UNATAKA KUOKOKA CHAGUA HAPA!!,,,
SALA YA TOBA:
SEMA SALA HII KAMA UMEMAANISHA UNATAKA KUOKOKA,
Ee Mungu wangu Mtakatifu. Nimesikia neno lako nami nimeamini. Naomba unisamehe dhambi zangu zote nilizokukosea katika maisha yangu yote. Damu ya Yesu Kristo iliyomwagika kwa ajili yangu, naomba initakase sasa katika roho yangu, nafsi yangu na mwili wangu. Nimefungua moyo wangu sasa; Ee Bwana Yesu Kristo nakuomba uingie ndani yangu, uwe Bwana na Mwokozi wangu kuanzia sasa na siku zote. Ahsante kwa kunisamehe dhambi zangu na Ahsante kwa kuniokoa. Amina”
Ikiwa umeisema sala hii kwa imani, basi sasa wewe umeokoka na dhambi zako zimesamehewa na kusahauliwa na Mungu sawasawa na alivyoandika katika neno lake. Jina la Yesu Kristo ni halali yako kulitumia! Kama mtu hajakombolewa akitumia jina la Yesu ni ubatili,
Ndugu Mtazamaji/ MSOMAJI; Bila shaka unampenda Mungu Sana tunaamini hivyo Kwa vile ulivyoweza kufika mahali hapa tulipo kupitia Mtandao huu, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-Mungu Mathayo 16:6-12) piga simu kwa masaada zaidi huduma hii ni bure 0757328311
KUOKOKA NI NINI?
Hakuna wokovu katika mwingine:
“kuokoka maana yake halisi kwanza ninapenda ufahamu siyo Dini wala thehebu fulani,bali kuokoka ni kuokolewa kutoka katika hatari,sasa mtu anapookolewa kutoka katika hatari ya kwenda jehanamu kwaajili ya maovu akipata neema ya uokovu huo akatubu thambi zake zote na kuziacha basi huyo anaweza kusema ameokoka,ndiyo maana wengi unaowasikia kuwa wameokoka,kwanza wanakuwa na furaha sana,kwa kunusurika na jehanamu,
pia fahamu hili hapa duniani kuokoka kupo acha wale walioshindwa kuelewa,na anayeweza kuokowa ni mmoja tu, hayupo mwingine,awe ni kiongozi wako wa thehebu au mtume,nabii hayopo mwenye uwezo wakuokowa,wala jina lenye nguvu na mamlaka zaidi ya moja tu
Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo” (Matendo ya Mitume 4:12).
“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao” (Mathayo 1:21).
“Bali wote waliompokea (Yesu Kristo) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake, waliozaliwa si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu” (Yohana 1:12 – 13)
“Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani, maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao; kwa kuwa, kila atakayeliitia jina la Bwana (Yesu Kristo) ataokoka” (Warumi 10:12 – 13). Hivyo kwa siku za leo tungesema hakunatofauti ya mchaga na msukuma au nakabila lolote huu ni mfano tu,wote wanahitajika kuokolewa na mmoja tu Yesu kristo mwana wa Mungu,
Delete Cancel
“kuokoka maana yake halisi kwanza ninapenda ufahamu siyo Dini wala thehebu fulani,bali kuokoka ni kuokolewa kutoka katika hatari,sasa mtu anapookolewa kutoka katika hatari ya kwenda jehanamu kwaajili ya maovu akipata neema ya uokovu huo akatubu thambi zake zote na kuziacha basi huyo anaweza kusema ameokoka,ndiyo maana wengi unaowasikia kuwa wameokoka,kwanza wanakuwa na furaha sana,kwa kunusurika na jehanamu,
pia fahamu hili hapa duniani kuokoka kupo acha wale walioshindwa kuelewa,na anayeweza kuokowa ni mmoja tu, hayupo mwingine,awe ni kiongozi wako wa thehebu au mtume,nabii hayopo mwenye uwezo wakuokowa,wala jina lenye nguvu na mamlaka zaidi ya moja tu
Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo” (Matendo ya Mitume 4:12).
“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao” (Mathayo 1:21).
“Bali wote waliompokea (Yesu Kristo) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake, waliozaliwa si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu” (Yohana 1:12 – 13)
“Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani, maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao; kwa kuwa, kila atakayeliitia jina la Bwana (Yesu Kristo) ataokoka” (Warumi 10:12 – 13). Hivyo kwa siku za leo tungesema hakunatofauti ya mchaga na msukuma au nakabila lolote huu ni mfano tu,wote wanahitajika kuokolewa na mmoja tu Yesu kristo mwana wa Mungu,
Delete Cancel
NI HATUWA YA PILI TU,
Matendo peke yake hayatoshi kukupa ufalme wa Mungu Japo wengi wetu na hata wengine wamekuwa wakiimba namna matendo yanavyo hitajika. hata mimi sipingi juu ya hilo,ila matendo ni kwaajili ya wanadamu,
yeye Mungu anauangalia moyo wako kwamba umemaanisha kiasi gani,kama ni matendo kuna wazoefu wa kuigiza utakatifu,ingekuwa ni kirahisi hivyo,kila mmoja angeweza kuigiza matendo mema,ili arithi ufalme wa Mungu maana tunapo zungumuzia ufalme wa Mungu tunaongelea maisha ya Baadaye ya ahadi kwetu
Kuna watu wengi sana ambao ni waaminifu sana katika kusali na kumtolea Mungu sadaka, lakini hawakubaliani na jambo kuokoka. Wanaona kuwa wao tayari wameokoka kwa sababu tu wanasali, wanatoa sadaka na kujitahidi kuishi katika matendo mema. Hebu soma maneno ya mistari hii uone yanavyopingana na msimamo huu; “Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; WALA SI KWA MATENDO, mtu awaye yote asije akajisifu” (Waefeso 2:8,9) Tunaokoka kwa njia ya imani itendayo kazi katika Yesu Kristo, “Wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu”. Matendo yana faida zaidi kwa mtu baada ya kuokoka. Na pia imani bila matendo, imani hiyo imekufa nafsini mwake. Biblia inasema hivi: “Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! ile imani yaweza kumwokoa?…. Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake. Lakini mtu atasema, wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha IMANI YANGU KWA NJIA YA MATENDO YANGU …….. Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa” kwa mkristo anayemkiri kristo kama Bwana na muokozi wa maisha yake ni vema maisha ya kuigiza tukayaacha na kumaanisha,ni rahisi kwa watu wengi kushuhudia kuwa ameokoka akifikiri anamdanganya mwanadamu,ila yupo mwenye uwezo wa kuichunguza Roho,yako na kwa nafsi au kwa akili ya ki-uwanadamu usijidanganye kuishinda thambi,huna uwezo hata kidogo wa kuishinda thambi yaaina yeyote ile ni rahisi kuwadanganya wanadamu kwakuwa hawaishi na wewe ila hiyo nayo ni hatari maana Mungu anaweza kuyafunuwa maovu yako,ukaaibika hapa Duniani mpaka kule mbinguni, je ungependa kupatana na Mungu wako hivi sasa karibu katika wana wa waflume wa Mungu,,,,,
Tamka maneno haya kwa kinywa chako maana kwa moyo mtu huamini akahesabiwa haki na kwa kinywa mtu hukiri akapata uwokovu" sema Mungu wa nimetambuwa kuwa mimi nilikutenda thambi wewe,hata mara nyingine pasipo kusudia mara nyingi ni mekutenda thambi katika mawazo,na hata katika matendo,Ninakuomba unisamehe na unisafishe kwa kabisa maovu yote niliyokuwa nimeyatenda,ninakiri kutokuyarudia tena,
Ninaamini ya kuwa yesu kristo ni wanawako wa pekee uliyemtuma duniani kuja kutukombowa kwa njia ya msalaba,akasulubiwa pale msalabani,akafa ,akazikwa na siku ya tatu akafufuka toka kwa wafu,na sasa yuko kuume kwa Mungu Baba,nina kuomba bwana uyathibiti maisha yangu tangu sasa,uniongoze jnia ya kwenda Mbinguni, katika jina la Yesu,Amina,
sasa ninaamini mpaka unaitamka sala hii umemaanisha toka moyoni mwako,tayari chukuwa hatuwa nyingine moja ya imani kama ulivyo soma hapo juu kuwa uwokovu tunaupata kwa imani,umeshafanyika mtoto wa Mungu,Hongera sana karibu katika ufalume wa wana wa mungu wanapigambiyo kwaajili ya mbingu,inawezekana ukawa na maswali kuhusiana na uwokovu tafuta kanisa lolote lile linalofundisha na kuukiri uwokovu nenda pale kutana na mtumishi wa Mungu mweleze kuwa umeokoka baada ya kukutana na sala ya toba kwenye webusaiti ya Mtumishi wa Mungu ukaamuwa kumpa Yesu maisha yako atakusaidia sana,kiroho na hata mara nyingine ki -mahitaji ya kawaida,
ukiona vema Basi karibu unaweza kunipigia simu yangu ya mko,au ukaniandikia baruwa pepe kwa kupitia maelezo haya,,,,
samsonoxpel@gmail.com
samson.mboya@geitagold.com
web site http://www.samsonoxpel@blogspot.com/
p.obox 532 Geita gold mine
Cell phone no 0756 809 209
" " 0784 71 36 04
karibu sana ndugu yangu katika Bwana yesu Mungu akubariki sana kwa maamuzi yaliyo mema katika maisha yako,katika hayo mawasiliano kasoro jumapi kwaanzia asubuhi mpaka jioni sipatikani lakini siku za kawaida ninapatikana,karibu sana,
yeye Mungu anauangalia moyo wako kwamba umemaanisha kiasi gani,kama ni matendo kuna wazoefu wa kuigiza utakatifu,ingekuwa ni kirahisi hivyo,kila mmoja angeweza kuigiza matendo mema,ili arithi ufalme wa Mungu maana tunapo zungumuzia ufalme wa Mungu tunaongelea maisha ya Baadaye ya ahadi kwetu
Kuna watu wengi sana ambao ni waaminifu sana katika kusali na kumtolea Mungu sadaka, lakini hawakubaliani na jambo kuokoka. Wanaona kuwa wao tayari wameokoka kwa sababu tu wanasali, wanatoa sadaka na kujitahidi kuishi katika matendo mema. Hebu soma maneno ya mistari hii uone yanavyopingana na msimamo huu; “Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; WALA SI KWA MATENDO, mtu awaye yote asije akajisifu” (Waefeso 2:8,9) Tunaokoka kwa njia ya imani itendayo kazi katika Yesu Kristo, “Wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu”. Matendo yana faida zaidi kwa mtu baada ya kuokoka. Na pia imani bila matendo, imani hiyo imekufa nafsini mwake. Biblia inasema hivi: “Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! ile imani yaweza kumwokoa?…. Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake. Lakini mtu atasema, wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha IMANI YANGU KWA NJIA YA MATENDO YANGU …….. Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa” kwa mkristo anayemkiri kristo kama Bwana na muokozi wa maisha yake ni vema maisha ya kuigiza tukayaacha na kumaanisha,ni rahisi kwa watu wengi kushuhudia kuwa ameokoka akifikiri anamdanganya mwanadamu,ila yupo mwenye uwezo wa kuichunguza Roho,yako na kwa nafsi au kwa akili ya ki-uwanadamu usijidanganye kuishinda thambi,huna uwezo hata kidogo wa kuishinda thambi yaaina yeyote ile ni rahisi kuwadanganya wanadamu kwakuwa hawaishi na wewe ila hiyo nayo ni hatari maana Mungu anaweza kuyafunuwa maovu yako,ukaaibika hapa Duniani mpaka kule mbinguni, je ungependa kupatana na Mungu wako hivi sasa karibu katika wana wa waflume wa Mungu,,,,,
Tamka maneno haya kwa kinywa chako maana kwa moyo mtu huamini akahesabiwa haki na kwa kinywa mtu hukiri akapata uwokovu" sema Mungu wa nimetambuwa kuwa mimi nilikutenda thambi wewe,hata mara nyingine pasipo kusudia mara nyingi ni mekutenda thambi katika mawazo,na hata katika matendo,Ninakuomba unisamehe na unisafishe kwa kabisa maovu yote niliyokuwa nimeyatenda,ninakiri kutokuyarudia tena,
Ninaamini ya kuwa yesu kristo ni wanawako wa pekee uliyemtuma duniani kuja kutukombowa kwa njia ya msalaba,akasulubiwa pale msalabani,akafa ,akazikwa na siku ya tatu akafufuka toka kwa wafu,na sasa yuko kuume kwa Mungu Baba,nina kuomba bwana uyathibiti maisha yangu tangu sasa,uniongoze jnia ya kwenda Mbinguni, katika jina la Yesu,Amina,
sasa ninaamini mpaka unaitamka sala hii umemaanisha toka moyoni mwako,tayari chukuwa hatuwa nyingine moja ya imani kama ulivyo soma hapo juu kuwa uwokovu tunaupata kwa imani,umeshafanyika mtoto wa Mungu,Hongera sana karibu katika ufalume wa wana wa mungu wanapigambiyo kwaajili ya mbingu,inawezekana ukawa na maswali kuhusiana na uwokovu tafuta kanisa lolote lile linalofundisha na kuukiri uwokovu nenda pale kutana na mtumishi wa Mungu mweleze kuwa umeokoka baada ya kukutana na sala ya toba kwenye webusaiti ya Mtumishi wa Mungu ukaamuwa kumpa Yesu maisha yako atakusaidia sana,kiroho na hata mara nyingine ki -mahitaji ya kawaida,
ukiona vema Basi karibu unaweza kunipigia simu yangu ya mko,au ukaniandikia baruwa pepe kwa kupitia maelezo haya,,,,
samsonoxpel@gmail.com
samson.mboya@geitagold.com
web site http://www.samsonoxpel@blogspot.com/
p.obox 532 Geita gold mine
Cell phone no 0756 809 209
" " 0784 71 36 04
karibu sana ndugu yangu katika Bwana yesu Mungu akubariki sana kwa maamuzi yaliyo mema katika maisha yako,katika hayo mawasiliano kasoro jumapi kwaanzia asubuhi mpaka jioni sipatikani lakini siku za kawaida ninapatikana,karibu sana,
JE TAYARI UMEOKOKA?,,
Hujapoteza kitu!
