“Maana Neno la Mungu LI HAI, tena LINA NGUVU, tena LINA UKALI KULIKO UPANGA UWAO WOTE UKATAO KUWILI, tena LACHOMA HATA KUZIGAWANYA NAFSI NA ROHO NA VIUNGO NA MAFUTA YALIYOMO NDANI YAKE: tena LI JEPESI KUYATAMBUA MAWAZO NA MAKUSUDI YA MOYO. Wala HAKUNA KIUMBE KISICHOKUWA WAZI MBELE ZAKE, lakini VITU VYOTE VI UTUPU NA KUFUNULIWA MACHONI PAKE YEYE ALIYE NA MAMBO YOTE” (Waebrania 4:12,13)
“Ee Bwana, Neno lako lasimama imara mbinguni hata milele … Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa …. Hunitia hekima kuliko adui zangu, kwa maana ninayo (ninalo) siku zote. Ninazo akili kuliko wakufunzi wangu wote, maana shuhuda zako ndizo nizifikiriazo. Ninao UFAHAMU kuliko wazee, kwa kuwa NIMEYASHIKA MAUSI YAKO …. Kwa mausia yako najipatia ufahamu, ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo. Neno lako ni TAA ya miguu yangu, na MWANGA wa njia yangu” (Zaburi 119:89, 97-100, 104, 105).kama usipojifunza neno la Mungu huwezi kujiongoza na kufikia maisha tuliyoandaliwa,maamuzi ya maishaunayotaka kuishi yako mikononi mwako,na kila unachokiwaza na kukifanya kinahesabika mbele za Mungu,
hivyo ni bora ukachagu,maisha ya uzima,maisha ya umilele,chaguwa kitu chakufikiria,chaguwa kitu chakuongea.chaguwa kitu cha kufanya,na kitu chakusikia kutoka kwa watu,sikila kitu ni chema kukiona kwao,au kukisikia,,,,,,,,,,