maneno yanafunua kilichomo ndani yetu,kukaa kimya bila kupona ndani haisaidii MATHAYO 12:34
Kama una tatizo na ulimi ujue unatatizo kubwa moyoni kuliko unavyofikiria.
· Mtu mwenye maneno makali ana moyo wenye hasira.
· Mtu mwenye maneno hasi ana moyo wa woga na hofu.
· Mtu mwenye ulimi /maneno ya kulipuka ana moyo ambao haujatulia.
Mtu mwenye maneno ya kujivuna na kujisifia ana moyo usiojiaamini,hana usalama wa moyoni.
· Mtu mwenye maneno ya kutukana ana moyo usio safi
· Mtu ambaye wakati wote ni mkosoaji na wa kulaumu ana moyo wa uchungu
lakini upande wa pili,mtu mwenye kutia moyo siku zote ana moyo wa furaha.mtu anazungumza kwa upole ana moyo wa upendo,anayezungumza ukweli ana moyo wa uaminifu.
B. JINSI YA KUKUFANYA ILI NIWEZE KUUTAWALA NA KUUCHUNGA ULIMI WANGU:
1. PATA MOYO MPYA Ezekeli 18:31, zaburi 51
2. OMBA MSAADA WA MUNGU KILA SIKU Zaburi 141:3 huwezi kwa nguvu zako unahitaji msaada wa Mungu
Usalama wa ulimi ni kujifunza kusikiliza na si kuongea,
Ufikiri kabla ya kusema-jifunze nidhamu ya kusikiliza Yakobo1:19 ,Kusikiliza kutakufanya kuwa na maneno machache.Ukiwa mwepesi kusikiliza hautakuwa mwepesi kusema, kusukiliza ni sanaa,ni jambo la kujifunza ni kazi sana, mfano katika maongezi ya simu,kuiingilia kati mwingine anapozungumza,kumkata kauri mtu mwingine,kutaka kutawala mazungumzo pekee yako,n.k.
Kusikiliza listening ni tofauti na kusikia hearing,unaweza kuwa unasikia lakini husikilizi,
kusikiliza ni ngazi ya juu ya mawasiliano inayo husisha, macho, masikio,mwitikio wamwili,lugha ya mwili,hisia za mwili-ni katika kusikiliza unaweza kumjua mtu zaidi,na kuusoma moyo wake,ana uchungu kiasi gani,ameumia kiasi gani,n.k.
Tunauweza wa kusikiliza maneno 600 kwa dakika,wakati tunauwezo wa kusema maneno 150 tu kwa dakika,tofauti ya maneno 500,tunafikiria haraka kabla ya mtu hajamaliza kusema tayari tunamaliza naye sentence,Inahitaji Nidhamu.
“Maneno yetu yana nafasi kidogo sana katika mawasiliano na kufikisha ujumbe,mawasiliano ni zaidi yakuzungumza maneno.utafit wa Kodak uligundua hili –Nusu ya mawasiliano yetu ni ujumbe usio wa maneno yeyote,kutazama ,lugha ya mwili kunachukua 58% ya kuwakilisha ujumbe,sauti yetu na namna tunavyo sema 35%,maneno yenyewe hasa ni7% ya ujumbe wote.hii ni kusema maneno au kuzungumza hakuna nafasi kubwa katika mawaasiliano tofauti na tunavyofikiria na kuamini.”
Asante kwa kushiriki na sisi
Ndugu Mtazamaji/ MSOMAJI; Bila shaka unampenda Mungu Sana tunaamini hivyo Kwa vile ulivyoweza kufika mahali hapa tulipo kupitia Mtandao huu, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-Mungu Mathayo 16:6-12) piga simu kwa masaada zaidi huduma hii ni bure 0757328311
kwa nini ulimi ni hatari,
KWANINI NAPASWA KUWA MAKINI NA ULIMI WANGU?
je Unajuwa ulimi wako unakokupeleka?
Kielelezo cha usukani na lijamu.Ukitaka kujua utakuwa wapi au vipi miaka mitano ijayo akangalia nini unazungumza zaidi leo juu yako mwenyewe,maneno yetu yana tupa uelekeo wa kule tuendako.unaongea juu ya nini zaidi?.
“ulimi unatawala mwelekeo wa maisha yako.ulimi ni usukani wa maisha yako,ni mfumo wako wa uongozi wa maisha yako Ukitaka kumbadilisha mtu anvyoamini,mbadilishe vile anavyo zungumza,vile unavyozungumza mwisho wa siku nindivyo vile unavyoamini.”
yale unayo yazungumza sana,mara kwa mara mwisho wa siku ndivyo utakayo yaamini. wazo Huiingia katika ufahamu,kasha katika MOYO,MANENO hutoka moyoni na kasha MATENDO huzaliwa.(MITHALI 18:20)
Nukuu: Martin LUTHER-“huwezi kuzui ndege wasiruke juu ya kichwa chako,lakini unaweza kuzuia wasijenge kiota na kuhamia hapo”
2. ULIMI WANGU UNAWEZA KULETA UHARIBIFU NA MADHARA KWANGU NA KWA WENGINE
Kielelezo cha moto na mnyama mkali asiyefugika.Mithali 21:23 18:21 Madhara makubwa sana yameletwa na ulimi,ndoa zimevunjika, urafiki,mahusiano,makanisa ,ndugu,wamekosana n.k ulimi unasabisha magovi,chuki n.k ULIMI unadhuru unaitwa mishale…una dhuru hata mbali.Neno moja liweza kusababisha “chain reaction”unaweza kuzungumza kitu ambacho hudhamiria kilete madhara lakini matokeo yake makubwa yasiyozuilika.
3. ULIMI WANGU UNA NIDHIHIRISHA VILE MIMI NILIVYO
Kielelezo cha chemchemi namti wa matundaYAKOBO 3:9-12Watu wengi wanafikiri labda kukaa kimya pekee yake kunasaidi,cha muhimu zaidi ni ndani yako kukukojeMfano wa kisima/chemichemi na mfano wa mti na matunda-Kile kilichopo katika kisima ndicho kitakacho toka na kuwepo katika maji,kadharika kilichopo katika mti kitajidhihirisha kwa njia ya matunda.
ubarikiwe sana asante kwakushiriki na sisi hapa
je Unajuwa ulimi wako unakokupeleka?