Umefanya uamuzi wa busara kuokoka kwa sababu ndani ya Yesu Kristo hakuna hasara. Wewe uwe mtendaji wa neno lake, na ndipo utakapojua na kuthibitisha ya kuwa kweli kwa Yesu Kristo kuna kila kitu unachokihitaji sasa na cha maisha ya siku zote.
Inawezekana umewahi kusikia watu wakisema mtu anapookoka anafilisika – na inawezekana umewahi kuona watu wengine waliookoka wakiwa na maisha duni. Nataka nikueleze ya kwamba haimo katika mpango wa Mungu kuwafilisi watu wake wanapookoka. Wengi wanakuwa na maisha duni kwa sababu ya kukosa mafundisho sahihi ya neno la Mungu baada ya kuokoka! Wanaangamia kwa kukosa maarifa ya neno la Mungu.
Ukichukua biblia yako na kusoma kitabu cha 2Wakorintho 8:9 utaona wazi wazi ya kuwa kati ya mambo aliyoyafanya Yesu msalabani alipokufa kwa ajili yetu – ni kuuchukua umaskini wetu ili tupate kupokea utajiri wake.
Ndiyo sababu Yesu Kristo aliwahi kuwaambia wanafunzi wake (ambao ni pamoja na wewe sasa kwa kuwa umeokoka) ya kwamba:
“ Hakuna mtu aliyeacha nyumba, au ndugu waume, au ndugu wake, au mama, au baba, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Injili, ila atapewa mara mia sasa wakati huu, nyumba, na ndugu waume, na ndugu wake, na mama, na watoto, na mashamba, pamoja na udhia; na katika ulimwengu ujao uzima wa milele” (Marko 10:29,30).
Haya ni maneno ya Yesu Kristo mwenyewe, na Roho Mtakatifu anakuletea maneno haya ndani ya moyo wako kukuondoa wasiwasi. Umeamua kuokoka – umeamua kupokea baraka kuanzia sasa.
Nataka nizidi kukutia moyo ya kuwa umefanya uamuzi wa busara kwa kuokoka. Maana umechagua baraka umeikataa laana; umechagua Uzima, umeikataa mauti; Umechagua Nuru, Umeikataa giza; Umemchagua Yesu, umemkataa shetani;Umechagua kwenda mbinguni, umekataa kwenda jehanamu!
Hata kufahamu ya kuwa ulipookoka umefanya uamuzi wa busara – ni baraka ya pekee pia! Au wewe unasemaje? – ni kweli au uongo? JIBU ni kweli maana umeamuwa wewe mwenyewe hukuamuliwa,
Kumbuka unapookoka unampokea Yesu Kristo moyoni mwako ambaye ndiye KWELI kwa hiyo nakushauri kataa uongo unaotaka kukurudisha nyuma kiroho. Umeamua kuokoka – umeamua kwa busara na uwe ni uamuzi wa kudumu!
Umefanya uamuzi wa busara kuokoka kwa sababu ndani ya Yesu Kristo hakuna hasara. Wewe uwe mtendaji wa neno lake, na ndipo utakapojua na kuthibitisha ya kuwa kweli kwa Yesu Kristo kuna kila kitu unachokihitaji sasa na cha maisha ya siku zote.
Inawezekana umewahi kusikia watu wakisema mtu anapookoka anafilisika – na inawezekana umewahi kuona watu wengine waliookoka wakiwa na maisha duni. Nataka nikueleze ya kwamba haimo katika mpango wa Mungu kuwafilisi watu wake wanapookoka. Wengi wanakuwa na maisha duni kwa sababu ya kukosa mafundisho sahihi ya neno la Mungu baada ya kuokoka! Wanaangamia kwa kukosa maarifa ya neno la Mungu.
Ukichukua biblia yako na kusoma kitabu cha 2Wakorintho 8:9 utaona wazi wazi ya kuwa kati ya mambo aliyoyafanya Yesu msalabani alipokufa kwa ajili yetu – ni kuuchukua umaskini wetu ili tupate kupokea utajiri wake.
Ndiyo sababu Yesu Kristo aliwahi kuwaambia wanafunzi wake (ambao ni pamoja na wewe sasa kwa kuwa umeokoka) ya kwamba:
“ Hakuna mtu aliyeacha nyumba, au ndugu waume, au ndugu wake, au mama, au baba, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Injili, ila atapewa mara mia sasa wakati huu, nyumba, na ndugu waume, na ndugu wake, na mama, na watoto, na mashamba, pamoja na udhia; na katika ulimwengu ujao uzima wa milele” (Marko 10:29,30).
Haya ni maneno ya Yesu Kristo mwenyewe, na Roho Mtakatifu anakuletea maneno haya ndani ya moyo wako kukuondoa wasiwasi. Umeamua kuokoka – umeamua kupokea baraka kuanzia sasa.
Nataka nizidi kukutia moyo ya kuwa umefanya uamuzi wa busara kwa kuokoka. Maana umechagua baraka umeikataa laana; umechagua Uzima, umeikataa mauti; Umechagua Nuru, Umeikataa giza; Umemchagua Yesu, umemkataa shetani;Umechagua kwenda mbinguni, umekataa kwenda jehanamu!
Hata kufahamu ya kuwa ulipookoka umefanya uamuzi wa busara – ni baraka ya pekee pia! Au wewe unasemaje? – ni kweli au uongo? JIBU ni kweli maana umeamuwa wewe mwenyewe hukuamuliwa,
Kumbuka unapookoka unampokea Yesu Kristo moyoni mwako ambaye ndiye KWELI kwa hiyo nakushauri kataa uongo unaotaka kukurudisha nyuma kiroho. Umeamua kuokoka – umeamua kwa busara na uwe ni uamuzi wa kudumu!
UMEJIPANGA VIPI KUOA AU KUOLEWA?
muda gani ambao ungetaka kuoa au kuolewa?
Utasikia mwingine anasema, siku Mungu atakapo nipa mume au mke, hii ni hatari sana! Biblia inasema kwenye kile kitabu cha Mhubiri.3:1 “Kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu”.
Kila kitu kilichoko chini ya mbingu kimeratibiwa, kwa lugha nyingine, ni kwamba kila mwanadamu ana kalenda yake, iko kalenda yako ya kuzaliwa, na ipo kalenda ya matukio na mipango mbalimbali. Mungu anaijua. Mungu anatangaza mwisho tangu mwanzo, anajua mwisho wa maisha yako wakati wewe unapozaliwa.
Katika mwanzo wa maisha yako, Mungu anakuwa amekwishajua mwisho wako; utakavyokuwa; na kama amekwishajua mwisho wako, maana yake ameshatembea kwenye maisha yako yote toka mwanzo mpaka alipofika mwisho, na alipokamilisha maisha yako akarudi mwanzo ndipo akakuongoza kuzaliwa.
Mungu anapokuacha uzaliwe duniani, hakika ujue kabisa ya kwamba amekwisha tembea na wewe katika maisha yako, amesharatibu mambo yako na yako hatua kwa hatua; kwa mfano, kitu gani utafanya, wapi utasoma, utasoma nini, utaolewa na nani au utaoa nani na itakuwa, lini, maisha yako yatakuwaje, utamtumikiaje, mpaka mwisho wako. Akiishafika mwisho wa maisha yako anarudi mwanzo, akishafika mwanzo anatangaza mwisho tangu mwanzo; kwa hiyo kuanzia hapo unapozaliwa ujue maisha yako yote yamesharatibiwa!
Ni vizuri ufahamu hii mistari itakusaidia, maana inakujengea msingi mzuri wa maisha hapa. Isaya.46:9-10 inasema, “Kumbukeni mambo ya zamani za kale maana mimi ni Mungu wala hapana mwingine, mimi ni Mungu wala hapana aliye kama mimi. Nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado, nikisema, shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote”.
Kwa lugha nyingine anatuambia ya kwamba, ‘wewe unaona kila kitu ni kipya, unapoishi kila siku ni mpya, kila dakika inayokuja ni mpya, Mungu anasema hiyo safari unayopita, mimi nilikwishaipita tayari, nikafika mwisho wa maisha yako ndipo nikakuruhusu uzaliwe. Ulipokuwa unazaliwa nikatangaza mwisho wako tangu wakati unazaliwa.
Sasa mimi ninataka nikuambie kama Mungu anajua, na shauri lake anasema litasimama katika maisha yako, ili mapenzi yake ayatende katika maisha yako, unahitaji kuwa mwangalifu. Kwa sababu kuna mpango na saa ya Mungu ya kuoa au kuolewa, - ipo!
Mungu anapokuletea mawazo ya kuoa au kuolewa, ni kwa ajili yakuimarisha maisha yako na wito wako na kazi na makusudi, ambayo ameyaweka hapa duniani. Atakuletea mtu atakaye imarisha wito wako, atakuletea mtu atakaye saidiana na wewe, uwe ni mwanamke au uwe ni mwanaume.
Mungu anapo kukutanisha na mtu wa kuoana naye ni kwa ajili ya kuimarisha nguvu zenu ili mtimize kusudi la Mungu wakati mwingine unaweza kuchelewa kuowa au kuolewa kwasababu yakutokuwa na kazi ya Mungu ya kufanya hapa duniani kwasababu ataimarishaje nguvu ambazo hazitatumika? Kwa hiyo wakati mwingine usilalamike kutooa au kuolewa ipo sababu nzuri tu anayoifahamu Mungu na si mwanadamu awae. Kwa hiyo lazima anajua kuna saa huyu mvulana anahitaji mke, au huyu msichana anahitaji mume! Lakini watu wengi sana hawalifuatilii hili. Kunakuja kuwa na watoto
Maana watoto wakiwa wadogo wote, mimi ninakuambia kumtumikia Mungu ni kuna kuwa kugumu sana, usije ukafikiri ni kurahisi. Maana unahitaji kuwa karibu nao; wanahitaji kusoma shule, wanahitaji kufanya vitu mbalimbali, wanahitaji kuwa na baba karibu, wanahitaji kuwa na mama karibu. Saa nyingine mnataka kusafiri nao; unaweza ukasafiri nao lakini usije ukafikiri ni kitu kirahisi sana ila kwa wale ambao hawajaujuwa wito wao wanaweza hata kupuuzia haya yote,
Utasikia mwingine anasema, siku Mungu atakapo nipa mume au mke, hii ni hatari sana! Biblia inasema kwenye kile kitabu cha Mhubiri.3:1 “Kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu”.
