MAUTI YA ULIMI
Mithali 18:21
Utangulizi:
Kuna watu wengi sana wamepata Madhara makubwa
sana wingine wameangamia, kwakujuwa au kwakutojuwa sababu ya ulimi, biashara
zilishafilisika sasa wamebakiza madeni, wengine, uchumba zilisha vunjika
kwasababu ya ulimi,wengine ndoa zilisha farakana,wengine wako magerezani
wamefungwa maisha yao yoye,wengine wapo katika majuto kwasababu ya ulimi,
Imaeandikwa Hosea 4:6Watu
wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi
nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya
Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Kukataliwa ni kutohusishwa,au kutohitajika
mahali flani ulipaswa kuwa,
MADHARA YA ULIMI
- Kukataliwa na Mungu
- Ulimi unaweza kukutenga na jamii daima
- Ulimi unaweza kukusababishia laana mbaya sana imeandikwa MWANZO 4:8-12 ) kaini na Abeli,
- Ulimi unaweza kukuhamisha mahali pako na kukupeleka kusiko julikana
- Kukosa mema uliyoandaliwa na Mungu haswa ya baadaye,
- Ulimi unasababisa mauti ya kimwili au kiroho
- Ulimi unaweza kukusababishia ukoma imeandikwa ( HESABU 12:1-2 , 9-10 Mariamu na Haruni
- Ulimi unaweza kukukunyima mafanikio uliytakiwa kuwa nayo
- Ulimi unaweza kuzuwia hatima ya maisha yako
- Ulimi unaweza kumkasirisha Mungu ( HESABU 11:1 ).Manung’uniko
- Ulimi unaweza kuharibu hatima ya maisha yako
- Ulimi unaweza kuyaangamiza maisha yako,
- Ulimi unaweza kukupotezea kukupotezea mafanikio
- Ulimi unaweza kukufanya msaliti … (MATHAYO 26:69-75 ).Petro kusaliti,Yuda jehanamu kisa ulimi
- Ulimi unaweza kukucheleweshea au kukuwahishia mafaniko
- Ulimi unaweza kukutesa au kukupatia aibu ambayo hukutarajia
- Ulimi unaweza kukuzuwia katika maisha usifanikiwe kabisa,
- Ulimi unaweza kusababisha matatizo kwa wengine,
- Ulimi unaweza kukuharibia huduma,kipaji,nyota
- Ulimi unaweza kusababisha ukapoteza nguvu za Mungu
- Samson alitoa siri kwa ulimi akajiumiza yeye mwenyewe,,
Tayari hata hivi tunavyojifunza ujumbe huu ulimi
umesha waumiza wengi, Sana waliyotutangulia na wajao kama hawatapata neema ya
kujifunza kuulinda ulimi wao,
UFANYE NINI
KUWA SALAMA NA ULIMI,
- Kwa kumkiri Yesu kwa ndimi zetu kuwa ni Bwana au Mtawala wa maisha yetu na kuokolewa WAFILIPI 2:11; WARUMI 10:8-10 ). Kufanya toba ya kweli
- Kuruhusu hofu ya Mungu katika maisha yako kwa kukubali neno likayeNdani yenu, imeandikwa zaburi 119:11 moyoni nimeliweka neno lake nisitende dhambi,
- Kuwa mtendaji wa neno kwa kuliishi, yaani kwa kuliamini,
- Kunyeyekea chini ya Mkono wa Mungu,
- Kudumu hemani pa bwana katika mafundisho yaani maarifa,
Imeandikwa (ZABURI 15:1-4 ; ZABURI 101:6-7; macho ya Mungu yatakutazama ikiwa
utakaa hemani wakati wote,
- Ili kuuchunga ulimi unatakiwa kuuchukia ubaya kabisa,
- Ili kuuchunga ulimi angalia mazingira na marafiki unaokaa nao imeandikwa zaburi 1;1 MITHALI 19;29; ZABURI 1;1 )
- Epuka roho ya kiburi kabisa ukaidi dharau, Amdharauye mwenzake -(HESABU 16:12 )afanya dhambi (MITHALI 14:21).”Wengine Wakiomba pepo hawawezi kutoka, mpaka nije Mimi”. “Bila mimi hakuna
- Jitahidi acha masihara ,utani wa desturi au wa mazowea,
- Acha mabishano au mashindano ya kuongea au Kuasi kauli za Mtumishi
Punguza maneno mengi, imeandikwa (YAKOBO 1:19). uovu (MITHALI 10:19). (MATHAYO 27:11-14
).
