KWA NINI UOKOKE?

TUMEOKOLEWA KUTOKA KATIKA DUNIA YA UOVU (DHAMBI)


“Neema na iwe kwenu, na amani, zitokazo kwa Mungu Baba, na Bwana wetu Yesu Kristo; ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili ya dhambi zetu, ili atuokoe na dunia hii mbovu, iliyopo sasa. Gal 1:3-4

“Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. Nilipokuwapo pamoja nao,

mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmoja wapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie. Na sasa naja kwako; ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao. Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu umechukia; kwa kuwa wao si waulimwengu, kama mimi nisivyo na ulimwengu. Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; basi uwalinde na yule muovu. Wao sio wa ulimwengu, kama mimi nisivyo waulimwengu. Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndio kweli kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami hivyohivyo naliwatuma hao ulimwenguni. Na kwa ajili yao najiweka wakfu mwenyewe, ili na hao watakaswe katika kweli”. Yoh 17:11-19 (14-16)

Yoh 8:21-24 (23); 1Kor 5:9-11; Rum 12:1-2

Blog Archive

Followers