Kila kitu kilichoko chini ya mbingu kimeratibiwa, kwa lugha nyingine, ni kwamba kila mwanadamu ana kalenda yake, iko kalenda yako ya kuzaliwa, na ipo kalenda ya matukio na mipango mbalimbali. Mungu anaijua. Mungu anatangaza mwisho tangu mwanzo, anajua mwisho wa maisha yako wakati wewe unapozaliwa.
Katika mwanzo wa maisha yako, Mungu anakuwa amekwishajua mwisho wako; utakavyokuwa; na kama amekwishajua mwisho wako, maana yake ameshatembea kwenye maisha yako yote toka mwanzo mpaka alipofika mwisho, na alipokamilisha maisha yako akarudi mwanzo ndipo akakuongoza kuzaliwa.
Mungu anapokuacha uzaliwe duniani, hakika ujue kabisa ya kwamba amekwisha tembea na wewe katika maisha yako, amesharatibu mambo yako na yako hatua kwa hatua; kwa mfano, kitu gani utafanya, wapi utasoma, utasoma nini, utaolewa na nani au utaoa nani na itakuwa, lini, maisha yako yatakuwaje, utamtumikiaje, mpaka mwisho wako. Akiishafika mwisho wa maisha yako anarudi mwanzo, akishafika mwanzo anatangaza mwisho tangu mwanzo; kwa hiyo kuanzia hapo unapozaliwa ujue maisha yako yote yamesharatibiwa!
Ni vizuri ufahamu hii mistari itakusaidia, maana inakujengea msingi mzuri wa maisha hapa. Isaya.46:9-10 inasema, “Kumbukeni mambo ya zamani za kale maana mimi ni Mungu wala hapana mwingine, mimi ni Mungu wala hapana aliye kama mimi. Nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado, nikisema, shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote”.
Kwa lugha nyingine anatuambia ya kwamba, ‘wewe unaona kila kitu ni kipya, unapoishi kila siku ni mpya, kila dakika inayokuja ni mpya, Mungu anasema hiyo safari unayopita, mimi nilikwishaipita tayari, nikafika mwisho wa maisha yako ndipo nikakuruhusu uzaliwe. Ulipokuwa unazaliwa nikatangaza mwisho wako tangu wakati unazaliwa.
Sasa mimi ninataka nikuambie kama Mungu anajua, na shauri lake anasema litasimama katika maisha yako, ili mapenzi yake ayatende katika maisha yako, unahitaji kuwa mwangalifu. Kwa sababu kuna mpango na saa ya Mungu ya kuoa au kuolewa, - ipo!
Mungu anapokuletea mawazo ya kuoa au kuolewa, ni kwa ajili yakuimarisha maisha yako na wito wako na kazi na makusudi, ambayo ameyaweka hapa duniani. Atakuletea mtu atakaye imarisha wito wako, atakuletea mtu atakaye saidiana na wewe, uwe ni mwanamke au uwe ni mwanaume.
Mungu anapo kukutanisha na mtu wa kuoana naye ni kwa ajili ya kuimarisha nguvu zenu ili mtimize kusudi la Mungu wakati mwingine unaweza kuchelewa kuowa au kuolewa kwasababu yakutokuwa na kazi ya Mungu ya kufanya hapa duniani kwasababu ataimarishaje nguvu ambazo hazitatumika? Kwa hiyo wakati mwingine usilalamike kutooa au kuolewa ipo sababu nzuri tu anayoifahamu Mungu na si mwanadamu awae. Kwa hiyo lazima anajua kuna saa huyu mvulana anahitaji mke, au huyu msichana anahitaji mume! Lakini watu wengi sana hawalifuatilii hili. Kunakuja kuwa na watoto
Maana watoto wakiwa wadogo wote, mimi ninakuambia kumtumikia Mungu ni kuna kuwa kugumu sana, usije ukafikiri ni kurahisi. Maana unahitaji kuwa karibu nao; wanahitaji kusoma shule, wanahitaji kufanya vitu mbalimbali, wanahitaji kuwa na baba karibu, wanahitaji kuwa na mama karibu. Saa nyingine mnataka kusafiri nao; unaweza ukasafiri nao lakini usije ukafikiri ni kitu kirahisi sana ila kwa wale ambao hawajaujuwa wito wao wanaweza hata kupuuzia haya yote,
JE ! UKO TAYARI KUOLEWE AU KUOWA:
NIVEMA UKAJIFUNZA MASOMO HAYA KABILA YA MALALAMIKO YA MAAMUZI YAKO:
Ni swali muhimu sana lakujiuliza wewe mwenyewe, uko tayari, maana yake umefika mahali hali yako ya ndani na nje, inakuruhusu kuoa au kuolewa? Uko tayari kuoa au kuolewa? Umefika mahali pa namna hiyo?. Wengine wanasema huyu ni mtoto, lakini unajua pamoja na kwamba ni mtoto, ni vizuri kujua kama uko tayari kiumri. Lakini ninapozungumzia hapa juu ya utayari wa kuoa au kuolewa, sizungumzii tu habari za miaka, bali ninazungumzia habari za hali yako ya ndani.
Nimeona kuna mtu mwingine ana miaka arobaini, lakini kwa kweli hayuko tayari kukaa na mwanamke, ndani yake, mawazo yake na kufikiri kwake, hayuko tayari kukaa na mwanamke, hawajibiki hata yeye mwenyewe juu yake mwenyewe. Wengine hata wana miaka hamsini, lakini ana hali kama hii. Nimeona akinadada hata wana miaka arobaini na tano, hayuko tayari kuolewa, maana akiolewa ni shida tu.
Nilienda mahali fulani, nikakuta dada ana umri mkubwa tu, lakini wakati wa maombi hakusema kama anataka tuombe ili aolewe. Nikaona ngoja nimuulize labda anaona aibu kusema hitaji hili kwa sababu umri umesogea, nikamwambia “hutaki tuombe uolewe”? Akasema, “hapana, sitaki kuolewa” (Na alikuwa ana umri wa miaka kama arobaini na zaidi). Nikamuuliza, “kwa nini”. Akasema, “kwa sababu sitaki kuomba ruhusa kwa mwanaume ninapotaka kutumika”. Nikamuuliza unafanya kazi, akasema, “ndio”.
Nikamwambia, “unapokwenda kumtumikia Mungu huwa unafanyaje, - unaomba ruhusa au unatoroka huko kazini?” Akasema, “ninaomba ruhusa”. Nikwamwambia, “kwa nini unaona ni rahisi kuomba ruhusa kwa mwajiri wako na unaona taabu kuomba ruhusa kwa mume wako?” Alishindwa kujibu hilo swali. Nikamwambia tatizo lako ni kubwa kuliko unavyo fikiri.
Unaweza ukaona kabisa ya kwamba, huyu mtu hayuko tayari kuolewa, wala msijaribu kumlazimisha aoelewe – pamoja na kwamba umri wake ni mkubwa. Usijaribu kumsukuma kwenye maamuzi ya kuolewa maana hayuko tayari kuolewa, akiingia kwenye ndoa atakwenda kuleta shida tu,
Mwingine unakuta ni msichana, wazazi wake ndio wanamtegemea karibu katika kila kitu. Mimi ninakuambia kabla hujafikiria kuoa au kuolewa, fikiria hilo swali. Kwa sababu ukiishaolewa tu biblia inakuambia wasahau watu wa nyumbani mwa wazazi wako (Zaburi 45:10). Sasa haimaanishi usiwasaidie, ila maana yake ni kwamba huwezi ukawasaidia tena ‘moja kwa moja’ kama ulivyokuwa unawasaidia zamani. Ni vitu lazima ujadiliane na mume wako juu ya kuwasaidia wazazi wenu wa pande zote mbili – maana mna mipango yenu sasa.
Na inawezekana labda umeoa au umeolewa kwa kijana ambaye hana mzigo na wazazi wake kabisa, kila mtu anaishi kivyake vyake kama simba porini, suala la kusaidia wazazi hana ndani ya moyo wake. Wewe umekuwa na huo mzigo, wazazi wako wamekulea, umefika mahali umeanza kazi, sasa na wewe unawatunza hatua kwa hatua, siku unaolewa yule baba anasema basi usiwatunze tena, - fikiri hilo.
Litakuwa linakuumiza kila siku jinsi wazazi wako wanavyopata shida. Utafika mahali utakuwa unachukua vitu kisiri siri unapeleka kwa wazazi, na hiyo ina shida yake pia. Kwa hiyo kabla hujakubali kusema mimi nataka kuolewa, fikiri kwanza na kuomba, maana ndoa inakwenda kukubadilishia mambo yako mengi.
Ni swali muhimu sana lakujiuliza wewe mwenyewe, uko tayari, maana yake umefika mahali hali yako ya ndani na nje, inakuruhusu kuoa au kuolewa? Uko tayari kuoa au kuolewa? Umefika mahali pa namna hiyo?. Wengine wanasema huyu ni mtoto, lakini unajua pamoja na kwamba ni mtoto, ni vizuri kujua kama uko tayari kiumri. Lakini ninapozungumzia hapa juu ya utayari wa kuoa au kuolewa, sizungumzii tu habari za miaka, bali ninazungumzia habari za hali yako ya ndani.
Nimeona kuna mtu mwingine ana miaka arobaini, lakini kwa kweli hayuko tayari kukaa na mwanamke, ndani yake, mawazo yake na kufikiri kwake, hayuko tayari kukaa na mwanamke, hawajibiki hata yeye mwenyewe juu yake mwenyewe. Wengine hata wana miaka hamsini, lakini ana hali kama hii. Nimeona akinadada hata wana miaka arobaini na tano, hayuko tayari kuolewa, maana akiolewa ni shida tu.
Nilienda mahali fulani, nikakuta dada ana umri mkubwa tu, lakini wakati wa maombi hakusema kama anataka tuombe ili aolewe. Nikaona ngoja nimuulize labda anaona aibu kusema hitaji hili kwa sababu umri umesogea, nikamwambia “hutaki tuombe uolewe”? Akasema, “hapana, sitaki kuolewa” (Na alikuwa ana umri wa miaka kama arobaini na zaidi). Nikamuuliza, “kwa nini”. Akasema, “kwa sababu sitaki kuomba ruhusa kwa mwanaume ninapotaka kutumika”. Nikamuuliza unafanya kazi, akasema, “ndio”.
Nikamwambia, “unapokwenda kumtumikia Mungu huwa unafanyaje, - unaomba ruhusa au unatoroka huko kazini?” Akasema, “ninaomba ruhusa”. Nikwamwambia, “kwa nini unaona ni rahisi kuomba ruhusa kwa mwajiri wako na unaona taabu kuomba ruhusa kwa mume wako?” Alishindwa kujibu hilo swali. Nikamwambia tatizo lako ni kubwa kuliko unavyo fikiri.
Unaweza ukaona kabisa ya kwamba, huyu mtu hayuko tayari kuolewa, wala msijaribu kumlazimisha aoelewe – pamoja na kwamba umri wake ni mkubwa. Usijaribu kumsukuma kwenye maamuzi ya kuolewa maana hayuko tayari kuolewa, akiingia kwenye ndoa atakwenda kuleta shida tu,
Mwingine unakuta ni msichana, wazazi wake ndio wanamtegemea karibu katika kila kitu. Mimi ninakuambia kabla hujafikiria kuoa au kuolewa, fikiria hilo swali. Kwa sababu ukiishaolewa tu biblia inakuambia wasahau watu wa nyumbani mwa wazazi wako (Zaburi 45:10). Sasa haimaanishi usiwasaidie, ila maana yake ni kwamba huwezi ukawasaidia tena ‘moja kwa moja’ kama ulivyokuwa unawasaidia zamani. Ni vitu lazima ujadiliane na mume wako juu ya kuwasaidia wazazi wenu wa pande zote mbili – maana mna mipango yenu sasa.
Na inawezekana labda umeoa au umeolewa kwa kijana ambaye hana mzigo na wazazi wake kabisa, kila mtu anaishi kivyake vyake kama simba porini, suala la kusaidia wazazi hana ndani ya moyo wake. Wewe umekuwa na huo mzigo, wazazi wako wamekulea, umefika mahali umeanza kazi, sasa na wewe unawatunza hatua kwa hatua, siku unaolewa yule baba anasema basi usiwatunze tena, - fikiri hilo.