- Mtu mwenye maneno mengi wakati wote, yanaweza leta mauti……………
- Epuka kukasirika ovyo ulimi unaweza kukusababishia mauti, MHUBIRI 7:9;
- Pima maneno unayotaka kuongea na mwenzako kabla hujaongea (ZABURI 39:1, 9 ).
- Dumu ndani ya Neno la Mungu kwakuliishi maisha yako yote, YOHANA 15:3; (ZABURI 119:11)………..
- Dumu katika maombi maisha yote ( MATHAYO 26:41
HITIMISHO:
Omba toba ya kweli anza upya
maisha yako,
(WAEFESO 2:8-10; MITHALI 28:13). Tukifanya hivi, kwa ghafla
tunakuwa viumbe vipya na ndani mwetu kunakuwa na asili mpya inayotuwezesha
kushinda dhambi bila jitihada zozote! Kuokoka ni muujiza wa ajabu.
(ZABURI 119:11). MUNGU
AKUBARIKI!!!
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
MBINU ZA KUMSHINDA ADUI YAKO
1 Samuel 17: 40, Mhubiri 7:8
Utangulizi
Adui anapopambana na mtu huwa anapambana naye
leo kwa lengo la kuzuwia kesho mwisho wako mafanikio yako ni mwisho wa
lileulilolianzisha linapofika mwisho uzuri wa jambo ni mwisho hivyo usitishwe
na mapigo uliyorushiwa na adui ushindi ni mwisho Herimwisho kuliko mwanzo
1 Samuel 17: 40 Akaichukua fimbo yake mkononi, akajichagulia mawe laini matano katika
kijito cha maji, akayatia katika mfuko wa kichungaji aliokuwa nao, maana ni
mkoba wake, na kombeo lake alikuwa nalo mkononi mwake, akamkaribia yule
Mfilisti.
Huyo Mfilisti naye akamsogelea Daudi na kumkaribia; na mtu yule
aliyemchukulia ngao yake akamtangulia.
Hata Mfilisti alipotazama huku na huku, akamwona Daudi akamdharau; kwa kuwa ni kijana tu mwekundu, tena ana sura nzuriAnd
Hata Mfilisti alipotazama huku na huku, akamwona Daudi akamdharau; kwa kuwa ni kijana tu mwekundu, tena ana sura nzuriAnd
1 Samuel 17:26. Daudi akaongea na watu waliosimama karibu,
akisema, Je! Atafanyiwaje yeye atakayemwua Mfilisti huyo, na kuwaondolea
Israeli aibu hii? Maana Mfilisti huyu asiyetahiriwa ni nani hata awatukane
majeshi ya Mungu aliye hai?
Nao watu wakamjibu vivyo hivyo, wakisema, Ndivyo atakavyofanyiwa mtu yule atakayemwua.
Naye Eliabu, mkubwa wake, alisikia hapo alipoongea na watu; na hasira yake Eliabu ikawaka juu ya Daudi, akasema, Mbona wewe umeshuka hapa? Na kondoo wale wachache umemwachia nani kule nyikani? Mimi nakujua kiburi chako, na ubaya wa moyo wako; maana umeshuka ili upate kuvitazama vita.
Nao watu wakamjibu vivyo hivyo, wakisema, Ndivyo atakavyofanyiwa mtu yule atakayemwua.
Naye Eliabu, mkubwa wake, alisikia hapo alipoongea na watu; na hasira yake Eliabu ikawaka juu ya Daudi, akasema, Mbona wewe umeshuka hapa? Na kondoo wale wachache umemwachia nani kule nyikani? Mimi nakujua kiburi chako, na ubaya wa moyo wako; maana umeshuka ili upate kuvitazama vita.