Kielelezo cha usukani na lijamu.Ukitaka kujua utakuwa wapi au vipi miaka mitano ijayo akangalia nini unazungumza zaidi leo juu yako mwenyewe,maneno yetu yana tupa uelekeo wa kule tuendako.unaongea juu ya nini zaidi?.
“ulimi unatawala mwelekeo wa maisha yako.ulimi ni usukani wa maisha yako,ni mfumo wako wa uongozi wa maisha yako Ukitaka kumbadilisha mtu anvyoamini,mbadilishe vile anavyo zungumza,vile unavyozungumza mwisho wa siku nindivyo vile unavyoamini.”
yale unayo yazungumza sana,mara kwa mara mwisho wa siku ndivyo utakayo yaamini. wazo Huiingia katika ufahamu,kasha katika MOYO,MANENO hutoka moyoni na kasha MATENDO huzaliwa.(MITHALI 18:20)
Nukuu: Martin LUTHER-“huwezi kuzui ndege wasiruke juu ya kichwa chako,lakini unaweza kuzuia wasijenge kiota na kuhamia hapo”
2. ULIMI WANGU UNAWEZA KULETA UHARIBIFU NA MADHARA KWANGU NA KWA WENGINE
Kielelezo cha moto na mnyama mkali asiyefugika.Mithali 21:23 18:21 Madhara makubwa sana yameletwa na ulimi,ndoa zimevunjika, urafiki,mahusiano,makanisa ,ndugu,wamekosana n.k ulimi unasabisha magovi,chuki n.k ULIMI unadhuru unaitwa mishale…una dhuru hata mbali.Neno moja liweza kusababisha “chain reaction”unaweza kuzungumza kitu ambacho hudhamiria kilete madhara lakini matokeo yake makubwa yasiyozuilika.
3. ULIMI WANGU UNA NIDHIHIRISHA VILE MIMI NILIVYO
Kielelezo cha chemchemi namti wa matundaYAKOBO 3:9-12Watu wengi wanafikiri labda kukaa kimya pekee yake kunasaidi,cha muhimu zaidi ni ndani yako kukukojeMfano wa kisima/chemichemi na mfano wa mti na matunda-Kile kilichopo katika kisima ndicho kitakacho toka na kuwepo katika maji,kadharika kilichopo katika mti kitajidhihirisha kwa njia ya matunda.
ubarikiwe sana asante kwakushiriki na sisi hapa
Vikwazo vya Aliyetumwa
Kila aliyetumwa, Lazima akumbane na vikwazo,
Kutuma-
ni hali ya kupewa ujumbe kwa ajili ya kupeleka palipo kusudiwa. Unaweza ukawa ujumbe wa familia au nchi. Mungu naye Ana kawaida ya kuwafumba watu duniani na Jumbe mbalimbali…
Maandiko yanayotaja uweza wa Mungu wa kutumia watu.
Kama hutaki matatizo mwachie aliyetumwa, kwa desturi Mungu huwa anatuma watu duniani na hii ni desturi ya Mungu.
Yeremia 49:14 . 14 Nimepata habari kwa Bwana, Na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, Akisema, Jikusanyeni, mkaujie, Mkainuke kwenda vitani.
Na hawa watu hutumwa kwa makusudi mbalimbali
Kutoka 23:20 Kwa kuwa malaika wangu atatangulia mbele yako, na kukufikisha kwenye Mwamori, na Mhiti, na Mperizi, na Mkanaani, na Mhivi, na Myebusi; nami nitawakatilia mbali.
Usiisujudie miungu yao, wala kuitumikia; wala usitende mfano wa matendo yao; bali utaiangamiza kabisa, na nguzo zao utazivunja vipande vipande.
malaki 3: 1,Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta atalijilia hekalu lake ghafula; naam, yule mjumbe wa agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema Bwana wa majeshi.
Lakini ni nani atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni nani atakayesimama atakapoonekana yeye? Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu asafishaye fedha, ni mfano wa sabuni ya mtu afuaye nguo;
mathayo 11:10 , Huyo ndiye aliyeandikiwa haya, Tazama, mimi namtuma mjumbe wangu Mbele ya uso wako, Atakayeitengeneza njia yako mbele yako.
watu wa dunia hii kwa kumuonea mtu anakupa pamoja nao, au anaishi katikati Yao huisikia kuwa hajatumwa, lakini hata kwenye biblia watu waliotumwa walikuwa wanaishi na kula kama watu wengine.
mifano ya watu waliotumwa kwenye biblia.
Marko 1:2 Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya, Tazama, namtuma mjumbe wangu Mbele ya uso wako, Atakayeitengeneza njia yako.
huyu ni Yohana mbatizaji, alitumwa kuandaa njia kwa ajili ya Yesu .
Hata Yesu mwenyewe alikuwa ametumwa Kutoka mbinguni lakini alitungwa mimba, akazaliwa, na Akaishi Kama watu wengine, Hesabu 20:16 tena tulipomlilia Bwana, akatusikiza sauti yetu, akamtuma malaika, na kututoa tutoke Misri; nasi tupo hapa Kadeshi, mji wa mpakani mwako mwa mwisho;
Mungu anatabia ya kutumia. 2Samweli 12:1 zaburi 105:26. Mathayo 21:37 waamuzi 6:28 Mungu anatabia ya kutuma watu.
Mfano wa wanasayansi.
Wanasayansi wengi wa zamani amabao walikuwa wakristo na ni wavumbuzi wa zamani wa sayansi, mfano 1. isaack newton, 2. Boyle, na watu Kama wakina 3. kelvin waliogundua umeme hawa watu walikuwa wameokoka na hawa waligundua vitu mbalimbali. 4. Michael faraday Kama tulivyoona wagunduzi wa zamani wengi wanakubali kuwa Mungu yupo. 5. John Rey, 6. Creg Maxwell 7. Caros Linus, 8. Kepler. waliokuwa wameokoka.
Lakini ukiangalia maisha yao binafsi, utagundua maisha yao yakipita mambo magumu,
Mfano: isaack newton mama yake akiwa mjamzito, baba yake akafariki … Hivyo mama yake akaenda kuolewa na mume mwingine, Na hapo newto akaenda kuishi kwa mjomba yake na katika maisha magumu na kutokana na maisha magumu yale , yakamfanya newton akazane kusoma kumbe mtu aliyetumwa kuibadili dunia na hapa lazima dunia imshikilie na kumzuia, lakini mwisho wa siku alikwenda na kumaliza wito wake.
