPO NA UTAKAPOKUWA DUNIANI:
Kuishi kwako hapa duniani ni Kristo na kufa kwako ni faida! Mtume Paulo alipoandika kuwa “Basi tu wajumbe (Mabalozi) kwa ajili ya Kristo,” alikuwa anamhusisha kila mtu ambaye amefanyika kuwa kiumbe kipya ndani ya Kristo. Ikiwa wewe ni kiumbe kipya ndani ya Kristo, basi wewe ni mjumbe(balozi) kwa ajili ya Kristo.
Ikiwa basi wote waliozaliwa mara ya pili, walio viumbe vipya ndani ya Kristo (waliookoka) wanatakiwa kuwa mabalozi wa Kristo; mbona basi ubalozi wao hauonekani ukifanya kazi? Ubalozi hauonekani katika maisha yako, kwa sababu hujafuatilia katika Biblia kujua neno linasemaje juu ya hili.
Ni Duwa yangu na maombi kila atakayepata ujumbe huu akubali kwanzia leo yeye awe Balozi wa serekali ya mbinguni Baada ya kujitabuwa lati tingefahamu uzito wa wadhifa huu wa kuwa mjumbe wa Kristo hapa duniani, hali ya mambo isingekuwa kama ilivyo hivi sasa ya kukata tamaa – iliyojaa katika mioyo ya yetu.na kujiweka mbali na Mungu kiasi hicho
Laiti basi wewe ungejua uzito wa wadhifa huu wa kuwa mjumbe wa Kristo mahali ulipo ikiwa in nyumbani, kazini, safarini, kanisani, sokoni, hali ya mambo isingekuwa kama unavyoiona sasa. Nchi yetu inaharibika kwakuwa watu wameyaacha majukumu yao wakatamani ya wengine wasiyoyaweza je tunakwenda wapi,Hoko?
Ubalozi uzalendo uraia wa mbinguni
Mtu yeyote Yule aliyemwamini kristo kama Bwana na muokozi wa maisha yake yeye ni raia wa mbinguni. Na mzalendo wa Mbinguni kwa mjibu wa maandiko matakatifu,
“Basi tangu sasa ninyi si wageni wala Wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani mwake Mungu” (Waefeso 2:19).
Yesu Kristo alipokuwa akituombea alisema:
“Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu umewachukia; kwa kuwa WAO SI WA ULIMWENGU, kama mimi nisivyo wa ulimwengu. Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule muovu. Wao SI WA ULIMWENGU KAMA MIMI NISIVYO WA ULIMWENGU. Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli. Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo NILIWATUMA HAO ULIMWENGUNI (Yohana 17:4-18)
Weka jambo ili katika moyo wako. Watu wa Kristo si wa ulimwengu huu, bali ni wenyeji wa mbinguni. Watu wa Kristo wako hapa ulimwenguni kwa sababu Kristo amewatuma kufanya kazi muhimu. Kumbuka upo hapa duniani kwa kuwa kuna KAZI ambayo KRISTO amekupa uifanye kabla ya kurudi nyumbani kwetu MBINGINU.kama huitambui leo Roho mtakatifu kupitia Balozi wa Serekali ya Mbinguni ameamua utambuwe sasa, ila kwa msaada zaidi piga simu yangu ya mkono au ya meza Ext;1961/ 0756 809 209, kwa maswali zaidi na msaada,niko tayari usiku na mchana 24 kwa siku 7 za juma hakuna aliyechelewa kuaza kazi ya ubalozi anza sasa kama jana hukufanya
Balozi wa serekali ya mbinguni
(Samson)
Subscribe to:
Posts (Atom)