Litakuwa linakuumiza kila siku jinsi wazazi wako wanavyopata shida. Utafika mahali utakuwa unachukua vitu kisiri siri unapeleka kwa wazazi, na hiyo ina shida yake pia. Kwa hiyo kabla hujakubali kusema mimi nataka kuolewa, fikiri kwanza na kuomba, maana ndoa inakwenda kukubadilishia mambo yako mengi.
MAANDALIZI YA KUOWA AU KUOLEWA
Ndowa inakuunganisha na kukuingizakatika familia nyingine mya.
Unafahamu watu wengi sana wakioa au kuolewa wanafikiria tu mahusiano ya wao wenyewe tu; na hii ni hatari sana. Kwa sababu unapooa unaingia kwenye undugu na familia nyingine kabisa tofauti, na sio mahusiano ya kwenu tu wawili. Ninyi ni kigezo tu cha kuunganisha hizo familia mbili, lakini mkiishaoana hizo familia zenu mbili ni ndugu kuanzia wakati huo.
Ndio maana unapofika unataka kuoa au kuolewa, sio suala la kumtazama kijana tu, au kumtazama msichana yeye mwenyewe tu; kwa mfano alivyosoma, lakini ni lazima pia utazame na hali ya familia yake ili ujue unajiingiza kwenye familia ya namna gani. Unapofika kwenye masuala ya namna hiyo kuna vitu vingi sana vya kuangalia.
Unaweza ukaingia kwenye familia ambayo ni wavivu, mimi ninakuambia jasho litakutoka ukioa msichana wa namna hiyo; au ukipata kijana toka kwenye familia ya namna hiyo. Itakuwa kazi sana kumshawishi mwenzako juu ya kujishughulisha na maisha. Maana inategemea; kwa kuwa unaweza kuoa msichana hata kusonga ugali hajui. , kwa mfano kwetu tuna wasichana watatu, tumezaliwa watoto 6 wa kiume 3, wasichana 3
Lakini mama yetu alikuwa na bidii ya kutufundisha wote kufanya kila kitu kwa bidii sana, alitufundisha kupika, alitufundisha kulima, kufanya biashara ndogo ndogo Kwa hiyo nilijifunza kwanza kutoka kwa wazazi wangu hayo yote.
Sasa wengine hawapati nafasi ya namna hiyo kwa sababu ya wazazi kuachana au kutokuwa na uhusiano mzuri na familia zao, na ni mbaya zaidi haswa kwa wasichana. Mungu amenipa nafasi ya kuwa na mtoto mmoja wa kike na itakuwa ni aibu kwetu kama wazazi, ikafika wakati wanaingia katika ndoa zao na hawajui kupika ni aibu kwetu sisi wazazi japo wengi wazazi hawalikubali hilo jambo lolote baya au la aibu litakalo onekana kwa binti anayeolewa ni aibu kwa wazazi; wengine baada ya kutegea kumlea mtoto katika maadili,mtoto akipata mme wa kumwoa anawapa wa mama eti wamfundishe kwenda kuishi na mwanaume, kinachonishangaza wao walimu wanaofundisha, karibia ya wote hawana ndowa,sasa watafundisha kitu gani,
Kama umechelewa kumfundisha mtoto wako ni heri ukampeleka kwa watumishi wa Mungu,ambao una uhakikanao kwa matendo yao,maana wingine wanajiita tu ni watumishi wa Mtungu ila haijulikani hata ailiyewatuma kwasababu ya matendo yao, kwa hiyo lazima uwafundishe watoto wako wajue kupika hata wakiume maana ipi siku wataendakuanza maisha yao kuishi bila wazazi, . Maana kwa kujua hilo anaonyesha anatoka familia ya namna gani, na imemlea kwa namna gani! Sikatai wewe kumuweka mtumishi wa kazi za ndani nakini na wewe pia kama mzazi simama nafasi yako ya mzazi,
Unaweza ukafikiri unamlea mtoto wako vizuri kwakuto mshugulisha ila utakuwa unamuumza bila yaw ewe kufahamu, maana siku hizi kuna shida ya kuwa na wafanya kazi majumbani mwetu. Ukishakuwa na mfanyakazi nyumbani basi watoto wengine hawafanyi kitu chochote, wakati mwingine wanakula chakula na wanaacha sahani hapo hapo mezani hawafuti meza hawatandiki kitanda.
Kuna watoto wengine inakuwa mpaka yuko sekondari hawezi kufua nguo zake. Kwa kuwa nyumbani kama hakuna wa kumfulia basi kuna mashine za kufulia. Huko unakokwenda kuolewa inawezekana hata mashine ya kufulia hawajawahi kuiona wala kuisikia! Unafika pale na unauliza mashine iko wapi, wanakuambia yakufanyia nini au ipi, - ya kusagia mahind ipo pale mtaa wa pili Maana ndio wanayoijua kuwa ndio mashine!
Hujui hata namna ya kushika kioo cha taa ya chemli wala namna ya kuiosha kule ndani lile vumbi likaondoka. Inawezekana mwingine umezaliwa kwenye nyumba yenye umeme, lakini utakapokuwa katika ndoa unaenda kwenye nyumba ambayo haina hata umeme, unafika kule na unashangaa kweli maana hujui hata namna kuwasha taa ya chemli! Kwa hiyo tunawaambia vijana suala la kujifunza hivi vitu sio suala la kuchagua, hata kama kuna mtu pale nyumbani wa kuwasaidia, ni lazima wajue kufanya kazi! Zamani mimi niliwasikia wazazi wangu wakisema kijana alikuwa hapati mchumba bilaya kuonyesha nizamu na bidii ya kufanya kazi acha wale wanaotoroka kijijini wanakuja mjini maisha yakiwaonea kidogo tu basi wanajirahisisha na kujipeleka wenyewe kwenye ndowa,ndowa siyoyakujipeleka ni maisha yako hivyo ukikosea unakosea kuishi unaweza ukafa muda wako bado kabisa,
Nilienda kwenye mkoa mmoja wakasema, sisi ukitaka kuoa kwenye nyumba ya mtu, ukitaka kujua huyo msichana amelelewa vizuri au vibaya wakasema usimtazame alivyovaa. Badala yake wanafika kwenye uwanja wa nyumba ya wazazi wake, na wanaangalia ile barabara inayokwenda nyumbani kwao, na wakiikuta chafu, basi wanajua huyu msichana ni mchafu, hawahangaiki tena kuja kuzungumza, wanajua hapa kama tunaamua kuoa tujue tunacho oa, huyu msichana ni mchafu!
Ukienda kuoa kwenye familia nyingine utakuta wanasumbuliwa na ugonjwa wa kurithi, na usipojua kitu cha kufanya unaweza ukapata shida sana. Lakini ninachotaka kukuambia ni kwamba, uamuzi wa kuoa au kuolewa unakuingiza kwenye familia nyingine kabisa, na inaunganisha hiyo familia yao na familia yako; kwa hiyo hayo sio maamuzi madogo. Kumbuka unapooa au kuolewa unawaingiza watu katika famila ambazo kama usipokuwa mwangalifu inaweza ikaleta shida sana, lakini pia inaweza ikaleta baraka!.
Ukienda kuoa kwenye familia nyingine utakuta wanasumbuliwa na ugonjwa wa kurithi, na usipojua kitu cha kufanya unaweza ukapata shida sana. Lakini ninachotaka kukuambia ni kwamba, uamuzi wa kuoa au kuolewa unakuingiza kwenye familia nyingine kabisa, na inaunganisha hiyo familia yao na familia yako; kwa hiyo hayo sio maamuzi madogo. Kumbuka unapooa au kuolewa unawaingiza watu katika famila ambazo kama usipokuwa mwangalifu inaweza ikaleta shida sana, lakini pia inaweza ikaleta baraka!.
Unafahamu watu wengi sana wakioa au kuolewa wanafikiria tu mahusiano ya wao wenyewe tu; na hii ni hatari sana. Kwa sababu unapooa unaingia kwenye undugu na familia nyingine kabisa tofauti, na sio mahusiano ya kwenu tu wawili. Ninyi ni kigezo tu cha kuunganisha hizo familia mbili, lakini mkiishaoana hizo familia zenu mbili ni ndugu kuanzia wakati huo.
Ndio maana unapofika unataka kuoa au kuolewa, sio suala la kumtazama kijana tu, au kumtazama msichana yeye mwenyewe tu; kwa mfano alivyosoma, lakini ni lazima pia utazame na hali ya familia yake ili ujue unajiingiza kwenye familia ya namna gani. Unapofika kwenye masuala ya namna hiyo kuna vitu vingi sana vya kuangalia.
Unaweza ukaingia kwenye familia ambayo ni wavivu, mimi ninakuambia jasho litakutoka ukioa msichana wa namna hiyo; au ukipata kijana toka kwenye familia ya namna hiyo. Itakuwa kazi sana kumshawishi mwenzako juu ya kujishughulisha na maisha. Maana inategemea; kwa kuwa unaweza kuoa msichana hata kusonga ugali hajui. , kwa mfano kwetu tuna wasichana watatu, tumezaliwa watoto 6 wa kiume 3, wasichana 3
Lakini mama yetu alikuwa na bidii ya kutufundisha wote kufanya kila kitu kwa bidii sana, alitufundisha kupika, alitufundisha kulima, kufanya biashara ndogo ndogo Kwa hiyo nilijifunza kwanza kutoka kwa wazazi wangu hayo yote.
Sasa wengine hawapati nafasi ya namna hiyo kwa sababu ya wazazi kuachana au kutokuwa na uhusiano mzuri na familia zao, na ni mbaya zaidi haswa kwa wasichana. Mungu amenipa nafasi ya kuwa na mtoto mmoja wa kike na itakuwa ni aibu kwetu kama wazazi, ikafika wakati wanaingia katika ndoa zao na hawajui kupika ni aibu kwetu sisi wazazi japo wengi wazazi hawalikubali hilo jambo lolote baya au la aibu litakalo onekana kwa binti anayeolewa ni aibu kwa wazazi; wengine baada ya kutegea kumlea mtoto katika maadili,mtoto akipata mme wa kumwoa anawapa wa mama eti wamfundishe kwenda kuishi na mwanaume, kinachonishangaza wao walimu wanaofundisha, karibia ya wote hawana ndowa,sasa watafundisha kitu gani,
Kama umechelewa kumfundisha mtoto wako ni heri ukampeleka kwa watumishi wa Mungu,ambao una uhakikanao kwa matendo yao,maana wingine wanajiita tu ni watumishi wa Mtungu ila haijulikani hata ailiyewatuma kwasababu ya matendo yao, kwa hiyo lazima uwafundishe watoto wako wajue kupika hata wakiume maana ipi siku wataendakuanza maisha yao kuishi bila wazazi, . Maana kwa kujua hilo anaonyesha anatoka familia ya namna gani, na imemlea kwa namna gani! Sikatai wewe kumuweka mtumishi wa kazi za ndani nakini na wewe pia kama mzazi simama nafasi yako ya mzazi,
Unaweza ukafikiri unamlea mtoto wako vizuri kwakuto mshugulisha ila utakuwa unamuumza bila yaw ewe kufahamu, maana siku hizi kuna shida ya kuwa na wafanya kazi majumbani mwetu. Ukishakuwa na mfanyakazi nyumbani basi watoto wengine hawafanyi kitu chochote, wakati mwingine wanakula chakula na wanaacha sahani hapo hapo mezani hawafuti meza hawatandiki kitanda.
Kuna watoto wengine inakuwa mpaka yuko sekondari hawezi kufua nguo zake. Kwa kuwa nyumbani kama hakuna wa kumfulia basi kuna mashine za kufulia. Huko unakokwenda kuolewa inawezekana hata mashine ya kufulia hawajawahi kuiona wala kuisikia! Unafika pale na unauliza mashine iko wapi, wanakuambia yakufanyia nini au ipi, - ya kusagia mahind ipo pale mtaa wa pili Maana ndio wanayoijua kuwa ndio mashine!