Mfano mwingine ni Robert Boyle naye alizaliwa kwenye shida pia, Faraday pia Alipitia wakati mgumu kwenye maisha yake.
Maisha halisi ya sasa.
Tunapozungumzia kutumwa ni neno pana sana na hapa inaweza ikawa mtu katumwa kubadili nchi, familia, nyumba na Hali ya jamii nzima. Lakini dunia hii tuliopo ina system mbalimbali mfano. Dini, serikari, jeshi ambavyo vinazuia ujumbe wa aliyetumwa. Marko 1:2 , “palitokea mtu ametumwa…..” unajikuta unakiu ya jambo fulani kufanikiwa, una kiu ya kufanikisha kitu fulani kinaweza kuwa cha familia au cha taifa na hapo hali ya maisha na umaskini ina kuzuia, na hii ni kawaida ya dunia kujaribu kuwashikilia watu waliotumwa..
Kumbe inawezekana kuwa Mungu amekutuma duniani, na hujijui na kwa vile dunia ilivyokushikilia inakufanya hata usahau kuwa umetumwa. Mfano: inawezekana umetumwa kuwa waziri wa mambo ya nje na hapo inakubidi upate elimu angalau, lakini dunia inakuzuia kwa kukuletea umaskini ili ukose elimu na mwisho wa siku ushindwe kufikia kwenye kule ulipotumwa.
Msaada kutoka kwa Mungu kwa Yule aliyemtuma.
Kama tulivyoona Mungu anadesturi ya kutuma malaika, binadamu ili kuitengeneza dunia kuishape dunia kuileta mahala pake… Na Mungu ili kuwasaidia aliowatuma huitikisa dunia kwa jambo fulani ili kufanya wale aliowatuma waingie kwenye system, na hapa ndio maana unaona hata nchi Kama Tanzania inapitia kwenye mtikisiko ikionyesha kuwa kuna watu waliotumwa na wanakusudiwa kuingia kwenye nafasi zao.
Mfano mwingine ni wa Ibrahim , ambaye ni baba wa Imani, na huyu aliahidiwa kuwa baba wa mataifa na ili kuwa baba wa mataifa lazima azae awe na watoto, lakini dunia( shetani) akaanza kupinga hiyo, kwa kumwekea utasa, na hapa tunajifunza kuwa kwa kila mtu aliyetumwa lazima atakutana na upinzani.
Mfano mwingine ni Musa , na Musa alipozaliwa tu , shetani akajua na alitumwa na Mungu kuunda taifa imara, la Israel na ndio maana alipozaliwa tu, Farao akaamuru watoto wote waangamizwe, na hapa tunajifunza kumbe ukiwa na kitu kikubwa cha Mungu , lazima utapingwa na kuzuiwa. Lakini Musa kimuujiza alienda kula mezani mwa Farao. Bila Farao kujua hadi wakati wake hutimie.
Kumbe aliyetumwa hawezi kuangamizwa hadi atimize hatma yake.
Kwahiyo Mungu anakwaida ya kuwasaidia wale aliowtuma, tunaona katika habari ya Musa alipokuwa mdogo, na hata yale mapigo aliowaandalia wamisri,
Mfano mwingine wa taifa la Israel, kipindi Sauli alipofanya machukizo… Mungu akamtuma nabii Samuel kwenda kumpaka Mafuta mfalme Daud . Mungu anakawaida ya kutuma watu. kwa hiyo samweli akamchagua na kumtia Mafuta daudi.
Vitu ambavyo vilimshikilia Daud Kama mpakwa mafuta.
1. Kudharuliwa na ndugu zake.
2. Yuko machungoni polini.
3. Alidharauliwa na watu wa taifa lake.
Lakini pamoja na yote daudi aliishia kuwa mfalme sawasawa na alivyoitwa.
Jambo la kufanya:
Ni muhimu kupambana vita vya kiroho ili kuondoa vizuizi vya dunia, ambavyo vinazuia watu waliotumwa… Kwa hiyo ni muhimu kusambaratisha nguvu ya shetani ili kutuachia watu tuliotumwa.
Mungu akubariki sana, kwakushiriki nasi,
Kafara maana yake nini?
Ukiongelea Madhabahu kimsingi tunazungumzia vitu
vitano.. yaani kuhani wa madhabahu , Mungu wa madhabahu , Nguvu ya madhabahu ( moto wa madhabahu) , kafara ya madhabahu na madhabahu yenyewe .. na kwa leo tujikite zaidi kwenye neno hili kafara ya madhabahu
KAFARA YA MADHABAHU
Nini maana ya kafara?
Kwa akili zawatu zilivyo wakisikia neon kafala wanakimbilia kwenye waganga wa kienyeji.. lakini neno hili kafara kwenye biblia ndio linaitwa dhabihu kwenye biblia.. kuna maadiko kadhaa yanayo taja kafara kwenye biblia kama ifuatavyo :- mambo ya walawi 2 :2, 9, 16; mambo ya walawi 10 : 13, 14.. maandiko haya yanataja neon kafara kwenye biblia .. na limeonekana mara nyingi.. hii ni kukuonyesha kuwa neno kafala lipo kwenye biblia na lina maana sahihi.. kwahiyo Kafara ni sadaka inayotolewa kwa ajili ya kupokea jambo fulani kutoka ulimwengu wa roho aidha kwa Mungu au kwa shetani..
Ni Muhimu kujua matatizo mengi ya watu yanasababishwa na kafara zinazotolewa.. .. na shetani amewafunga watu wasijue vyanzo vya matatizo yao na kufungwa huku ndio biblia anaita “mafumbo ya kishetani” Ufunuo 2: 24-25 na kwa namna hii shetani amewapofusha watu wasijue siri hii ndio maana hata baadhi ya wakristo wamefungwa wasijue siri hii..
Kwa desturi watu hupanda ngazi kwenye maisha kulingana na sifa zao na haki, lakini watu wengine kwa kutumia njia ya mkato wanatoa kafara ili kuwa funika wengine na kuchukua nafasi zao.. Yeremia 32 :35 1wafalme 16 : 34 tunaona hapa kwenye hili andiko, maana Joshua alipoubomoa ukuta wa Yeriko akaweka kanuni nya kuwa yeyote atakaye taka kujenga atafiwa na mwanaye pale atakapo anza na atakapo fika katikati atafiwa na motto mwingine … lakini tunaona Hieli mbethel akaamua kumtoa kafara mwanaye kwa kuweka misingi na tena akamtoa kafara mwanaye mwingine..
