Fahamu mambo machache, yanayokuchosha tofauti na huduma

SABABU YA KUCHOKA SANA:


1. Kazi nyingi kupita kiasi

2. Kuwa mtu wa kukubaliana kila kitu na mkuu wako au bosi wako.

3. Kuhisi umekwama katika ujuzi wako/taaluma yako.
4. Kuwa mlevi wa kazi5. Kulazimishwa katika mazingira yanayokukandamiza. Kuona una majukumu kupita kiasi

6. Kufanya kazi na wateja ambao hawana mwitikio na ushirikiano. Matatizo ya kifamila kama fedha.

7. Mafanikio ya uponyaji.


TIBA YA UCHOVU
1. Jifunze kuweka mipaka.



● Jifunze kuwa na hisia za uchechi-uwe rahisi na unaye weza kukalibiwa kirahisi. Tengeneza mtandao usiwe mpweke, gawa majukumu kwa wegine. Unapokuwa peke yako kimbia kwa kasi lakini kwa muda mfupi.mnapokuwa wengi kimbia taratibu lakini kwa muda mrefu..

2. Uwe na shughuli nyingine mbali na shughuli za kanisa,kama vile michezo,matembezi.


3. Wakati wote tunza akilini mwako lengo yako.


4. Jifunze kuthamini kudhihirisha hisia hasi zako.


5. Hudhuria semina mahali kwingine,katika makanisa mengine na maeneo mengine.


6. Tengeneza tabia ya kupumzika –chukua siku moja kupumzika katika wiki na chukua likizo ndefu.


7. Chukua tabia ya afya njema:kula vizuri,fanya mazoezi,lala vizuri.



JINSI YA KUZIMA HALI YA KUCHOKA


1. Shughulikia mfadhaiko wako kwa kufanya mazoezi ya viungo


● Tumia mazoezi rahisi.


● Andiko maneno rahisi hewani kama vile Jina lako n.k. kwa kutumia mwili waka au mwenendo wa kichwa.

● Chukua siku moja ya kupumzika.


2. Tawala muda wako.-usihairishe mambo,uwe na orodha ya mambo ya kufanya.


3. Gawa majukumu,epuka kujitegemea mwenyewe.


4. Pata uwajibikaji-mthibitishe mtu unayemwamini.


5. Fanyaia kazi nidhamu za kiroho kama vile Maombi,Kusoma Biblia,kufunga,n.k..



Followers