MUONGOZO WA MASOMO
1. Biblia Imetoka kwa Mungu
2 Petro 1:20-21 Roho wa Mungu aliwaongoza manabii
Wagalatia 1:11-12 Mitume walifunuliwa Injili na Yesu
Yohana 14:26; 16: 13,14 Roho Mtakatifu aliwaongoza mitume
1 W athesalomike 2: 13 Mitume walihubiri neno lililotoka kwa Mungu
2 Timotheo 3: 16-17 Neno la Mungu (Biblia) linatosha kutukamilisha
2. Tusiliongeze wala tusipunguze neno la Mungu
Kumbukumbu 4:2 Tusilibadili Neno la Mungu; Mithali 30:5, 6
Wagalatia 1: 6-8; Abadilishaye Injili atalaniwa; 2 Petro 2:1-3
Ufunuo 22:18-19; Aongezaye neno la Mungu atapata mapigo
Wakolosai 2: 8; Tusifuate mapokeo ya watu badala ya neno la Mungu
Mathayo 15:3, 8,9,14; Wafuatao mapokeo huhalifu amri ya Mungu
1 Wakorintho 4: 6; Tusipite yaliyoandikwa wala tusifuate wanadamu
Yuda 1:3; Tuishindanie Injili ile iliyohubiriwa na Mitume .
3. Je! Wakristo wafuate Agano la kale au wafuate Agano Jipya?
“ Agano” ni mapatano kati ya watu. Mungu alifanya Agano la kale na Waisraeli.
Aliahidi angewabariki maadamu wangelishika masharti ya Agano lake.
Kumbukumbu 6:17-16; 11: 8, 9; Mungu alisema Waisraeli wangeimiliki nchi
ya kanani maadamu wangezishika zile sheria za Agano la kale.
Kutika 34:27,28; Amri kumi ndiyo Agano la Kale. Kum. 4: 12,13;
Yeremia 31:31-34; Waisaraeli walivunja Agano; Mungu aliliondoa na kuleta
Agano Jipya lililo tofauti na zile Amri kumi. Mathayo 5:21-22, 27-28;
Waebrania 8: 6-13; Agano la Kale lilikuwa na upungufu
Waebrania 10:4-9; Agano la Kale limeondolewa
Hosea 2:11; Mungu alisema ataikomesha Sabato
Wakolosai 2:16,17; Sheria ya Sabato iliondolewa pamoja na Amri kumi
Matendo 20:7; Wakristo wanasali siku ya kwanza ya juma, siyo Sabato
1 Wakirintho 16:1,2;
Mathayo 28:18; Yesu anayo mamiaka yote.
Waebrania 9:15; YESU AMELETA Agano Jipya
Mathayo 5;21-22,27,28,31-32,38,43-45; Sheria ya Yesu ni kamilifu
Yohana 13:34-35; 15:12-17; Tumepewa sheria mpya
Warumi 13:8-10; Mwenye upendo hana haja na Amri kumi
Warumi 7: 6,7 Hatupo chini ya Torati (Amri kumi ); Wagalatia 3:23-26;
Wagalatia 5:4; Hatuwezi kufuata Torati na Injili pia Warumi 7:1-6;
Warumi 10: 2; Marko 2:21, 22;
4. Agano la Kale lilitimilizwa na kuondolewa Yesu alipokufa
Wagalatia 4:4; Yesu alizaliwa chini ya Torati na, kwa hiyo, akaishika
Mathayo 5:17,18; Yesu alikuja kutimiliza Torati , siyo kuivunja
Luka 24:44 – 46; Torati ilitimilizwa na kuondolewa Yesu alipokufa
Warumi 7: 6; Tumefunguliwa katika Torati ( Agano la Kale ) . Ebr. 10:1-9;
Waebrania 9:15-17 ;Agano Jipya lilianzwa Yesu alipokufa msalabani;
Matahayo 28:18-20; sasa Yesu anayo mamlaka yote; Marko 9:2-9;
Wakolosai 2:13-25; Sheria za Musa ziligongamewa msalabani
Waefeso 2:11-16 Yesu aliondoa Torati iliyokuwa na uadui kwetu alipokufa
Wagalatia 5:4; Hatuwezi kushika Torati pamoja na sheria za Yesu ;
Warumi 7:1-4’ Warumi 10: 4; Marko 2: 21,22;
( Kubuka kuwa Torati , Amri kumi na Agano la Kale yote ni mamoja)
5. Mamlaka katika kanisa
Mathayo 23:8-10; Wanadamu hawana mamlaka kanisani .
Mathayo 28:18; Yesu anayo mamlaka yote mbinguni na dumiani .
