MAOMBI:
Chukua Hatua Ya Imani Pamoja Nasi Kwa maombi kwa lile hitaji unalotaka liombewe:
Hakuna jambo lisilowezekana pale unapoweka imani yako kwa Mungu
usiogope siri zote zinahifathiwa, uwe huru ukidanganya,utakuwa umejidanganya wewe mwenyewe na kumdangana yule tunayemtarajia kufanikisha ombi lako karibu sasa,
Tafadhali jaza fomu hii, kwanza kwa kuchagua aina ya maombi unayohitaji kufanyiwa au kuyafanya na kisha endelea kujifunza,tutapo tembelea safu hii tutayachukuwa na tutaanza kuyafanyia kazi haraka sana, yaani kuomba sawa sawa na mahitji yako, ni bure maombezi hakuna garama ya aina yeyote ile unayopaswa kulipa, na pia kama wewe huna hitaji la aina yeyote basi nunakuomba ungana nasi katika kuwaombea wale wenzetu wenye mahitaji mbali
lakini inawezekana ukawa unajisikia kutuombea ili huduma Bwana aliyoiweka ndani yetu izidi kukuwa mpaka kuweza kufikia taifa mpaka mataifa,usisite kutuombea na tutafurahi sana na pia tukakufahamu wewe uliyeamuwa kuubeba mzigo huo mzito,japo tuweze kukushukuru mimi na familia yangu, Zaidi usisahau kuombea Nchi ya Tanzania watu wake wawe na upendo amani na mali, ili wawezekuepukana na umasikini uliowatamia waTanzania,
Jina Lako:
E-Mail:
Website:
Mji: , Mkoa: Nchi:
E-Mail:
Website:
Mji: , Mkoa: Nchi:
Aina ya maombi unayoyahitaji yafanyike juu yako:
Hii itatusaidia kukufahamisha hatuwa tulipofikia,na kwaajili ya kukupa wewe maelekezo zaidi,,