Hujui hata namna ya kushika kioo cha taa ya chemli wala namna ya kuiosha kule ndani lile vumbi likaondoka. Inawezekana mwingine umezaliwa kwenye nyumba yenye umeme, lakini utakapokuwa katika ndoa unaenda kwenye nyumba ambayo haina hata umeme, unafika kule na unashangaa kweli maana hujui hata namna kuwasha taa ya chemli! Kwa hiyo tunawaambia vijana suala la kujifunza hivi vitu sio suala la kuchagua, hata kama kuna mtu pale nyumbani wa kuwasaidia, ni lazima wajue kufanya kazi! Zamani mimi niliwasikia wazazi wangu wakisema kijana alikuwa hapati mchumba bilaya kuonyesha nizamu na bidii ya kufanya kazi acha wale wanaotoroka kijijini wanakuja mjini maisha yakiwaonea kidogo tu basi wanajirahisisha na kujipeleka wenyewe kwenye ndowa,ndowa siyoyakujipeleka ni maisha yako hivyo ukikosea unakosea kuishi unaweza ukafa muda wako bado kabisa,
Nilienda kwenye mkoa mmoja wakasema, sisi ukitaka kuoa kwenye nyumba ya mtu, ukitaka kujua huyo msichana amelelewa vizuri au vibaya wakasema usimtazame alivyovaa. Badala yake wanafika kwenye uwanja wa nyumba ya wazazi wake, na wanaangalia ile barabara inayokwenda nyumbani kwao, na wakiikuta chafu, basi wanajua huyu msichana ni mchafu, hawahangaiki tena kuja kuzungumza, wanajua hapa kama tunaamua kuoa tujue tunacho oa, huyu msichana ni mchafu!
Ukienda kuoa kwenye familia nyingine utakuta wanasumbuliwa na ugonjwa wa kurithi, na usipojua kitu cha kufanya unaweza ukapata shida sana. Lakini ninachotaka kukuambia ni kwamba, uamuzi wa kuoa au kuolewa unakuingiza kwenye familia nyingine kabisa, na inaunganisha hiyo familia yao na familia yako; kwa hiyo hayo sio maamuzi madogo. Kumbuka unapooa au kuolewa unawaingiza watu katika famila ambazo kama usipokuwa mwangalifu inaweza ikaleta shida sana, lakini pia inaweza ikaleta baraka!.
Ukienda kuoa kwenye familia nyingine utakuta wanasumbuliwa na ugonjwa wa kurithi, na usipojua kitu cha kufanya unaweza ukapata shida sana. Lakini ninachotaka kukuambia ni kwamba, uamuzi wa kuoa au kuolewa unakuingiza kwenye familia nyingine kabisa, na inaunganisha hiyo familia yao na familia yako; kwa hiyo hayo sio maamuzi madogo. Kumbuka unapooa au kuolewa unawaingiza watu katika famila ambazo kama usipokuwa mwangalifu inaweza ikaleta shida sana, lakini pia inaweza ikaleta baraka!.
KABLA YA NDOWA LIPI UJIFUNZE?
mabadiliko unayotakiwa kuyafahamu kabla ya kuoa au kuolewa< Mvulana au binti)
NI VEMA UKIWA NA BIBLIA PEMBENI:
Mwanzo.2:24 anasema, “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili moja”. Ukiangalia (Zaburi.45:10-11) anasema, “Sikia binti utazame (maana yake anazungumza na msichana) utege sikio lako. Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie”.
Najua watu wengi sana wanataka waingie kwenye ndoa, waoe au waolewe, lakini uhusiano wao na wazazi wao usibadilike, haiwezekani. Biblia imeweka wazi kabisa, unataka kuoa, mwanamume lazima kwanza aachane na baba yake na mama yake, maana yake kuna mabadiliko. Kuna mabadiliko mahali pakuishi, kuna mabadiliko juu ya mtazamo wako wa kwanza wa maisha yako. Mke wako hawezi kuwa mama yako, na mume wako hawezi kuwa baba yako. Mke wako anakuwa mke wako na si mama yako. Mume wako anakuwa mume wako na si baba yako.
Na kabla hujafikia maamuzi ya namna hiyo - ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu. Maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi ambacho maamuzi yako yoyote unayofanya lazima ushirikiane nao, na hiyo ni hatua nzuri kabisa. Lakini ukiishaingia kwenye ndoa, mtu wa kwanza wakushirikiana naye ni mke wako kama umeoa, na ni mume wako kama umeolewa lakini, sio baba yako, sio mama yako.
Na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, wanataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako, haiwezekani. Biblia inakataa. Sasa ukisoma ile Mwanzo unaweza ukafikiri ni wanaume tu wakioa ndio wanatakiwa watoke, waachane na wazazi wao, lakini Zaburi 45:10,11 inatuambia wazi kabisa, inasema, “Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako. Naye Mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie”.
Sasa haimaanishi usiwasalimie, haimanishi usiwasaidie, lakini ningekuwa nazungumza kwa kiingereza ningekuambia, “your priorities must change” lazima ubadilike jinsi ambavyo unaweka kipaumbele katika watu ulio nao.
Unapoamua kuolewa, wa kwanza sio baba yako wala sio mama yako, wa kwanza ni mume wako baada ya Yesu. Katika mahusiano ya kibinadamu anayekuja pale wa kwanza baada ya Yesu moyoni mwako ni mume wako. Ikiwa hujafikia maamuzi ya namna hii moyoni mwako basi bado hujafikia utayari wa kuolewa. Na ina madhara yake magumu. Maana biblia inasema, kabla hujawasahau watu wako na watu wa nyumba ya baba yako, mume wako hawezi kuutamani uzuri wako, ukitaka autamani uzuri wako lazima uwasahau kwanza watu wa nyumbani kwa wazazi wako.
Sasa kuna tofauti ya kupenda na kutamani. Kabla hujaolewa au kabla hujaoa huruhusiwi kutamani. Lakini ukiisha oa unaruhusiwa kutamani lakini mke wako tu. Ukiishaoa kutamani mke wako ruksa, na biblia imeweka vizuri kabisa, na ukiishaolewa kutamani mume wako ni ruksa. Lakini biblia imeweka utaratibu wa ajabu sana kwamba, ili mume amtamani mke wake, lazima mke wake awasahau kwanza watu wa nyumbani mwa wazazi wake. Hiki ni kigezo kigumu sana.
Ndio maana unaweza ukakuta mtu ana mke mzuri sana lakini hamtamani. Unaweza ukafikiri labda ni kwa kuwa hajajipamba vizuri; lakini hata kama atajipamba, atajikwatua kuanzia asubuhi mpaka jioni, - anaweza hata akatumia muda mwingi kwenye kioo kuliko kwenye maombi akijitengeneza, lakini bado mume wake asimtamani; kwa nini? Kwa sababu ndani yake hajaachia watu wa nyumba ya wazazi wake. Au watu wa nyumba ya baba yake wana nafasi kubwa moyoni kuliko mume wake.
Ni mabadiliko ambayo lazima uyatarajie, watu wengi sana huwa hawafikirii hayo, wanafikiri ni kitu rahisi. Unaweza sasa ukaelewa kwa nini watu wengine ikifika siku ile ya “send off”, yaani ya kum’send’ msichana ‘off’ asikae tena nyumbani kwa baba yake, hiyo siku ni ngumu sana kwa wazazi. Kwa sababu wanajua, wanaagana na msichana wao, mahusiano yao waliokuwa nayo toka mwanzoni, tangu alipozaliwa, alipokuwa tumboni mpaka wakati huo yanabadilishwa, yanajengwa mengine, sasa anakwenda kuwa mke wa mtu, hawawezi tena kuingilia maamuzi juu yake, amefunga agano mahali pengine.
Unakuta siku hiyo wazazi wengine wanalia, unakuta vijana wengine wanalia, wasichana wengine wanalia. Usije ukafikiri ni kitu rahisi. Ndani ya nafsi kuna vitu vinaachana, kati ya wazazi na wale watoto wanaoana.
NI VEMA UKIWA NA BIBLIA PEMBENI:
Mwanzo.2:24 anasema, “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili moja”. Ukiangalia (Zaburi.45:10-11) anasema, “Sikia binti utazame (maana yake anazungumza na msichana) utege sikio lako. Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie”.
Najua watu wengi sana wanataka waingie kwenye ndoa, waoe au waolewe, lakini uhusiano wao na wazazi wao usibadilike, haiwezekani. Biblia imeweka wazi kabisa, unataka kuoa, mwanamume lazima kwanza aachane na baba yake na mama yake, maana yake kuna mabadiliko. Kuna mabadiliko mahali pakuishi, kuna mabadiliko juu ya mtazamo wako wa kwanza wa maisha yako. Mke wako hawezi kuwa mama yako, na mume wako hawezi kuwa baba yako. Mke wako anakuwa mke wako na si mama yako. Mume wako anakuwa mume wako na si baba yako.
Na kabla hujafikia maamuzi ya namna hiyo - ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu. Maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi ambacho maamuzi yako yoyote unayofanya lazima ushirikiane nao, na hiyo ni hatua nzuri kabisa. Lakini ukiishaingia kwenye ndoa, mtu wa kwanza wakushirikiana naye ni mke wako kama umeoa, na ni mume wako kama umeolewa lakini, sio baba yako, sio mama yako.
Na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, wanataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako, haiwezekani. Biblia inakataa. Sasa ukisoma ile Mwanzo unaweza ukafikiri ni wanaume tu wakioa ndio wanatakiwa watoke, waachane na wazazi wao, lakini Zaburi 45:10,11 inatuambia wazi kabisa, inasema, “Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako. Naye Mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie”.
Sasa haimaanishi usiwasalimie, haimanishi usiwasaidie, lakini ningekuwa nazungumza kwa kiingereza ningekuambia, “your priorities must change” lazima ubadilike jinsi ambavyo unaweka kipaumbele katika watu ulio nao.
Unapoamua kuolewa, wa kwanza sio baba yako wala sio mama yako, wa kwanza ni mume wako baada ya Yesu. Katika mahusiano ya kibinadamu anayekuja pale wa kwanza baada ya Yesu moyoni mwako ni mume wako. Ikiwa hujafikia maamuzi ya namna hii moyoni mwako basi bado hujafikia utayari wa kuolewa. Na ina madhara yake magumu. Maana biblia inasema, kabla hujawasahau watu wako na watu wa nyumba ya baba yako, mume wako hawezi kuutamani uzuri wako, ukitaka autamani uzuri wako lazima uwasahau kwanza watu wa nyumbani kwa wazazi wako.
Sasa kuna tofauti ya kupenda na kutamani. Kabla hujaolewa au kabla hujaoa huruhusiwi kutamani. Lakini ukiisha oa unaruhusiwa kutamani lakini mke wako tu. Ukiishaoa kutamani mke wako ruksa, na biblia imeweka vizuri kabisa, na ukiishaolewa kutamani mume wako ni ruksa. Lakini biblia imeweka utaratibu wa ajabu sana kwamba, ili mume amtamani mke wake, lazima mke wake awasahau kwanza watu wa nyumbani mwa wazazi wake. Hiki ni kigezo kigumu sana.
Ndio maana unaweza ukakuta mtu ana mke mzuri sana lakini hamtamani. Unaweza ukafikiri labda ni kwa kuwa hajajipamba vizuri; lakini hata kama atajipamba, atajikwatua kuanzia asubuhi mpaka jioni, - anaweza hata akatumia muda mwingi kwenye kioo kuliko kwenye maombi akijitengeneza, lakini bado mume wake asimtamani; kwa nini? Kwa sababu ndani yake hajaachia watu wa nyumba ya wazazi wake. Au watu wa nyumba ya baba yake wana nafasi kubwa moyoni kuliko mume wake.
Ni mabadiliko ambayo lazima uyatarajie, watu wengi sana huwa hawafikirii hayo, wanafikiri ni kitu rahisi. Unaweza sasa ukaelewa kwa nini watu wengine ikifika siku ile ya “send off”, yaani ya kum’send’ msichana ‘off’ asikae tena nyumbani kwa baba yake, hiyo siku ni ngumu sana kwa wazazi. Kwa sababu wanajua, wanaagana na msichana wao, mahusiano yao waliokuwa nayo toka mwanzoni, tangu alipozaliwa, alipokuwa tumboni mpaka wakati huo yanabadilishwa, yanajengwa mengine, sasa anakwenda kuwa mke wa mtu, hawawezi tena kuingilia maamuzi juu yake, amefunga agano mahali pengine.
Unakuta siku hiyo wazazi wengine wanalia, unakuta vijana wengine wanalia, wasichana wengine wanalia. Usije ukafikiri ni kitu rahisi. Ndani ya nafsi kuna vitu vinaachana, kati ya wazazi na wale watoto wanaoana.
