MASOMO MAALUMU KWA MWANAFUNZI

MUONGOZO WA MASOMO

1. Biblia Imetoka kwa Mungu
2 Petro 1:20-21 Roho wa Mungu aliwaongoza manabii
Wagalatia 1:11-12 Mitume walifunuliwa Injili na Yesu
Yohana 14:26; 16: 13,14 Roho Mtakatifu aliwaongoza mitume
1 W athesalomike 2: 13 Mitume walihubiri neno lililotoka kwa Mungu
2 Timotheo 3: 16-17 Neno la Mungu (Biblia) linatosha kutukamilisha
2. Tusiliongeze wala tusipunguze neno la Mungu
Kumbukumbu 4:2 Tusilibadili Neno la Mungu; Mithali 30:5, 6
Wagalatia 1: 6-8; Abadilishaye Injili atalaniwa; 2 Petro 2:1-3
Ufunuo 22:18-19; Aongezaye neno la Mungu atapata mapigo
Wakolosai 2: 8; Tusifuate mapokeo ya watu badala ya neno la Mungu
Mathayo 15:3, 8,9,14; Wafuatao mapokeo huhalifu amri ya Mungu
1 Wakorintho 4: 6; Tusipite yaliyoandikwa wala tusifuate wanadamu
Yuda 1:3; Tuishindanie Injili ile iliyohubiriwa na Mitume .
3. Je! Wakristo wafuate Agano la kale au wafuate Agano Jipya?
“ Agano” ni mapatano kati ya watu. Mungu alifanya Agano la kale na Waisraeli.
Aliahidi angewabariki maadamu wangelishika masharti ya Agano lake.
Kumbukumbu 6:17-16; 11: 8, 9; Mungu alisema Waisraeli wangeimiliki nchi
ya kanani maadamu wangezishika zile sheria za Agano la kale.
Kutika 34:27,28; Amri kumi ndiyo Agano la Kale. Kum. 4: 12,13;
Yeremia 31:31-34; Waisaraeli walivunja Agano; Mungu aliliondoa na kuleta
Agano Jipya lililo tofauti na zile Amri kumi. Mathayo 5:21-22, 27-28;
Waebrania 8: 6-13; Agano la Kale lilikuwa na upungufu
Waebrania 10:4-9; Agano la Kale limeondolewa
Hosea 2:11; Mungu alisema ataikomesha Sabato
Wakolosai 2:16,17; Sheria ya Sabato iliondolewa pamoja na Amri kumi
Matendo 20:7; Wakristo wanasali siku ya kwanza ya juma, siyo Sabato
1 Wakirintho 16:1,2;
Mathayo 28:18; Yesu anayo mamiaka yote.
Waebrania 9:15; YESU AMELETA Agano Jipya
Mathayo 5;21-22,27,28,31-32,38,43-45; Sheria ya Yesu ni kamilifu
Yohana 13:34-35; 15:12-17; Tumepewa sheria mpya
Warumi 13:8-10; Mwenye upendo hana haja na Amri kumi
Warumi 7: 6,7 Hatupo chini ya Torati (Amri kumi ); Wagalatia 3:23-26;
Wagalatia 5:4; Hatuwezi kufuata Torati na Injili pia Warumi 7:1-6;
Warumi 10: 2; Marko 2:21, 22;
4. Agano la Kale lilitimilizwa na kuondolewa Yesu alipokufa
Wagalatia 4:4; Yesu alizaliwa chini ya Torati na, kwa hiyo, akaishika
Mathayo 5:17,18; Yesu alikuja kutimiliza Torati , siyo kuivunja
Luka 24:44 – 46; Torati ilitimilizwa na kuondolewa Yesu alipokufa
Warumi 7: 6; Tumefunguliwa katika Torati ( Agano la Kale ) . Ebr. 10:1-9;
Waebrania 9:15-17 ;Agano Jipya lilianzwa Yesu alipokufa msalabani;
Matahayo 28:18-20; sasa Yesu anayo mamlaka yote; Marko 9:2-9;
Wakolosai 2:13-25; Sheria za Musa ziligongamewa msalabani
Waefeso 2:11-16 Yesu aliondoa Torati iliyokuwa na uadui kwetu alipokufa
Wagalatia 5:4; Hatuwezi kushika Torati pamoja na sheria za Yesu ;
Warumi 7:1-4’ Warumi 10: 4; Marko 2: 21,22;
( Kubuka kuwa Torati , Amri kumi na Agano la Kale yote ni mamoja)