Tunaona hapa kuwa kafara na kutoa kafara hayakuanza leo bali yalianza tangu kipindi cha cha zamani kwenye biblia.. 2 wafalme 3:24-27 hapa tunaona wayahudi wakavamia Moabu na wakakaribia kuteka mji wa Moabu na hapa ndio maandiko yaasema ndipo alipomtoa mwanaye ambaye angekuwa ni mtawala badala yake kwenye ukuta ili wayahudi wasiweze kuwavamia..
Ndio maana ni rahisi kumkuta mtu anasikitika kuhusu matatizo yake., lakini ni Muhimu kujua watu wa duniani hutoa kafala ili apate ushindi katika maisha na kwa njia hii hufunika wengine.. ndio maana kuna aina ya mashetani yanaitwa mizimu hawa sio roho za watu waliokufa bali ni mashetani waliokaa muda wa kutosha nafamilia hadi wakajua tabia zenu na pale mtu anapoenda kutoa kafara anakuwa anayaalika yale mapepo nyumbani au kwenye ukoo husika.. na ndio maana ni rahisi kukuta ukoo mmoja kuwa na matatizo yanayo fanana..
Kimsingi waganga wa kienyeji hutumia kafala kuwafunga watu, na ndio maana ukienda kwa mganga atakutaka ulete kafara aidha ya kuku au ya mbuzi kwa maana kwa mganga wa kienyeji ni madhabahuni pa shetani… na wachawi pale ile damu inapomwagika mashetani anamiminika pale na kufanya vile kafara inavyowataka wafanye.
Ndugu zangu kuna watu hata hawapendi kukuona unakula vizuri, au unapika vizuri au unasomesha.. na akiona huo wivu anaamua kwenda kukufanyizia kwa mganga wa kienyeji..ambapo ataambiwa atoe kafara kwa ajili ya kukuangamiza wewe..
1wakorintho 10:2020
Sivyo, lakini vitu vile wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si kwa
Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mashetani.
21 Hamwezi kushirikiana katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani.
22 Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?
.. zaburi 126:38 kumbe kuna uwezekano wa watu kutoa kafara kwa mashetani. Na biblia inalikubali hili kupitia maandiko hayo tuliyoyaona hapo.. unaweza kuwekewa pepo la udhaifu kupitia kafara.. Luka 13:10 Pepo wa udhaifu.. mtu anaweza kukutolea kafara ili ufe kifo cha Ghafla..
Kwetu tuliookoka..
Unapomkubali Yesu unakuwa umejiunganisha na mauti ya Yesu hivyo hakuna haja ya kutoa kafara tena.. maana Yesu alifanyika kafara kwa ajili yetu na damu ya Yesu ilimwagika ili kutufungua wote na Yesu alipigwa na kufa ili sisi kutookoa kama kafara kwaajili yetu.. watu wa dunia wanaweza kwenda kwa waganga na kutoa kafara lakini sisi tuna Damu ya Yesu ambayo ni nguvu ya madhabahu yetu..
Hivyo sasa kwa kutumia damu ya Yesu unaweza sasa kuharibu kafara na madhabahu zao zote,, ukishughulikia madhabahu na kafara unakuwa umeiangamiza nguvu ya madhabahu nza kishetani na tatizo ulilonalo litakwisha .. kwahiyo ni muhimu kuharibu makuhani wa madhabahu yaani wachawi na waganga, madhabahu yenyewe yaani wanapokusanyikia, inatubidi kubomoa kafara yao, nguvu yao na pia Mungu wa madhabahu zao ambazo ni shatani.. na hapo utapata ushindi mkamilifu..
Mathayo 17:14 utajiuliza inakuaje, Yesu anaamua kumtoa pepo wakati tatizo lake lilitajwa ni kifafa, hapo utagundua kuwa matatizo ya watu wengi yanatoka na mapepo au majini yanayo tumwa na kumfanya awe vile alivyo.. lakini unatakiwa ushughulikie madhabahu na mambo yanayofuatana nayo…
Balozi wa serekali ya mbinguni
vitano.. yaani kuhani wa madhabahu , Mungu wa madhabahu , Nguvu ya madhabahu ( moto wa madhabahu) , kafara ya madhabahu na madhabahu yenyewe .. na kwa leo tujikite zaidi kwenye neno hili kafara ya madhabahu
KAFARA YA MADHABAHU
Nini maana ya kafara?
Kwa akili zawatu zilivyo wakisikia neon kafala wanakimbilia kwenye waganga wa kienyeji.. lakini neno hili kafara kwenye biblia ndio linaitwa dhabihu kwenye biblia.. kuna maadiko kadhaa yanayo taja kafara kwenye biblia kama ifuatavyo :- mambo ya walawi 2 :2, 9, 16; mambo ya walawi 10 : 13, 14.. maandiko haya yanataja neon kafara kwenye biblia .. na limeonekana mara nyingi.. hii ni kukuonyesha kuwa neno kafala lipo kwenye biblia na lina maana sahihi.. kwahiyo Kafara ni sadaka inayotolewa kwa ajili ya kupokea jambo fulani kutoka ulimwengu wa roho aidha kwa Mungu au kwa shetani..
Ni Muhimu kujua matatizo mengi ya watu yanasababishwa na kafara zinazotolewa.. .. na shetani amewafunga watu wasijue vyanzo vya matatizo yao na kufungwa huku ndio biblia anaita “mafumbo ya kishetani” Ufunuo 2: 24-25 na kwa namna hii shetani amewapofusha watu wasijue siri hii ndio maana hata baadhi ya wakristo wamefungwa wasijue siri hii..
Kwa desturi watu hupanda ngazi kwenye maisha kulingana na sifa zao na haki, lakini watu wengine kwa kutumia njia ya mkato wanatoa kafara ili kuwa funika wengine na kuchukua nafasi zao.. Yeremia 32 :35 1wafalme 16 : 34 tunaona hapa kwenye hili andiko, maana Joshua alipoubomoa ukuta wa Yeriko akaweka kanuni nya kuwa yeyote atakaye taka kujenga atafiwa na mwanaye pale atakapo anza na atakapo fika katikati atafiwa na motto mwingine … lakini tunaona Hieli mbethel akaamua kumtoa kafara mwanaye kwa kuweka misingi na tena akamtoa kafara mwanaye mwingine..