KUOKOKA NI NINI?,,,
Hakuna wokovu katika mwingine:
“kuokoka maana yake halisi kwanza ninapenda ufahamu siyo Dini wala thehebu fulani,bali kuokoka ni kuokolewa kutoka katika hatari,sasa mtu anapookolewa kutoka katika hatari ya kwenda jehanamu kwaajili ya maovu akipata neema ya uokovu huo akatubu thambi zake zote na kuziacha basi huyo anaweza kusema ameokoka,ndiyo maana wengi unaowasikia kuwa wameokoka,kwanza wanakuwa na furaha sana,kwa kunusurika na jehanamu,
pia fahamu hili hapa duniani kuokoka kupo acha wale walioshindwa kuelewa,na anayeweza kuokowa ni mmoja tu, hayupo mwingine,awe ni kiongozi wako wa thehebu au mtume,nabii hayopo mwenye uwezo wakuokowa,wala jina lenye nguvu na mamlaka zaidi ya moja tu
Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo” (Matendo ya Mitume 4:12).
“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao” (Mathayo 1:21).
“Bali wote waliompokea (Yesu Kristo) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake, waliozaliwa si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu” (Yohana 1:12 – 13)
“Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani, maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao; kwa kuwa, kila atakayeliitia jina la Bwana (Yesu Kristo) ataokoka” (Warumi 10:12 – 13). Hivyo kwa siku za leo tungesema hakunatofauti ya mchaga na msukuma au nakabila lolote huu ni mfano tu,wote wanahitajika kuokolewa na mmoja tu Yesu kristo mwana wa Mungu,
“kuokoka maana yake halisi kwanza ninapenda ufahamu siyo Dini wala thehebu fulani,bali kuokoka ni kuokolewa kutoka katika hatari,sasa mtu anapookolewa kutoka katika hatari ya kwenda jehanamu kwaajili ya maovu akipata neema ya uokovu huo akatubu thambi zake zote na kuziacha basi huyo anaweza kusema ameokoka,ndiyo maana wengi unaowasikia kuwa wameokoka,kwanza wanakuwa na furaha sana,kwa kunusurika na jehanamu,
pia fahamu hili hapa duniani kuokoka kupo acha wale walioshindwa kuelewa,na anayeweza kuokowa ni mmoja tu, hayupo mwingine,awe ni kiongozi wako wa thehebu au mtume,nabii hayopo mwenye uwezo wakuokowa,wala jina lenye nguvu na mamlaka zaidi ya moja tu
Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo” (Matendo ya Mitume 4:12).
“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao” (Mathayo 1:21).
“Bali wote waliompokea (Yesu Kristo) aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake, waliozaliwa si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu” (Yohana 1:12 – 13)
“Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani, maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao; kwa kuwa, kila atakayeliitia jina la Bwana (Yesu Kristo) ataokoka” (Warumi 10:12 – 13). Hivyo kwa siku za leo tungesema hakunatofauti ya mchaga na msukuma au nakabila lolote huu ni mfano tu,wote wanahitajika kuokolewa na mmoja tu Yesu kristo mwana wa Mungu,
UNATAKA KUOKOKA CHAGUA HAPA!!,,,
SALA YA TOBA:
SEMA SALA HII KAMA UMEMAANISHA UNATAKA KUOKOKA,
Ee Mungu wangu Mtakatifu. Nimesikia neno lako nami nimeamini. Naomba unisamehe dhambi zangu zote nilizokukosea katika maisha yangu yote. Damu ya Yesu Kristo iliyomwagika kwa ajili yangu, naomba initakase sasa katika roho yangu, nafsi yangu na mwili wangu. Nimefungua moyo wangu sasa; Ee Bwana Yesu Kristo nakuomba uingie ndani yangu, uwe Bwana na Mwokozi wangu kuanzia sasa na siku zote. Ahsante kwa kunisamehe dhambi zangu na Ahsante kwa kuniokoa. Amina”
Ikiwa umeisema sala hii kwa imani, basi sasa wewe umeokoka na dhambi zako zimesamehewa na kusahauliwa na Mungu sawasawa na alivyoandika katika neno lake. Jina la Yesu Kristo ni halali yako kulitumia! Kama mtu hajakombolewa akitumia jina la Yesu ni ubatili,
SEMA SALA HII KAMA UMEMAANISHA UNATAKA KUOKOKA,
Ee Mungu wangu Mtakatifu. Nimesikia neno lako nami nimeamini. Naomba unisamehe dhambi zangu zote nilizokukosea katika maisha yangu yote. Damu ya Yesu Kristo iliyomwagika kwa ajili yangu, naomba initakase sasa katika roho yangu, nafsi yangu na mwili wangu. Nimefungua moyo wangu sasa; Ee Bwana Yesu Kristo nakuomba uingie ndani yangu, uwe Bwana na Mwokozi wangu kuanzia sasa na siku zote. Ahsante kwa kunisamehe dhambi zangu na Ahsante kwa kuniokoa. Amina”
Ikiwa umeisema sala hii kwa imani, basi sasa wewe umeokoka na dhambi zako zimesamehewa na kusahauliwa na Mungu sawasawa na alivyoandika katika neno lake. Jina la Yesu Kristo ni halali yako kulitumia! Kama mtu hajakombolewa akitumia jina la Yesu ni ubatili,
HONGERA KWA KUOKOKA.
Mimi na mke wangu, Queen pamoja na mtoto wangu Sophia, tukishirikiana na wenzetu wa timu ya maombi tunaohudumu nao katika kuitenda kazi ya Mungu – tunapenda kukutia moyo na kukutakia baraka za Bwana na ushindi tele katika maisha haya mpya ya wokovu uliyoanza.
Jipe moyo mkuu kwa kuwa, Mungu amekusudia mambo mazuri juu yako. Piga vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele ulioitiwa, uweze kumjibu kila mtu akuulizaye juu ya uhusiano wako na Mungu katika Kristo Yesu.
Na sisi hatutaacha kutoa shukrani zetu kwa Mungu kwa kukuokoa, tukikukumbuka katika sala ya kuwa Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, akupe wewe, roho ya hekima na ya ufunuo katika kumjua yeye; macho ya moyo wako yatiwe nuru ujue tumaini la mwito wa wokovu wake juu yako jinsi ulivyo; na ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yako jinsi ulivyo; kwa kadri ya utendaji wa nguvu za uweza wake; aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa Roho.
Basi, Mungu huyu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa Kondoo kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu kristo, akufanye wewe kuwa mkamilifu katika kila tendo jema, upate kuyafanya mapenzi yake; naye Mungu akifanya ndani yako lipendezalo mbele zake; kwa Yesu Kristo; Utukufu una yeye milele na milele Amina.
Ikiwa utapenda kutushirikisha mahitaji yako ya maombi ili tushirikiane nawe katika maombi basi niandikie kupitia anuwani hii
Samson .o.mboya
Adrass: p.o.box 532 Geita gold mine
Cell phone no 0756809209/0784713604
Email: Samson.mboya@geitagold.com/samsonoxpel@gmail.com
Web site: www.samsonoxpel@blogspot.com
Muumba mbingu na Dunia akubariki sana,
Jipe moyo mkuu kwa kuwa, Mungu amekusudia mambo mazuri juu yako. Piga vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele ulioitiwa, uweze kumjibu kila mtu akuulizaye juu ya uhusiano wako na Mungu katika Kristo Yesu.
Na sisi hatutaacha kutoa shukrani zetu kwa Mungu kwa kukuokoa, tukikukumbuka katika sala ya kuwa Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, akupe wewe, roho ya hekima na ya ufunuo katika kumjua yeye; macho ya moyo wako yatiwe nuru ujue tumaini la mwito wa wokovu wake juu yako jinsi ulivyo; na ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yako jinsi ulivyo; kwa kadri ya utendaji wa nguvu za uweza wake; aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa Roho.
Basi, Mungu huyu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa Kondoo kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu kristo, akufanye wewe kuwa mkamilifu katika kila tendo jema, upate kuyafanya mapenzi yake; naye Mungu akifanya ndani yako lipendezalo mbele zake; kwa Yesu Kristo; Utukufu una yeye milele na milele Amina.
Ikiwa utapenda kutushirikisha mahitaji yako ya maombi ili tushirikiane nawe katika maombi basi niandikie kupitia anuwani hii
Samson .o.mboya
Adrass: p.o.box 532 Geita gold mine
Cell phone no 0756809209/0784713604
Email: Samson.mboya@geitagold.com/samsonoxpel@gmail.com
Web site: www.samsonoxpel@blogspot.com
Muumba mbingu na Dunia akubariki sana,
KAMA UMEOKOKA KARIBU KATIKA UFALME WA NURU YA MUNGU
karibu katika Ufalme wa Mungu!
Imeandikwa wazi kabisa katika kitabu cha Waefeso 2:19 ya kuwa; “Basi tangu sasa ninyi si wageni wala wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani mwake Mungu”.
Umepata neema hii ya Mungu, na sasa umeokoka – biblia inakuambia tangu sasa wewe si mgeni wala mpitaji katika Ufalme wa Mungu - bali wewe ni mwenyeji pamoja na watakatifu wengi waliomo katika nyumba ya Mungu!
Nia ya Roho Mtakatifu kukuwekea kitabu hiki mikononi mwako, ni kukufahamisha angalau kwa kiasi fulani juu ya uamuzi uliofanya wa kutubu dhambi zako, na kumpokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wako.
Kitabu hiki kitakusaidia kujua kitu gani kimetokea ulipookoka na mambo muhimu ya kufanya katika maisha hayo mapya ya wokovu.
Umefanya uamuzi wa busara – katika Luka 15:10 biblia inatuambia ya kuwa hata malaika wa mbinguni wanashangilia na kuufurahia uamuzi huo uliofanya.
Na mimi kama mtumishi wa Mungu aliye hai napenda kumshukuru Mungu katika Kristo Yesu kwa kukufunulia siri hii ya wokovu ambayo wengi hawajaiona na wengine wameiona lakini wanaipuzia. Ni maombi yangu kwa Mungu ya kuwa atakutia nguvu na kukupa ufahamu wa rohoni unapokisoma kitabu hiki ili kikusaidie katika maisha yako ya kila siku.
Imeandikwa wazi kabisa katika kitabu cha Waefeso 2:19 ya kuwa; “Basi tangu sasa ninyi si wageni wala wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani mwake Mungu”.
Umepata neema hii ya Mungu, na sasa umeokoka – biblia inakuambia tangu sasa wewe si mgeni wala mpitaji katika Ufalme wa Mungu - bali wewe ni mwenyeji pamoja na watakatifu wengi waliomo katika nyumba ya Mungu!
Nia ya Roho Mtakatifu kukuwekea kitabu hiki mikononi mwako, ni kukufahamisha angalau kwa kiasi fulani juu ya uamuzi uliofanya wa kutubu dhambi zako, na kumpokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wako.
Kitabu hiki kitakusaidia kujua kitu gani kimetokea ulipookoka na mambo muhimu ya kufanya katika maisha hayo mapya ya wokovu.
Umefanya uamuzi wa busara – katika Luka 15:10 biblia inatuambia ya kuwa hata malaika wa mbinguni wanashangilia na kuufurahia uamuzi huo uliofanya.
Na mimi kama mtumishi wa Mungu aliye hai napenda kumshukuru Mungu katika Kristo Yesu kwa kukufunulia siri hii ya wokovu ambayo wengi hawajaiona na wengine wameiona lakini wanaipuzia. Ni maombi yangu kwa Mungu ya kuwa atakutia nguvu na kukupa ufahamu wa rohoni unapokisoma kitabu hiki ili kikusaidie katika maisha yako ya kila siku.