Waefeso 2:20 Petro si msingi wa kanisa; 1 Wakorintho 3:11.
Wakolosai 1:13-18; Yesu ni kichwa ( kiongozi) cha kanisa
Waebrania 1: 1, 2 Musa na manabii hawatuongozi. Bali Yesu tu.
Yohana 12: 48 Tutahuhumiwa kwa neno alilolisema Yesu.
Yohana 1: 8-11 Tsishirikiane na wasiofuata mafundisho ya Yesu
Luka 21:33 Maneno ya Yesu hayapiti kamwe. Tusijaribu kuyabadili
6. Nifanye nini ili niokoke?
Waebrani 11: 6; Lazima kuamini; Yohana 3:16-18;
Warumi 10:17; Lazima kusikia Injili kwanza kusudi uamini
Yakobo 2:24, 26; Imai peke yake haiwezi kumwokoa mtu
Matendo 17:30,31; Lazima kutubu ( kujuta na kuacha dhambi)
Mathayo 10:32-33; Lazima kumkiri Yesu kuwa ni mwana wa Mungu
Marko 16:15-16; Lazima kubatizwa ( Yohana 3:3-7;
Matendo 2:37-38; (127) Matendo 22:16; 1 Petro 3:20,21;
(Soma pia nambari hapo nchini )
7. Ubatizo mmoja wa Yesu .
Ubatizoa ni neno la Kiyunani ( Batti (w ) na maana yake ni “Kutoswa”majini
Yohana 3: 23; Ubatizo unahitaji maji mengi
Matendo 8: 35 –36; Katika ubatizo watu hutelemka na kupanda majini
Mathayo 3:16; Baada ya kubatizwa Yesu alipanda kutoka mjin
Wakolosai 2:12; Ubatizo ni kuzikwa katika maji
Warumi 6:3-5; Ubatizo ( kutoswa ) ni mfano wa kuzikwa kwake Yesu
Yohana 3:1-7; Ubatizo ni mfano wa kuzaliwa kwake mtoto
Mathayo 7: 21; Imani bila kumtii Mungu haifai Luka 6:46;
Yakobo 2: 24,26; Imani peke yake haifai; Imani pasipo Matendo imekufa
1 Petro 3: 20,21; Lazima kubatizwa ili kuokolewa; Matendo 2:38;
Waefeso 4:5 ;Kuna ubatizo mmoja tu. Ubatizo huo ni kutoswa majini
8. Je! Watoto wadogo wabatizwe?
Kuwabatiza watoto si amri ya Mungu
Marko 10:13- 16; Yesu hakubatiza watoto bali aliwabariki tu
Matendo 2: 38; Kusudi la ubatizo ni kuondoa dhambi
Ezekieli 18: 1-4, 19, 20; Watoto hawarithi dhambi
Mathayo 18:2,3,10 ; Watoto hawana dhambi Marko 10:16;
Kumbukumbu 24:16; Mwana asiuawe kwa danmbi ya Baba
Yohana 9:1-3; Ugonjwa na mauti siyo ishara ya kurithi dhambi ; hata
ukimbatiza mtoto hatimaye atafariki
Matendo 8: 36-37; Ni lazima kuamini kabla mtu hajabatizwa
Marko 16:16 ; Watoto wadogo wasibatizwe maana hawawezi kuamini
Ezekieli 18: 20; Haki yake mzazi haiwezi kumokoa mtoto wake
9. Wakristo wawe na umoja
Yohana 10:16; Yesu alituweka tuwe kundi moja tu
Yohana 17:20-12; Yesu alituombea tuwe na umoja
1 Wakorinto1 :10-13; Kujitenga katika madhehebu ni dhambi
Waefesko 4: 3 –5; Kuna mwili mmoja , Imani moja, ubatizo mmoja
Wafilipi 1:27; 2:1-3; Wkristo wote wawe na umoja
10. Ibaada ya Kikristo
Warumi 12:1 ; Tujitoe mili yetu kuwa dhabihu iliyo hai
Waebrania 13:15-16; Tutende mema na kushirikiana
Matendo 2: 41-42 Wakristo walidumu katika fundisho la mitume
ukitaka ufafanuzi zaidi wasiliana na muhusika wa safu hii unayoisoma Mchungaji samson o mboya 0756-809209/0786608801 karibu sana
Ndugu Mtazamaji/ MSOMAJI; Bila shaka unampenda Mungu Sana tunaamini hivyo Kwa vile ulivyoweza kufika mahali hapa tulipo kupitia Mtandao huu, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-Mungu Mathayo 16:6-12) piga simu kwa masaada zaidi huduma hii ni bure 0757328311