Tunaona hapa kuwa kafara na kutoa kafara hayakuanza leo bali yalianza tangu kipindi cha cha zamani kwenye biblia.. 2 wafalme 3:24-27 hapa tunaona wayahudi wakavamia Moabu na wakakaribia kuteka mji wa Moabu na hapa ndio maandiko yaasema ndipo alipomtoa mwanaye ambaye angekuwa ni mtawala badala yake kwenye ukuta ili wayahudi wasiweze kuwavamia..
Ndio maana ni rahisi kumkuta mtu anasikitika kuhusu matatizo yake., lakini ni Muhimu kujua watu wa duniani hutoa kafala ili apate ushindi katika maisha na kwa njia hii hufunika wengine.. ndio maana kuna aina ya mashetani yanaitwa mizimu hawa sio roho za watu waliokufa bali ni mashetani waliokaa muda wa kutosha nafamilia hadi wakajua tabia zenu na pale mtu anapoenda kutoa kafara anakuwa anayaalika yale mapepo nyumbani au kwenye ukoo husika.. na ndio maana ni rahisi kukuta ukoo mmoja kuwa na matatizo yanayo fanana..
Kimsingi waganga wa kienyeji hutumia kafala kuwafunga watu, na ndio maana ukienda kwa mganga atakutaka ulete kafara aidha ya kuku au ya mbuzi kwa maana kwa mganga wa kienyeji ni madhabahuni pa shetani… na wachawi pale ile damu inapomwagika mashetani anamiminika pale na kufanya vile kafara inavyowataka wafanye.
Ndugu zangu kuna watu hata hawapendi kukuona unakula vizuri, au unapika vizuri au unasomesha.. na akiona huo wivu anaamua kwenda kukufanyizia kwa mganga wa kienyeji..ambapo ataambiwa atoe kafara kwa ajili ya kukuangamiza wewe..
1wakorintho 10:2020
Sivyo, lakini vitu vile wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si kwa
Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mashetani.
21 Hamwezi kushirikiana katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani.
22 Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?
.. zaburi 126:38 kumbe kuna uwezekano wa watu kutoa kafara kwa mashetani. Na biblia inalikubali hili kupitia maandiko hayo tuliyoyaona hapo.. unaweza kuwekewa pepo la udhaifu kupitia kafara.. Luka 13:10 Pepo wa udhaifu.. mtu anaweza kukutolea kafara ili ufe kifo cha Ghafla..
Kwetu tuliookoka..
Unapomkubali Yesu unakuwa umejiunganisha na mauti ya Yesu hivyo hakuna haja ya kutoa kafara tena.. maana Yesu alifanyika kafara kwa ajili yetu na damu ya Yesu ilimwagika ili kutufungua wote na Yesu alipigwa na kufa ili sisi kutookoa kama kafara kwaajili yetu.. watu wa dunia wanaweza kwenda kwa waganga na kutoa kafara lakini sisi tuna Damu ya Yesu ambayo ni nguvu ya madhabahu yetu..
Hivyo sasa kwa kutumia damu ya Yesu unaweza sasa kuharibu kafara na madhabahu zao zote,, ukishughulikia madhabahu na kafara unakuwa umeiangamiza nguvu ya madhabahu nza kishetani na tatizo ulilonalo litakwisha .. kwahiyo ni muhimu kuharibu makuhani wa madhabahu yaani wachawi na waganga, madhabahu yenyewe yaani wanapokusanyikia, inatubidi kubomoa kafara yao, nguvu yao na pia Mungu wa madhabahu zao ambazo ni shatani.. na hapo utapata ushindi mkamilifu..
Mathayo 17:14 utajiuliza inakuaje, Yesu anaamua kumtoa pepo wakati tatizo lake lilitajwa ni kifafa, hapo utagundua kuwa matatizo ya watu wengi yanatoka na mapepo au majini yanayo tumwa na kumfanya awe vile alivyo.. lakini unatakiwa ushughulikie madhabahu na mambo yanayofuatana nayo…
Balozi wa serekali ya mbinguni
Maana ya kuzimu na mauti
Kila jambo lina nguzo linazozitegemea, na kila utawala una nguzo unaotegemea.. vilevile utawala washetani umejengwa juu ya nguzo ziitwazo MAUTI na KUZIMU.. Ayubu 38:18 na nguzo hizi mbili ndizo ambazo zinashikilia utawala wa shetani na ndio maana maeneo mengi ambayo kuzimu inatajwa basin a mauti ipo pia.. mfano katika kitabu cha zaburi 116 :3 .. HAPA UTAONA kila mahali ambapo mauti imetajwa basi kuna mahusiano na kuzimu ..
MAANA YA MAUTI NA KUZIMU :
MAUTI ni roho ambayo kazi yake ni kuuondoa uhai ulio ndani ya mtu. Na KUZIMU ni roho ambayo kazi yake ni kuwahifazi wale waliokufa.. ufunuo 6: 9, Isaya 28 :15 ..
Mauti ni roho yenye akili na yenye kupanga.. ndio maana wanafunzi wa Yesu , walipomuona Yesu yuko juu ya maji, biblia inasema wanafunzi wa Yesu wakadhani wameona roho.. kumbe roho ina personality ina akili kili, inaweza kupanga na kutekeleza na pia yaweza kumpagaa mtu. Kwahiyo mauti ni roho yenye personslity hapo tunaweza sema mauti ni mtu.. Tunaweza sema mauti ni mtu ina “personality” ufunuo 20 : 13.. mauti inaweza kumeza watu..
ufunuo 20 : 14 kila mahali inapotajwa mauti kuzimu inafuata pale, hii inaonyesha kuwa mauti inaanza alafu kuzimu inafuata.. katika hiki kitabu cha ufunuo 20 : 14 tunaona kuwa “ mauti na kuzimu vikatupwa kwenye jehanamu” kumbe mauti unaweza uka ikamata kabisa na kuitupa mahali.. kama mauti na kuzimu vingekuwa ni matukio basi visingeweza kushikwa na kutupwa kwenye moto. Ndio maana Yesu alipokufa alishinda mauti na kuzimu. ( yohana 20 :3)
tuangalie hili andiko mwanzo 37:25 katika agano la kale kuzimu lilikuwa linatumika kama mahali wafu walipokuwa wanakwenda, na palikuwa panaitwa “sheol” kwa lugha ya kingereza na huko wako wafu wote waliotenda haki na walitenda maovu walikuwa wanakwenda kule.. lakini palikuwa wamepagawa mahali pa watenda haki na mahali pa watenda maovu.. na mahali walipokuwa wanaenda watenda palikuwa panaitwa Kifuani pa Ibrahimu, ( yaani wale walioamua kuungana na imani ya Ibrahim) na sasa kunaitwa paradiso..