KUVUKA HATUWA MOJA KWENDA NYINGINE,ONGEZA HATUWA NYINGINE MBELE ZAIDI,,,
SEMINA YA SIKU TATU ZA MABADILIKO
SIKU YA 03
Baada ya kujifunza vyanzo vya mafanikio na watu kufunguliwa Nira shingoni mwao na Kutuwa mizigo yao sasa hatuwa inayofuata ni ya muhimu pia, unaweza kwenda kuchukuwa hatuwa ulizojifunza ili kujiandaa na kupokea zile Baraka bwana alizokuandalia kupitia kazi za mikono yako,
Iwe ni biashara au ajira, kulima,kufuga na mengineyo uliyojifunza usikae bila shuguli ya kufanya na mikono yako Bwana alimwagiza Adamu kumiliki na kutawala kwakuwa Alisha muwekea vitu vyakutawala na kuvimiliki,naakapewa agizo lakuituza bustani ya Edeni,
Sasa wewe ni nani usiyetaka kujishugulisha na kitu alafu unataka Mungu akufanikishe, ninakushahuri hataukiwa sehemu yenye mahubiri ya neon la Mungu na Muhubiri akaita watu wakuwaombea Baraka, jiulize kwanza hizo Baraka zitapitia wapi,kama utakuwa huna kila kitu, huna njiwa,huna kuku huna bata huna mbuzi huna ng”ombe huna bustani huna shamba, fikiria mara mbili wewe utapokelea mlango upi?
Ninajuwa kwa wewe usiyetaka kujishugulisha na shuguli yeyote huduma hii itakuuthi lakini ni bora upate hasira ukimaliza kusoma huu ujumbe na wewe ukawe na kitu cha kufanya,
Hata kama umemtembelea ndugu yako na unajuwa unaishi naye mwezi mzima hajalishi unasubiri majibu ya shule au ya kazi au unavyo juwa wewe mwenyewe,jitahidi siku isiishe hujafanya jambo lolote pale unapo ishi, ni hatari sana siku nzima kuisha bila kufanya jambo lolote linaloweza kuulipia huo muda,
Uza mda wako upate pesa kama umeshindwa kuutumia wewemwenyewe.
Watu huwa wanapenda kuyatumia maneno ambayo kwao hayafanyi kazi kabisa, mtu anasema muda ni mali haya muulize huo muda anaosema ni mali amezalisha kiasi gani maana kile unacho faidika nacho ndichotunacho kibadilisha na masaa ndipo tuna sema muda ni mali,kwa mfano kuna watu wameajiriwa hao wamekubaliana na mwajiri kwa makubaliano ya kuuziana masaa kwamba mimi nitakuuzia masaa yangu yote ya mwezi mzima unilipe,
Mwingine kibaruwa ana kubaliana na mwajiri wake walipane kwa kutwa kwamba atamuuzia masaa ya kutwa nzima, mwingine kwa nusu siku,mwingie kwa lisaa limoja,inategemea, mwingine anaamuwa kuyanunuwa masaa yake yote kwa kuijajiri shuguli zake mwenyewe anafahamu kabisa ataamuka saa ngapi kwenda kwa shuguli zake na atakamilisha saa ngapi,
Sasa wewe ndugu yangu ambaye umebakia kuwalaumu wazazi na ndugu zako kuwa hawakusaidii,je?wewe umejisaidia vipi au kwa lipi? Maana kuna wale wenzangu wao ni kulaumu tu kwamba ndugu wana uwezo alafu hawamsaidii,wakati huo hataki kujishugulisha na kitu chochote nikwenda kuzurura na marafiki,wasio eleweka na wao,au waliomzidi ujanja wa kimaisha, hatakama ndugu ana mali nyingi hizo si zako nay eye amezingaikia hakukaa kama wewe unavyo kaa,alafu akazipata,
Uondoke sasa ukatafute kitu cha kufanya ukiwa unamuomba mungu,katika kukaa bila kujishugulisha muovu anaweza kuitumia nafasi hiyo kukupa kazi,ya uwovu ukamuuthi Mungu,ukawa kama daudi daudi alijikuta anaingia kwenye thambi bila hata ya kupana akilini mwake,,,,,,,,,,
Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nalipewa neema hii ya kuwahubiri Mataifa UTAJIRI WAKE KRISTO USIOPIMIKA; na kuwaangaza watu wote wajue habari za madaraka ya siri hiyo, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote, ili sasa, kwa njia ya Kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho"(Waefeso 3:8 - 10).
Na Mungu wangu atawajazeni KILA MNACHOHITAJI KWA KADIRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU,NDANI YA KRISTO YESU" (Wafilipi 4:9)
Kristo ana utajiri usiopimika. Na wote walio ndani yake ni warithi pamoja naye wa utajiri usiopimika. Kutokana na utajiri huo TUNAJAZWA KILA TUNACHOKIHITAJI. Mahitaji haya ni ya kiroho, kiakili na kimwili. Kwa hiyo hakuna sababu ya mkristo kuishi maisha ya kupungukiwa, ikiwa Kristo yuko ndani ya moyo wake pamoja na utajiri wake usiopimika. Kikubwa kama wewe ni mrithi basi ni jukumu lako kuendeleza huo urithi kwakufuata kanuni yake Mungu
Jambo la kujiuliza ni hili; kwa nini utajiri huu wa Kristo usiopimika hauonekani katika maisha ya wakristo wengi? Wakristo waishije katika ushuhuda wa wokovu ndani ya Kristo, wakati wanaishi katika ulimwengu wenye hali ngumu kiuchumi? Watumishi wa Mungu kwa mfano, wachungaji, wainjilisti na kadhalika, waishije katika kumtumikia Mungu vizuri bila kupoteza ushuhuda wao wakati wanaishi katika mazingira yenye maisha magumu kiuchumi na bado wanasimamia amaandiko kuwa wao ni vichwa hawatakuwa mkia,na hata watoto wao wamewafundisha kuishi kama kichwa na siyo mkia wakati watu wakiwatazama kwa macho wanaonekana kama mkia,
wewe kama mkristo ukiyafuata maagizo ya Mungu ipasavyo hutohitajika hata kushuhudia yale Mungu aliyokutendea bali watu watashuhudia maana watakuwa wameshuhudia kwa macho yao,umewahi kujiuliza kuhusiana na maisha wanayoishi,wakristo?
Haya si maswali mepesi kuyajibu, lakini ni muhimu yatafutiwe ufumbuzi. Kabla hatujaanza kuyajibu napenda tusome Waefeso 4:11;
" Naye (Yesu Kristo) alitoa wengine kuwa mitume; na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti; na wengine kuwa wachungaji na Waalimu."
Ni kwa kusudi gani Bwana Yesu Kristo aliamua kuwaweka hawa katika kazi yake kanisani? Waefeso 4:12-16 inatupa maelezo:-
"Kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo, ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu. Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo. Katika yeye mwili wote ukiunganishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo
SIKU YA 03
Baada ya kujifunza vyanzo vya mafanikio na watu kufunguliwa Nira shingoni mwao na Kutuwa mizigo yao sasa hatuwa inayofuata ni ya muhimu pia, unaweza kwenda kuchukuwa hatuwa ulizojifunza ili kujiandaa na kupokea zile Baraka bwana alizokuandalia kupitia kazi za mikono yako,
Iwe ni biashara au ajira, kulima,kufuga na mengineyo uliyojifunza usikae bila shuguli ya kufanya na mikono yako Bwana alimwagiza Adamu kumiliki na kutawala kwakuwa Alisha muwekea vitu vyakutawala na kuvimiliki,naakapewa agizo lakuituza bustani ya Edeni,
Sasa wewe ni nani usiyetaka kujishugulisha na kitu alafu unataka Mungu akufanikishe, ninakushahuri hataukiwa sehemu yenye mahubiri ya neon la Mungu na Muhubiri akaita watu wakuwaombea Baraka, jiulize kwanza hizo Baraka zitapitia wapi,kama utakuwa huna kila kitu, huna njiwa,huna kuku huna bata huna mbuzi huna ng”ombe huna bustani huna shamba, fikiria mara mbili wewe utapokelea mlango upi?
Ninajuwa kwa wewe usiyetaka kujishugulisha na shuguli yeyote huduma hii itakuuthi lakini ni bora upate hasira ukimaliza kusoma huu ujumbe na wewe ukawe na kitu cha kufanya,
Hata kama umemtembelea ndugu yako na unajuwa unaishi naye mwezi mzima hajalishi unasubiri majibu ya shule au ya kazi au unavyo juwa wewe mwenyewe,jitahidi siku isiishe hujafanya jambo lolote pale unapo ishi, ni hatari sana siku nzima kuisha bila kufanya jambo lolote linaloweza kuulipia huo muda,
Uza mda wako upate pesa kama umeshindwa kuutumia wewemwenyewe.
Watu huwa wanapenda kuyatumia maneno ambayo kwao hayafanyi kazi kabisa, mtu anasema muda ni mali haya muulize huo muda anaosema ni mali amezalisha kiasi gani maana kile unacho faidika nacho ndichotunacho kibadilisha na masaa ndipo tuna sema muda ni mali,kwa mfano kuna watu wameajiriwa hao wamekubaliana na mwajiri kwa makubaliano ya kuuziana masaa kwamba mimi nitakuuzia masaa yangu yote ya mwezi mzima unilipe,
Mwingine kibaruwa ana kubaliana na mwajiri wake walipane kwa kutwa kwamba atamuuzia masaa ya kutwa nzima, mwingine kwa nusu siku,mwingie kwa lisaa limoja,inategemea, mwingine anaamuwa kuyanunuwa masaa yake yote kwa kuijajiri shuguli zake mwenyewe anafahamu kabisa ataamuka saa ngapi kwenda kwa shuguli zake na atakamilisha saa ngapi,
Sasa wewe ndugu yangu ambaye umebakia kuwalaumu wazazi na ndugu zako kuwa hawakusaidii,je?wewe umejisaidia vipi au kwa lipi? Maana kuna wale wenzangu wao ni kulaumu tu kwamba ndugu wana uwezo alafu hawamsaidii,wakati huo hataki kujishugulisha na kitu chochote nikwenda kuzurura na marafiki,wasio eleweka na wao,au waliomzidi ujanja wa kimaisha, hatakama ndugu ana mali nyingi hizo si zako nay eye amezingaikia hakukaa kama wewe unavyo kaa,alafu akazipata,
Uondoke sasa ukatafute kitu cha kufanya ukiwa unamuomba mungu,katika kukaa bila kujishugulisha muovu anaweza kuitumia nafasi hiyo kukupa kazi,ya uwovu ukamuuthi Mungu,ukawa kama daudi daudi alijikuta anaingia kwenye thambi bila hata ya kupana akilini mwake,,,,,,,,,,
Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nalipewa neema hii ya kuwahubiri Mataifa UTAJIRI WAKE KRISTO USIOPIMIKA; na kuwaangaza watu wote wajue habari za madaraka ya siri hiyo, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote, ili sasa, kwa njia ya Kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho"(Waefeso 3:8 - 10).
Na Mungu wangu atawajazeni KILA MNACHOHITAJI KWA KADIRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU,NDANI YA KRISTO YESU" (Wafilipi 4:9)
Kristo ana utajiri usiopimika. Na wote walio ndani yake ni warithi pamoja naye wa utajiri usiopimika. Kutokana na utajiri huo TUNAJAZWA KILA TUNACHOKIHITAJI. Mahitaji haya ni ya kiroho, kiakili na kimwili. Kwa hiyo hakuna sababu ya mkristo kuishi maisha ya kupungukiwa, ikiwa Kristo yuko ndani ya moyo wake pamoja na utajiri wake usiopimika. Kikubwa kama wewe ni mrithi basi ni jukumu lako kuendeleza huo urithi kwakufuata kanuni yake Mungu
Jambo la kujiuliza ni hili; kwa nini utajiri huu wa Kristo usiopimika hauonekani katika maisha ya wakristo wengi? Wakristo waishije katika ushuhuda wa wokovu ndani ya Kristo, wakati wanaishi katika ulimwengu wenye hali ngumu kiuchumi? Watumishi wa Mungu kwa mfano, wachungaji, wainjilisti na kadhalika, waishije katika kumtumikia Mungu vizuri bila kupoteza ushuhuda wao wakati wanaishi katika mazingira yenye maisha magumu kiuchumi na bado wanasimamia amaandiko kuwa wao ni vichwa hawatakuwa mkia,na hata watoto wao wamewafundisha kuishi kama kichwa na siyo mkia wakati watu wakiwatazama kwa macho wanaonekana kama mkia,
wewe kama mkristo ukiyafuata maagizo ya Mungu ipasavyo hutohitajika hata kushuhudia yale Mungu aliyokutendea bali watu watashuhudia maana watakuwa wameshuhudia kwa macho yao,umewahi kujiuliza kuhusiana na maisha wanayoishi,wakristo?