5. Mamlaka katika kanisa
Mathayo 23:8-10; Wanadamu hawana mamlaka kanisani .
Mathayo 28:18; Yesu anayo mamlaka yote mbinguni na dumiani .
Waefeso 2:20 Petro si msingi wa kanisa; 1 Wakorintho 3:11.
Wakolosai 1:13-18; Yesu ni kichwa ( kiongozi) cha kanisa
Waebrania 1: 1, 2 Musa na manabii hawatuongozi. Bali Yesu tu.
Yohana 12: 48 Tutahuhumiwa kwa neno alilolisema Yesu.
Yohana 1: 8-11 Tsishirikiane na wasiofuata mafundisho ya Yesu
Luka 21:33 Maneno ya Yesu hayapiti kamwe. Tusijaribu kuyabadili
6. Nifanye nini ili niokoke?
Waebrani 11: 6; Lazima kuamini; Yohana 3:16-18;
Warumi 10:17; Lazima kusikia Injili kwanza kusudi uamini
Yakobo 2:24, 26; Imai peke yake haiwezi kumwokoa mtu
Matendo 17:30,31; Lazima kutubu ( kujuta na kuacha dhambi)
Mathayo 10:32-33; Lazima kumkiri Yesu kuwa ni mwana wa Mungu
Marko 16:15-16; Lazima kubatizwa ( Yohana 3:3-7;
Matendo 2:37-38; (127) Matendo 22:16; 1 Petro 3:20,21;
(Soma pia nambari hapo nchini )
7. Ubatizo mmoja wa Yesu .
Ubatizoa ni neno la Kiyunani ( Batti (w ) na maana yake ni “Kutoswa”majini
Yohana 3: 23; Ubatizo unahitaji maji mengi
Matendo 8: 35 –36; Katika ubatizo watu hutelemka na kupanda majini
Mathayo 3:16; Baada ya kubatizwa Yesu alipanda kutoka mjin
Wakolosai 2:12; Ubatizo ni kuzikwa katika maji
Warumi 6:3-5; Ubatizo ( kutoswa ) ni mfano wa kuzikwa kwake Yesu
Yohana 3:1-7; Ubatizo ni mfano wa kuzaliwa kwake mtoto
Mathayo 7: 21; Imani bila kumtii Mungu haifai Luka 6:46;
Yakobo 2: 24,26; Imani peke yake haifai; Imani pasipo Matendo imekufa
1 Petro 3: 20,21; Lazima kubatizwa ili kuokolewa; Matendo 2:38;
Waefeso 4:5 ;Kuna ubatizo mmoja tu. Ubatizo huo ni kutoswa majini
8. Je! Watoto wadogo wabatizwe?
Kuwabatiza watoto si amri ya Mungu
Marko 10:13- 16; Yesu hakubatiza watoto bali aliwabariki tu
Matendo 2: 38; Kusudi la ubatizo ni kuondoa dhambi
Ezekieli 18: 1-4, 19, 20; Watoto hawarithi dhambi
Mathayo 18:2,3,10 ; Watoto hawana dhambi Marko 10:16;
Kumbukumbu 24:16; Mwana asiuawe kwa danmbi ya Baba
Yohana 9:1-3; Ugonjwa na mauti siyo ishara ya kurithi dhambi ; hata
ukimbatiza mtoto hatimaye atafariki
Matendo 8: 36-37; Ni lazima kuamini kabla mtu hajabatizwa
Marko 16:16 ; Watoto wadogo wasibatizwe maana hawawezi kuamini
Ezekieli 18: 20; Haki yake mzazi haiwezi kumokoa mtoto wake
9. Wakristo wawe na umoja
Yohana 10:16; Yesu alituweka tuwe kundi moja tu
Yohana 17:20-12; Yesu alituombea tuwe na umoja
1 Wakorinto1 :10-13; Kujitenga katika madhehebu ni dhambi
Waefesko 4: 3 –5; Kuna mwili mmoja , Imani moja, ubatizo mmoja
Wafilipi 1:27; 2:1-3; Wkristo wote wawe na umoja
10. Ibaada ya Kikristo
Warumi 12:1 ; Tujitoe mili yetu kuwa dhabihu iliyo hai
Waebrania 13:15-16; Tutende mema na kushirikiana
Matendo 2: 41-42 Wakristo walidumu katika fundisho la mitume
ukitaka ufafanuzi zaidi wasiliana na muhusika wa safu hii unayoisoma Mchungaji samson o mboya 0756-809209/0786608801 karibu sana

Followers