TOFAUTI YA JEHANAMU NA KUZIMU:
Jehanamu ni shimo la rohoni la moto watakapo angamizwa watu watendao dhambi, kwasasa jehanamu hakuna mtu ndani maana hukumu bado haijatolewa lakini watu wanaokufa kwa sasa wanaenda kuzimu (bottomless pit) hii ni roho iliyojifunua kama shimo. Isaya 14:11,15 . tunaona shetani alipoasi akatupwa kwenye hilo shimo ndio maana ya maneno yaliyo katika kitabu cha ufunuo 12:7-9 kumbe kuzimu ipo hapa katika nchi, hapaonekani kwa kuwa lipo katika ulimwengu wa roho. Ufunuo 9:15 , KUZIMU ndio kwenye makao makuu ya shetani , wanakofanyia kazi zao.. (operation centre) ufunuo 17:8 .. kwa hiyo ni muhimu kujua kuzimo ipo angani, baharini na hata kwenye nchi.. ndio maana biblia inataja mara nyingu neon hili wakuu wa anga’
KAZI ZA KUZIMU NA MAUTI.
Kuzimu ndio inayo achilia uovu duniani, inaachilia magonjwa, tabu, dhambi, mateso, balaa,mikosi, ukimwi, kuchanganyikiwa, kuchukiwa na watu, inadhoofisha, inatesa na inaleta uhalibifu.. kwahiyo kuzimu inaleta roho ya uzinzi na uasherati, uovu na dhambi na hizi zote zinamfanya mtu kudhoofika na kuishiwa nguvu. Hapo sasa mauti ndo inakuja pale mtu anapokuwa kwenye comma. KWAHIYO kuzimu kazi yake ni kudhoofisha kwanza.. na ndio maana unaweza muona mtu anaumwa hadi kudhoofika sana lakini huyo mtu hafi.. hii ni kwasababu mashetani ya mauti hayajaanza kufanya kazi..
Hapo mgonjwa anapokuwa dhaifu ndipo sasa mauti inakuja na kufanya kazi yake, ya kumuua . na mauti ikifanikiwa kuutoa uhai basi sasa mauti inatuma mapepo wa kuja kumchukua Yule mtu kama alikuwa mtenda dhambi.. na ndio maana utaona kuwa mtu anapotaka kufa waliowengi utawasikia wanasema maneno kama ‘naona giza’ au msinichukue’ basi ujue wakati huo.
Kuzimu inaleta duniani hata mitindo ya kuvaa.. ili kuingiza tamaa za uzinzi na uasherati.. na unapoona tamaa ya dhambi inaongezeka basi jua unakaribia kufa.. kama ulipangiwa kuishi miaka 80 utajikuta unaishi miaka 40.. kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti.
Marko 16 :19-22.. Mtu anapokata roho anachukuliwa na malaika kwenda mbinguni au anachukuliwa na malaika kwenda kuzimu..
NGUZO MBILI ZA KIPINDI CHA SAMSON
SAMSON alikuwa mnadhiri alikuwa na jukumu la kuangamiza wafilisti, lakini wafilisti walimnasa baada ya kudanganywa na mkewe, ILI kutoa siri ya nguvu zake, baada ya kujua wafilisti wakmnyoa nywele , wakamtoboa macho na kumweka asage ngano, mfano huu wa Samson unaonyesha hali ya kanisa ya sasa baada ya kanisa kukosa nguvu, na kudharauriwa Mungu ameanza kulipa nguvu kanisa kama nywele za samason zilipoanza kuota.. Samson alipopata nguvu akajitegemeza kwenye nguzo mbili ambazo jingo linazitegemea. Na akazitikisa hadi jingo lote likaanguka kabisa. Ndivyo kanisa linavyotakiwa kuwaangamiza nguzo za mauti na kuzimu.. ili liweze kurudi kwenye uweza wake na ndio maana ushindi wa Yesu msalabani kimsingi ni ushindi dhidi ya mauti…
Na balozi wa serekali ya Mbinguni
Fahamu mambo machache, yanayokuchosha tofauti na huduma
SABABU YA KUCHOKA SANA:
1. Kazi nyingi kupita kiasi
2. Kuwa mtu wa kukubaliana kila kitu na mkuu wako au bosi wako.
3. Kuhisi umekwama katika ujuzi wako/taaluma yako.
4. Kuwa mlevi wa kazi5. Kulazimishwa katika mazingira yanayokukandamiza. Kuona una majukumu kupita kiasi
6. Kufanya kazi na wateja ambao hawana mwitikio na ushirikiano. Matatizo ya kifamila kama fedha.
7. Mafanikio ya uponyaji.
TIBA YA UCHOVU
1. Jifunze kuweka mipaka.
● Jifunze kuwa na hisia za uchechi-uwe rahisi na unaye weza kukalibiwa kirahisi. Tengeneza mtandao usiwe mpweke, gawa majukumu kwa wegine. Unapokuwa peke yako kimbia kwa kasi lakini kwa muda mfupi.mnapokuwa wengi kimbia taratibu lakini kwa muda mrefu..
2. Uwe na shughuli nyingine mbali na shughuli za kanisa,kama vile michezo,matembezi.
3. Wakati wote tunza akilini mwako lengo yako.
4. Jifunze kuthamini kudhihirisha hisia hasi zako.
5. Hudhuria semina mahali kwingine,katika makanisa mengine na maeneo mengine.
6. Tengeneza tabia ya kupumzika –chukua siku moja kupumzika katika wiki na chukua likizo ndefu.
7. Chukua tabia ya afya njema:kula vizuri,fanya mazoezi,lala vizuri.
JINSI YA KUZIMA HALI YA KUCHOKA
1. Shughulikia mfadhaiko wako kwa kufanya mazoezi ya viungo
● Tumia mazoezi rahisi.
● Andiko maneno rahisi hewani kama vile Jina lako n.k. kwa kutumia mwili waka au mwenendo wa kichwa.
● Chukua siku moja ya kupumzika.