Haya si maswali mepesi kuyajibu, lakini ni muhimu yatafutiwe ufumbuzi. Kabla hatujaanza kuyajibu napenda tusome Waefeso 4:11;
" Naye (Yesu Kristo) alitoa wengine kuwa mitume; na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti; na wengine kuwa wachungaji na Waalimu."
Ni kwa kusudi gani Bwana Yesu Kristo aliamua kuwaweka hawa katika kazi yake kanisani? Waefeso 4:12-16 inatupa maelezo:-
"Kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo, ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu. Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo. Katika yeye mwili wote ukiunganishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo
JE UMEWAHI KUSIKIA AU KUSEMA?
Matendo peke yake hayatoshi kukupa ufalme wa Mungu Japo wengi wetu na hata wengine wamekuwa wakiimba namna matendo yanavyo hitajika. hata mimi sipingi juu ya hilo,ila matendo ni kwaajili ya wanadamu,
yeye Mungu anauangalia moyo wako kwamba umemaanisha kiasi gani,kama ni matendo kuna wazoefu wa kuigiza utakatifu,ingekuwa ni kirahisi hivyo,kila mmoja angeweza kuigiza matendo mema,ili arithi ufalme wa Mungu maana tunapo zungumuzia ufalme wa Mungu tunaongelea maisha ya Baadaye ya ahadi kwetu
Kuna watu wengi sana ambao ni waaminifu sana katika kusali na kumtolea Mungu sadaka, lakini hawakubaliani na jambo kuokoka. Wanaona kuwa wao tayari wameokoka kwa sababu tu wanasali, wanatoa sadaka na kujitahidi kuishi katika matendo mema. Hebu soma maneno ya mistari hii uone yanavyopingana na msimamo huu;
“Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; WALA SI KWA MATENDO, mtu awaye yote asije akajisifu” (Waefeso 2:8,9)
Tunaokoka kwa njia ya imani itendayo kazi katika Yesu Kristo, “Wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu”. Matendo yana faida zaidi kwa mtu baada ya kuokoka. Na pia imani bila matendo, imani hiyo imekufa nafsini mwake. Biblia inasema hivi:
“Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! ile imani yaweza kumwokoa?…. Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake. Lakini mtu atasema, wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyeshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonyesha IMANI YANGU KWA NJIA YA MATENDO YANGU …….. Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa” kwa mkristo anayemkiri kristo kama Bwana na muokozi wa maisha yake ni vema maisha ya kuigiza tukayaacha na kumaanisha,ni rahisi kwa watu wengi kushuhudia kuwa ameokoka akifikiri anamdanganya mwanadamu,ila yupo mwenye uwezo wa kuichunguza Roho,yako na kwa nafsi au kwa akili ya ki-uwanadamu usijidanganye kuishinda thambi,huna uwezo hata kidogo wa kuishinda thambi yaaina yeyote ile ni rahisi kuwadanganya wanadamu kwakuwa hawaishi na wewe ila hiyo nayo ni hatari maana Mungu anaweza kuyafunuwa maovu yako,ukaaibika hapa Duniani mpaka kule mbinguni, je ungependa kupatana na Mungu wako hivi sasa karibu katika wana wa waflume wa Mungu,,,,,Tamka maneno haya kwa kinywa chako maana kwa moyo mtu huamini akahesabiwa haki na kwa kinywa mtu hukiri akapata uwokovu" sema Mungu wa nimetambuwa kuwa mimi nilikutenda thambi wewe,hata mara nyingine pasipo kusudia mara nyingi ni mekutenda thambi katika mawazo,na hata katika matendo,Ninakuomba unisamehe na unisafishe kwa kabisa maovu yote niliyokuwa nimeyatenda,ninakiri kutokuyarudia tena,
Ninaamini ya kuwa yesu kristo ni wanawako wa pekee uliyemtuma duniani kuja kutukombowa kwa njia ya msalaba,akasulubiwa pale msalabani,akafa ,akazikwa na siku ya tatu akafufuka toka kwa wafu,na sasa yuko kuume kwa Mungu Baba,nina kuomba bwana uyathibiti maisha yangu tangu sasa,uniongoze jnia ya kwenda Mbinguni, katika jina la Yesu,Amina,
sasa ninaamini mpaka unaitamka sala hii umemaanisha toka moyoni mwako,tayari chukuwa hatuwa nyingine moja ya imani kama ulivyo soma hapo juu kuwa uwokovu tunaupata kwa imani,umeshafanyika mtoto wa Mungu,Hongera sana karibu katika ufalume wa wana wa mungu wanapigambiyo kwaajili ya mbingu,inawezekana ukawa na maswali kuhusiana na uwokovu tafuta kanisa lolote lile linalofundisha na kuukiri uwokovu nenda pale kutana na mtumishi wa Mungu mweleze kuwa umeokoka baada ya kukutana na sala ya toba kwenye webusaiti ya Mtumishi wa Mungu ukaamuwa kumpa Yesu maisha yako atakusaidia sana,kiroho na hata mara nyingine ki -mahitaji ya kawaida,
ukiona vema Basi karibu unaweza kunipigia simu yangu ya mko,au ukaniandikia baruwa pepe kwa kupitia maelezo haya,,,,
samsonoxpel@gmail.com
samson.mboya@geitagold.com
web site http://www.samsonoxpel@blogspot.com/
p.obox 532 Geita gold mine
Cell phone no 0756 809 209
" " 0784 71 36 04
karibu sana ndugu yangu katika Bwana yesu Mungu akubariki sana kwa maamuzi yaliyo mema katika maisha yako,katika hayo mawasiliano kasoro jumapi kwaanzia asubuhi mpaka jioni sipatikani lakini siku za kawaida ninapatikana,karibu sana,
NENO LA MUNGU NI UPANGA ULAO KUWILI",,,,,,
“Maana Neno la Mungu LI HAI, tena LINA NGUVU, tena LINA UKALI KULIKO UPANGA UWAO WOTE UKATAO KUWILI, tena LACHOMA HATA KUZIGAWANYA NAFSI NA ROHO NA VIUNGO NA MAFUTA YALIYOMO NDANI YAKE: tena LI JEPESI KUYATAMBUA MAWAZO NA MAKUSUDI YA MOYO. Wala HAKUNA KIUMBE KISICHOKUWA WAZI MBELE ZAKE, lakini VITU VYOTE VI UTUPU NA KUFUNULIWA MACHONI PAKE YEYE ALIYE NA MAMBO YOTE” (Waebrania 4:12,13)
“Ee Bwana, Neno lako lasimama imara mbinguni hata milele … Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa …. Hunitia hekima kuliko adui zangu, kwa maana ninayo (ninalo) siku zote. Ninazo akili kuliko wakufunzi wangu wote, maana shuhuda zako ndizo nizifikiriazo. Ninao UFAHAMU kuliko wazee, kwa kuwa NIMEYASHIKA MAUSI YAKO …. Kwa mausia yako najipatia ufahamu, ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo. Neno lako ni TAA ya miguu yangu, na MWANGA wa njia yangu” (Zaburi 119:89, 97-100, 104, 105).kama usipojifunza neno la Mungu huwezi kujiongoza na kufikia maisha tuliyoandaliwa,maamuzi ya maishaunayotaka kuishi yako mikononi mwako,na kila unachokiwaza na kukifanya kinahesabika mbele za Mungu,
hivyo ni bora ukachagu,maisha ya uzima,maisha ya umilele,chaguwa kitu chakufikiria,chaguwa kitu chakuongea.chaguwa kitu cha kufanya,na kitu chakusikia kutoka kwa watu,sikila kitu ni chema kukiona kwao,au kukisikia,,,,,,,,,,
GET NEWS FOR TODAY",
"of" is a very common word, and was not included in your search.
- Genesis 20:13
And when God had me wander from my father's household, I said to her, 'This is how you can show your love to me: Everywhere we go, say of me, "He is my brother." ' "
Genesis 20:12-14 (in Context) Genesis 20 (Whole Chapter) - Genesis 22:2
Then God said, "Take your son, your only son, Isaac, whom you love, and go to the region of Moriah. Sacrifice him there as a burnt offering on one of the mountains I will tell you about."
Genesis 22:1-3 (in Context) Genesis 22 (Whole Chapter) - Exodus 34:6
And he passed in front of Moses, proclaiming, "The LORD, the LORD, the compassionate and gracious God, slow to anger, abounding in love and faithfulness,
Exodus 34:5-7 (in Context) Exodus 34 (Whole Chapter) - Leviticus 19:34
The alien living with you must be treated as one of your native-born. Love him as yourself, for you were aliens in Egypt. I am the LORD your God.
Leviticus 19:33-35 (in Context) Leviticus 19 (Whole Chapter) - Deuteronomy 6:1
[ Love the LORD Your God ] These are the commands, decrees and laws the LORD your God directed me to teach you to observe in the land that you are crossing the Jordan to possess,
Deuteronomy 6:1-3 (in Context) Deuteronomy 6 (Whole Chapter) - Deuteronomy 6:5
Love the LORD your God with all your heart and with all your soul and with all your strength.
Deuteronomy 6:4-6 (in Context) Deuteronomy 6 (Whole Chapter) - Deuteronomy 7:9
Know therefore that the LORD your God is God; he is the faithful God, keeping his covenant of love to a thousand generations of those who love him and keep his commands.
Deuteronomy 7:8-10 (in Context) Deuteronomy 7 (Whole Chapter) - Deuteronomy 7:12
If you pay attention to these laws and are careful to follow them, then the LORD your God will keep his covenant of love with you, as he swore to your forefathers.
Deuteronomy 7:11-13 (in Context) Deuteronomy 7 (Whole Chapter) - Deuteronomy 10:12
[ Fear the LORD ] And now, O Israel, what does the LORD your God ask of you but to fear the LORD your God, to walk in all his ways, to love him, to serve the LORD your God with all your heart and with all your soul,
Deuteronomy 10:11-13 (in Context) Deuteronomy 10 (Whole Chapter) - Deuteronomy 11:1
[ Love and Obey the LORD ] Love the LORD your God and keep his requirements, his decrees, his laws and his commands always.
Deuteronomy 11:1-3 (in Context) Deuteronomy 11 (Whole Chapter)
More results from New International Version
JE MUNGU ANAHUSIKA NA MAISHA YETU KWELI?...NDIYO".....
“Kwa sababu hiyo nawaambieni, msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?
Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kupita hao?
NI YUPI KWENU AMBAYE AKIJISUMBUA AWEZA KUJIONGEZA KIMO CHAKE HATA MKONO MMOJA? Na mavazi, ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi, wala hayasokoti; nami nawaambia ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.
Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, JE! HATAZIDI SANA KUWAVIKA NINYI, ENYI WA IMANI HABA? Msisumbuke basi, mkisema, Tule nini? au Tunywe nini? au Tuvae nini? Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote” (Mathayo 6:25 – 32)
Kuna wakristo wengine wameyaelewa vibaya maneno haya ya Bwana Yesu Kristo hata kufikia kutokufanya kazi kwa kisingizio cha kwamba Yesu Kristo alisema tusiyasumbukie maisha.
Kwao kufanya kazi ina maana kusumbukia maisha. Lakini napenda kukuambia ya kuwa Yesu Kristo hakuwa ana maana ya kutuambia tusifanye kazi aliposema tusiyasumbukie maisha.
Nadhani unaamini ya kuwa ni Roho wa Kristo aliyemwongoza Mtume Paulo kuwaandikia Wathesalonike juu ya mashauri mbali mbali ya kikristo. Katika 1Wathesalonike 3:10b anasema, “Ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula.” Ni muhimu kufanya kazi. Kufanya kazi siyo kusumbuka na maisha. Kusumbuka na maisha siyo kufanya kazi.
Jambo ambalo Bwana Yesu Kristo alitaka tufahamu wakati alipokuwa akisema tusisumbukie maisha, ni kwamba katika kila jambo tumshirikishe Mungu na kumtanguliza Yeye.
Wakristo wengine wanadhani wanaweza kula, kunywa na kuvaa bila msaada wa Mungu. Yesu Kristo alisema katika Yohana 15:5b kuwa; “…… maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya NENO LO LOTE” (Hili ni pamoja na kula, kunywa na kuvaa) Ndiyo maana katika Wafilipi 4:13 imeandikwa kuwa “Nayaweza mambo yote katika YEYE anitiaye nguvu” Yesu Kristo ndiye atutuaye nguvu.
Yesu Kristo alitoa mwongozo mzuri
Subscribe to:
Posts (Atom)