Tumia namba za simu hizi kupata maelekezo ya kushiriki na Sisi katika ibada zetu–: 0756 809 209/0653 294219
Njoo tushiriki pamoja ibada inayoongozwa na Nguvu za Roho Mtakatifu fuatilia Ratiba za Ibada hapa
Juma tano Ibada ya mafundisho ya Bibilia
Saa 10:00-12:00 Jioni kwa kanisa nzima
Ijumaa Ibada ya maombezi kwa kanisa zima
Saa 10:00-12-00 Jioni
Jumamosi Asubuhi usafi wa kanisa nzima Saa 8:00-6:00
Kwanzia Mchana Saa 7:00 hadi 12:00 ni Huduma ya waimbaji wote, wa kanisa,(Mazoezi)
Jumapili Asubuhi kwanzia Saa 1:00 Hadi Saa 3;00 Maombi kwa kanisa zima, Saa 3:00 Hadi 4:30 Mafundisho
Baada ya mafundisho Ibada kuu 4:30 Hadi Saa 7;30
Ibada ya jioni Inaanza Saa 9:30 Hadi 12:00 Karibu Sana,
…………………………………………………………………
Jina langu naitwa ……………………………………….Mk/M/m Mtaa………………...NO……………………………Maombi Yangu 2ni ………………………………………..
Ndugu Mtazamaji/ MSOMAJI; Bila shaka unampenda Mungu Sana tunaamini hivyo Kwa vile ulivyoweza kufika mahali hapa tulipo kupitia Mtandao huu, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-Mungu Mathayo 16:6-12) piga simu kwa masaada zaidi huduma hii ni bure 0757328311