SWALI LA MAISHA

JE USALAMA UPO?
Babu wa miaka 70 alinamuuliza mkewe je mke wangu unajisikia huzuni mimi ninavyo kimbinzana na Mabinti wadogo? mke anamjibu hapana mpenzi wangu  siuzuniki maana hata umbwa hukimbiza magari wakati hawawizi  hata kuendesha, sasa sababu ya mbwa kukimbiza magari ni nini ikiwa hawezi hata kuendesha? JE umeshawahi kuona au kusikia watu wa namna hii kama jibu ndiyo,sababu ni zipi? umewahi kujiuliza na jibu ukapata lipi?

kwa nini mtu ambaye hajakuzaa  wala hajui hata chanzo chako akuuwe kabla ya wakati wako, vifo vingine ni vya kujitakia kama jambo huliwezi kwanini usikubali matokeo, na kwanini usiombe msaada, hata inchi zikiwa zinapigana vita mara nyingine huomba msaada kwa inchi jirani, yupo Rafiki wa karibu sana mwenye uwezo wa kukusaidia ila unampita unakwenda kupata ushahuri kwa mwanadamu, Dunia yote asilimia ya watu wengi wanatembea na shida zao unaweza kufikiria yako ni kubwa kumbe ukakuta ya mwenzako ni kubwa zaidi yako, je mtu kama huyu atakusahuri nini ikiwa na yeye uko kwenye kibano chake.

kama vifo vingine siyo vya kujitakia unamkuta mtoto yuko bado masomoni tena kidato cha pili ana mchumba huyo mchumba ni wakazigani wakati huo kama siyo mtu kuwabize na kuing"owa roho yake, maana huyu binti akuachika akiwa kidato cha pili hawezi hatakujisimamia mwenyewe atakimbilia kujiuwa, wazazi tupunguze umbali wa sisi na watoto wetu kuwa mbali na mtoto siyo kumtuza kwa maadili mema kama unavyofikiria wewe inawezekana mtoto wako kashaumizwa na mwanaume maana watoto ni wageni hapa duniani sisi tumewatangulia tuwasaidie kwa ukaribu,

magonya makubwa  na mengi hivi leo ospitalini ukiuliza ni magonjwa ya moyo,ukiuliza kwa nini utaambiwa mawazo hayo mawazo kwa nini yakuvuruge na mtu ambaye hujazaliwa naye wala humjui vizuri kwasababu ya ahadi za hapa na pale tayari wewe unakubali umwachia moyo wako wate, usiyachokoze mambo ambayo hayajafikia mda wake yata kutanguliza kaburini alifu yenyewe yataendelea kusona mbele, si kila unacho kiona unaweza kukipata au kinaweza kuwa chako lah! na si kila unachosikia kuhusu wewe au mtu mwingine ni kweli,na si kila unachokipenda lazima ukipate akili kichwani mwako,

 je umbwa anakimbiza Gari analipenda?au anataka kukwenda wapi,au analipata kama analihitaji? unaweza ukakipenda kitu kumbe ni sumu kwako je mbwa akikosea akaingia kwa tairi anaweza kupoteza maisha yake lakini yeye mwenyewe ndiye chanzo cha kifo chake usikubali kujiua mwenyewe kabla ya umri wako kwa kukimbiza usichojuwa unakimbizia nini,

70 yr old man asks his wife "Do you feel sad
 when you see me running after young girls?"
Wife replied, “No, not at all; even dogs chase
 cars yet they can't drive''. 


Followers