2. Tawala muda wako.-usihairishe mambo,uwe na orodha ya mambo ya kufanya.
3. Gawa majukumu,epuka kujitegemea mwenyewe.
4. Pata uwajibikaji-mthibitishe mtu unayemwamini.
5. Fanyaia kazi nidhamu za kiroho kama vile Maombi,Kusoma Biblia,kufunga,n.k..
1. Kazi nyingi kupita kiasi
2. Kuwa mtu wa kukubaliana kila kitu na mkuu wako au bosi wako.
3. Kuhisi umekwama katika ujuzi wako/taaluma yako.
4. Kuwa mlevi wa kazi5. Kulazimishwa katika mazingira yanayokukandamiza. Kuona una majukumu kupita kiasi
6. Kufanya kazi na wateja ambao hawana mwitikio na ushirikiano. Matatizo ya kifamila kama fedha.
7. Mafanikio ya uponyaji.
TIBA YA UCHOVU
1. Jifunze kuweka mipaka.
● Jifunze kuwa na hisia za uchechi-uwe rahisi na unaye weza kukalibiwa kirahisi. Tengeneza mtandao usiwe mpweke, gawa majukumu kwa wegine. Unapokuwa peke yako kimbia kwa kasi lakini kwa muda mfupi.mnapokuwa wengi kimbia taratibu lakini kwa muda mrefu..
2. Uwe na shughuli nyingine mbali na shughuli za kanisa,kama vile michezo,matembezi.
3. Wakati wote tunza akilini mwako lengo yako.
4. Jifunze kuthamini kudhihirisha hisia hasi zako.
5. Hudhuria semina mahali kwingine,katika makanisa mengine na maeneo mengine.
6. Tengeneza tabia ya kupumzika –chukua siku moja kupumzika katika wiki na chukua likizo ndefu.
7. Chukua tabia ya afya njema:kula vizuri,fanya mazoezi,lala vizuri.
JINSI YA KUZIMA HALI YA KUCHOKA
1. Shughulikia mfadhaiko wako kwa kufanya mazoezi ya viungo
● Tumia mazoezi rahisi.
● Andiko maneno rahisi hewani kama vile Jina lako n.k. kwa kutumia mwili waka au mwenendo wa kichwa.
● Chukua siku moja ya kupumzika.
2. Tawala muda wako.-usihairishe mambo,uwe na orodha ya mambo ya kufanya.
3. Gawa majukumu,epuka kujitegemea mwenyewe.
4. Pata uwajibikaji-mthibitishe mtu unayemwamini.
5. Fanyaia kazi nidhamu za kiroho kama vile Maombi,Kusoma Biblia,kufunga,n.k..
tiba ya uchovu ya Huduma
1. Badilisha Eneo,toka nje ya eneo na mazingira yako ya huduma
2. Badilisha shughuli-pumzika
3. Badilisha Muda
4. Badilisha Vipaumbele vyako
· Wewe na Mungu-maisha yako binafsi ya Kiroho
· Wewe na Mke wako-maisha yako ya ndoa,hakuna ndoa ,hakuna huduma yako.
· Wewe na watoto wako-familia –Kanisa huanza nyumbani
· Wewe na Huduma.
· Wewe na watu wengine
Dumu katika neno La Mungu
2. Badilisha shughuli-pumzika
3. Badilisha Muda
4. Badilisha Vipaumbele vyako
· Wewe na Mungu-maisha yako binafsi ya Kiroho
· Wewe na Mke wako-maisha yako ya ndoa,hakuna ndoa ,hakuna huduma yako.
· Wewe na watoto wako-familia –Kanisa huanza nyumbani
· Wewe na Huduma.
· Wewe na watu wengine
Dumu katika neno La Mungu
Sababu za Mtumishi kuvunjika moyo katika huduma
. DALILI AU ALAMA ZA KUCHOKA KATIKA HUDUMA YAKO
Kuna aina mbili za dalili za kuchoka –dalili za ndani na dalili za nje
. DALILI ZA NJE NI PAMOJA NA MAMBO YA FUATAYO
· Kuongezeka kwa shughuli lakini uzalishaji/ufanisi unabaki uleule, ambao unaitwa uwendawazimu insanity-kufanya jambo lilelile kwa muda mrefu na kupata matokeo yale yale. Kuwa na shughuli nyingi si Kiroho.Kimsingi unapaswa kutumia nguvu kidogo tu na kuwa na matokeo makubwa-maarifa ni ya muhimu zaidi ya nguvu na bidii nyingi.
Kuchoka kimwili,kuishiwa nguvu-kuchoka mfululizo ni dalili ya Burn-out,kujiona hupendi kufanya jambo lolote lile.Kupenda kulala tu,kuona kero kuamka hasa alfajiri.
Kutokuwa tayari kujihatarisha au kuthubutu-kukwepa changamoto katika huduma,kukwepa watu na marafiki,kupoteza imani juu yako mwenyewe na kupoteza uwezo wa kukamilisha mambo.
· Kukwazika kirahisi/kukasirishwa na mambo na watu ,hata Mungu mwenyewe kirahisi- Musa na Yeremia ni mfano mzuri –Hesabu 11:11 Yeremiah 20:7,
Kukosa usingizi ,kupoteza hamu ya kula,Kuwa na mawazo mengi,kupenda kuwa pekee yako , “kujificha katika upweke”
Kupooza /stroke,shinikizo la moyo,kipanda uso,kichwa kuuma mara kwa mara
Matatizo ya kuyeyusha chakula,matatizo katika utumbo mkubwa (coronary problem),vidonda ya tumbo/ulcers.
. DALILI ZA NDANI NI PAMOJA NA MAMBO YAFUATAYO:
Kupoteza ujasiri
Kupoteza kujiamini na uthamani wako binafsi
· Kuwa na mtazamo hasi
Kupoteza makusudi- kumwona Mungu ni chanzo cha kushindwa kwako,kujikasirikia mwenyewe kwa kushindwa kufikia malengo
Kuchoka kihisia,depression,mkandamizo
Hatia ya kujiona hufanyi vya kutosha,huna matokeo ya kutosha, na kufikiri pengine ukiongeza bidii nyingi ndipo utaona matokeo,kwa wengine hupelekea kufunga sana mfululizo kuomba sana,kukesha sana,wakifikiri kwa kufanya hivyo kutakuwa na matokeo kinyume chake,hupelekea uchovu zaidi na hakuna matokeo.