Naye Daudi
akamjibu, Je! Mimi nimekosa nini sasa? Je! Si neno kubwa hilo?
Naye akamgeukia ili kumwelekea mtu mwingine, akasema naye jinsi ile ile; na watu wakamjibu tena jinsi ile ile kama ya kwanza.
Naye akamgeukia ili kumwelekea mtu mwingine, akasema naye jinsi ile ile; na watu wakamjibu tena jinsi ile ile kama ya kwanza.
Imeandikwa Matendo :2826 Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya
uso wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na
mipaka ya makazi yao; ili
wamtafute Mungu,
ingawa ni kwa kupapasa-papasa, wakamwone, ijapokuwa hawi mbali na kila
mmoja wetu.
1 Samuel 18:6-7
Siku utapotamka Neno la ushindi ndiyoutakuwa umeleta ukombozi na sherehe kwa familia yako na kizazi, Daud alipolitoa jiwe ndani ya mfuko,mkoba,bag lake furaha ilitawala,tunakungoja utoe jiwe lako mfukoni tuanze kushangilia jiwe lako linaweza kuwa tamko lako la kumpa yesu maisha,
.
Kama roho mtakatifu aliyondani
yako unamwamini ukitamka hutokuwa na hofu hatakama likichelewa utalisubiri
wakati wake, maana litatimia tu
Imeandikwa Yeremia 1:12 Mungu aliliangalia neno la Daudi,imeandikwa Mithali 23:7 aonavyo mtu nafsini ndivyo alivyo Daudi alimwamini Mungu akaamua kumtegemea kwa
moyo wake wote imeandikwa Hesabu 13:30
Siku ya kutoa jiwe ndani ya mfuko wako ndiyo siku utawaletea ndugu na jamaa
kicheko na furaha itatawala, usiogope kila tatizo linajiwe lake toa kwa mfuko
piga uchukuwe ushindi,
Imeandikwa Mhubiri 7:8 Heri
mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya
kiburi. Usifanye haraka
kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
Usiseme, Kwani siku za kale kupita siku hizi? Maana si kwa hekima uulizavyo neno hilo.
Usiseme, Kwani siku za kale kupita siku hizi? Maana si kwa hekima uulizavyo neno hilo.
Hekima ni
njema, mfano wa urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionao jua. Kwa maana hekima ni ulinzi, kama vile
fedha ilivyo ulinzi; na ubora wa maarifa ni ya kwamba hekima humhifadhi yeye
aliye nayo. Tafakari vema kazi yake Mungu; kwa sababu ni nani awezaye
kukinyosha kitu kile alichokipotosha yeye?
Idadi ya waliookoka ni mwisho siyo mwanzo
,hata safari,uchumba,biashara,mafundisho,elimu kulima
matazamio ni mwisho,
Mungu anataka kuona kila unaloanza unalimalizia
je, biashara mahesabu ni mwisho wa mauzo,
Imeandikwa Mathayo 10:22 '' Nanyi mtakuwa
mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hata
mwisho, ndiye atakayeokoka.''
Warumi 8:35-39 31 Basi, tuseme nini juu ya hayo? Mungu
akiwapo upande wetu, ni nani aliye juu yetu?
Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye?
33 Ni nani atakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki.
Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye?
33 Ni nani atakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki.
Ni nani
atakayewahukumia adhabu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa; naam, na zaidi ya hayo,
amefufuka katika wafu, naye yuko mkono wa kuume wa Mungu; tena ndiye
anayetuombea.
Ni nani
atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au
uchi, au hatari, au upanga?
Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, Tumehesabiwa kuwa Kama kondoo wa kuchinjwa.
Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, Tumehesabiwa kuwa Kama kondoo wa kuchinjwa.
Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye
aliyetupenda.
Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo,
wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo,
wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Haggai 1:2-30 Kama hatutamteemea
Mungu