kwa nini ulimi ni hatari,

KWANINI NAPASWA KUWA MAKINI NA ULIMI WANGU?

je Unajuwa ulimi wako unakokupeleka?

Kielelezo cha usukani na lijamu.Ukitaka kujua utakuwa wapi au vipi miaka mitano ijayo akangalia nini unazungumza zaidi leo juu yako mwenyewe,maneno yetu yana tupa uelekeo wa kule tuendako.unaongea juu ya nini zaidi?.



“ulimi unatawala mwelekeo wa maisha yako.ulimi ni usukani wa maisha yako,ni mfumo wako wa uongozi wa maisha yako Ukitaka kumbadilisha mtu anvyoamini,mbadilishe vile anavyo zungumza,vile unavyozungumza mwisho wa siku nindivyo vile unavyoamini.”





yale unayo yazungumza sana,mara kwa mara mwisho wa siku ndivyo utakayo yaamini. wazo Huiingia katika ufahamu,kasha katika MOYO,MANENO hutoka moyoni na kasha MATENDO huzaliwa.(MITHALI 18:20)

Nukuu: Martin LUTHER-“huwezi kuzui ndege wasiruke juu ya kichwa chako,lakini unaweza kuzuia wasijenge kiota na kuhamia hapo”



2. ULIMI WANGU UNAWEZA KULETA UHARIBIFU NA MADHARA KWANGU NA KWA WENGINE




Kielelezo cha moto na mnyama mkali asiyefugika.Mithali 21:23 18:21 Madhara makubwa sana yameletwa na ulimi,ndoa zimevunjika, urafiki,mahusiano,makanisa ,ndugu,wamekosana n.k ulimi unasabisha magovi,chuki n.k ULIMI unadhuru unaitwa mishale…una dhuru hata mbali.Neno moja liweza kusababisha “chain reaction”unaweza kuzungumza kitu ambacho hudhamiria kilete madhara lakini matokeo yake makubwa yasiyozuilika.



3. ULIMI WANGU UNA NIDHIHIRISHA VILE MIMI NILIVYO


Kielelezo cha chemchemi namti wa matundaYAKOBO 3:9-12Watu wengi wanafikiri labda kukaa kimya pekee yake kunasaidi,cha muhimu zaidi ni ndani yako kukukojeMfano wa kisima/chemichemi na mfano wa mti na matunda-Kile kilichopo katika kisima ndicho kitakacho toka na kuwepo katika maji,kadharika kilichopo katika mti kitajidhihirisha kwa njia ya matunda.

ubarikiwe sana asante kwakushiriki na sisi hapa


Followers