SWALI LINALOWASUMBUWA WATU WA DINI,NA DUNIA

Yohane 20:28


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu

1 Timotheo 3:16

Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili.


Wakolosai 2:9

Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.

Isaya 9:6

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume; na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

Yohana 8:58

Yesu akawaambia, . . . Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.

Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukum tambua. —Yohana 1:10

1 Timotheo 2:5, 6

Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; ambaye alijitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya wote.

Wakolosai 1:14, 15

Ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi; naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana.

BIBLIA (MAANDIKO) NI NENO LA MUNGU — 26

Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. —2 Petro 1:21

Luka 1:70, 77

Kama alivyosema tangu mwanzo kwa kinywa cha manabii wake watakatifu; uwajulishe watu wake wokovu, katika kusamehewa dhambi zao.

Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, na neno lake likawa ulimini mwangu. —2 Samweli 23:2
Kumbukumbu La Torati 6:6

Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako.
2 Timotheo 3:16

Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki.

Warumi 15:4

Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini.

Mathayo 22:29

Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.

Zaburi 138:2

Kwa maana umeikuza ahadi yako, kuliko jina lako lote.

YESU NDIYE NENO LA MUNGU
Ufunuo 19:13

Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.
Yohana 1:1, 14

Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.
Yesu anamdhihirisha Mungu

2 Wakorintho 4:6

Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang’aa toka gizani, ndiye aliyeng’aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.



Yohana 1:18

Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.

Mungu yuanena kuptia kwa Yesu



Waebrania 1:1, 2

Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.



Yohana 8:38

Niliyoyaona kwa Baba ndiyo niyanenayo.
 Tunasema ni neno na ni chakula,
Biblia ni chakula kwa nafsi

Ayubu 23:12

Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu.

Mathayo 4:4
Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Biblia inaangaza njia yetu
Zaburi 119:105

Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu.

Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, na kumfahamisha mjinga. —Zaburi 119:130

Yesu ni mkate kutoka mbinguni

Yohana 6:51, 48

Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu. Mimi ndimi chakula cha uzima.

Yesu ni nuru ya ulimwengu

Yohana 8:12

Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Biblia huleta maisha yen ye mazao
Zaburi 1:2, 3

Blog Archive

Followers