Martha complex-kuwa na shughuli nyingi sana na kukosa muda binafsi wa Mungu kukuhudumia
. Kuanza kuwadharau watu ulioitwa kuwapenda na kuwahudumia
. Unaanza kurushu mawazo yako kuchukuliwa na mambo mengine ambayo ungeweza kuyafanya zaidi yakufanya huduma .
. Unajihisi ni kama “mashine ya huduma” hivyo unafanya yale ufanyayo ukiwa na hatia ya kwamba ni Lazima uyafanye badala ya kutenda kwako kutokane na kutembea kwako karibu na Mungu(Mahusiano),kazi ya Bwana Vs Bwana wa Kazi.Juhudi vs Ufanisi.
. Unaanza kufanya maaumzi kulingana na nini ni rahisi kuliko vile unavyojua ndivyo Mungu anakutaka ufanye.
. Unazidi kuwa mkosoaji na kupita kiasi juu ya makanisa,watu,na huduma za watu wengine ambazo unafikiri Mungu anazibariki kuliko huduma yako na wewe
. Hukumbuki lini mara ya mwisho ulifungua Biblia kwaajili kwaajili ya ushirika wako binafsi na Mungu,bali ni kwaajili ya kutafuta Mahubiri na Masomo ya kufundisha Biblia
. Unaanza kuwaona watendakazi wanaotumika pamoja na wewe kama watumishi wako badala yakuwaona kama ni watumishi wa Mungu.
Unatumia kugawa majukumu kama udhuru ya kuwa mvivu,una kwepa majukumu kwa kuwagawia wengine wafanye.
. Hukumbuki mara ya mwisho ni lini ulikuwa na mazungumzo na mke wako ambayo haya husiani na mambo ya kanisa
Hukumbuki mara ya mwisho ni lini ulitumia muda na watoto wako na mkafurahia pamoja.
. Unaanza kutilia mashaka nguvu za Mungu ndani yako na ndani ya maisha ya watu wengine.
Kuna aina mbili za dalili za kuchoka –dalili za ndani na dalili za nje
. DALILI ZA NJE NI PAMOJA NA MAMBO YA FUATAYO
· Kuongezeka kwa shughuli lakini uzalishaji/ufanisi unabaki uleule, ambao unaitwa uwendawazimu insanity-kufanya jambo lilelile kwa muda mrefu na kupata matokeo yale yale. Kuwa na shughuli nyingi si Kiroho.Kimsingi unapaswa kutumia nguvu kidogo tu na kuwa na matokeo makubwa-maarifa ni ya muhimu zaidi ya nguvu na bidii nyingi.
Kuchoka kimwili,kuishiwa nguvu-kuchoka mfululizo ni dalili ya Burn-out,kujiona hupendi kufanya jambo lolote lile.Kupenda kulala tu,kuona kero kuamka hasa alfajiri.
Kutokuwa tayari kujihatarisha au kuthubutu-kukwepa changamoto katika huduma,kukwepa watu na marafiki,kupoteza imani juu yako mwenyewe na kupoteza uwezo wa kukamilisha mambo.
· Kukwazika kirahisi/kukasirishwa na mambo na watu ,hata Mungu mwenyewe kirahisi- Musa na Yeremia ni mfano mzuri –Hesabu 11:11 Yeremiah 20:7,
Kukosa usingizi ,kupoteza hamu ya kula,Kuwa na mawazo mengi,kupenda kuwa pekee yako , “kujificha katika upweke”
Kupooza /stroke,shinikizo la moyo,kipanda uso,kichwa kuuma mara kwa mara
Matatizo ya kuyeyusha chakula,matatizo katika utumbo mkubwa (coronary problem),vidonda ya tumbo/ulcers.
. DALILI ZA NDANI NI PAMOJA NA MAMBO YAFUATAYO:
Kupoteza ujasiri
Kupoteza kujiamini na uthamani wako binafsi
· Kuwa na mtazamo hasi
Kupoteza makusudi- kumwona Mungu ni chanzo cha kushindwa kwako,kujikasirikia mwenyewe kwa kushindwa kufikia malengo
Kuchoka kihisia,depression,mkandamizo
Hatia ya kujiona hufanyi vya kutosha,huna matokeo ya kutosha, na kufikiri pengine ukiongeza bidii nyingi ndipo utaona matokeo,kwa wengine hupelekea kufunga sana mfululizo kuomba sana,kukesha sana,wakifikiri kwa kufanya hivyo kutakuwa na matokeo kinyume chake,hupelekea uchovu zaidi na hakuna matokeo.
Martha complex-kuwa na shughuli nyingi sana na kukosa muda binafsi wa Mungu kukuhudumia
. Kuanza kuwadharau watu ulioitwa kuwapenda na kuwahudumia
. Unaanza kurushu mawazo yako kuchukuliwa na mambo mengine ambayo ungeweza kuyafanya zaidi yakufanya huduma .
. Unajihisi ni kama “mashine ya huduma” hivyo unafanya yale ufanyayo ukiwa na hatia ya kwamba ni Lazima uyafanye badala ya kutenda kwako kutokane na kutembea kwako karibu na Mungu(Mahusiano),kazi ya Bwana Vs Bwana wa Kazi.Juhudi vs Ufanisi.
. Unaanza kufanya maaumzi kulingana na nini ni rahisi kuliko vile unavyojua ndivyo Mungu anakutaka ufanye.
. Unazidi kuwa mkosoaji na kupita kiasi juu ya makanisa,watu,na huduma za watu wengine ambazo unafikiri Mungu anazibariki kuliko huduma yako na wewe
. Hukumbuki lini mara ya mwisho ulifungua Biblia kwaajili kwaajili ya ushirika wako binafsi na Mungu,bali ni kwaajili ya kutafuta Mahubiri na Masomo ya kufundisha Biblia
. Unaanza kuwaona watendakazi wanaotumika pamoja na wewe kama watumishi wako badala yakuwaona kama ni watumishi wa Mungu.
Unatumia kugawa majukumu kama udhuru ya kuwa mvivu,una kwepa majukumu kwa kuwagawia wengine wafanye.
. Hukumbuki mara ya mwisho ni lini ulikuwa na mazungumzo na mke wako ambayo haya husiani na mambo ya kanisa
Hukumbuki mara ya mwisho ni lini ulitumia muda na watoto wako na mkafurahia pamoja.
. Unaanza kutilia mashaka nguvu za Mungu ndani yako na ndani ya maisha ya watu wengine.
Subscribe to:
Comments (Atom)